Picha: Oprah Winfrey avamiwa na njemba inayodai ni mwanae wa siri wakati akirekodi kipindi cha TV
Oprah Winfrey alijikuta akivamiwa na njema inayodai kuwa ni mwanae wa siri wakati staa huyo akimaliza kurekodi kipindi cha The Late Show with Stephen Colbert hivi karibuni. Oprah, 61 alipigwa picha akijaribu kumsikiliza jamaa huyo aitwaye,Calvin Mitchell kwenye studio za kipindi hicho jijini New York October 15. The National Enquirer ndio waliomsaidia Mitchell kuonana na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
OPRAH WINFREY ATIMIZA MIAKA 60
11 years ago
Vijimambo20 Sep
Balozi Mulamula akutana na Oprah Winfrey
11 years ago
Michuzi
Wadau wa Tanzania wakutana na Oprah winfrey nchini Marekani

10 years ago
Vijimambo
NEWS:DONALD TRUMP WANTS OPRAH WINFREY TO BE HIS RUNNING MATE

Lets wait and hear what Will Oprah say.
5 years ago
CNBC15 Feb
Oprah Winfrey: After interviewing 37,000 people I learned everyone shares this 1 thing
10 years ago
GPL
KANYE WEST AFANYA KWELI TAMASHA LA GLASTONBURY, AVAMIWA NA NJEMBA STEJINI
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Jitihada elekezi siri ya ushindi wa vita dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi katika kipindi cha mlipuko wa ebola
Tarehe 1 Desemba kila mwaka watu wote duniani huazimisha Siku ya Ukimwi Duniani, siku ambayo ilianzishwa mnamo mwaka 1987 na ambayo hubeba maudhui mbali mbali ikiwa kwa mwaka huu ikibeba maudhui ya Focus, Partner, Achieve: An AIDS-free Generation yaani Elekeza, Jiunge na Pata: Kizazi kisicho na Ukimwi. Ujumbe unaokumbusha jamii kuwa ugonjwa wa Ukimwi kuwa bado ni tatizo linalohitaji jitihada endelevu na elekezi hata katika wakati wa milipuko ya magonjwa mengine katika jamii. Siku ambayo...
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Familia inayodai hofu ya ugonjwa wa corona kulisababisha kifo cha mtoto wao.