Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Oprah Winfrey avamiwa na njemba inayodai ni mwanae wa siri wakati akirekodi kipindi cha TV

Oprah Winfrey alijikuta akivamiwa na njema inayodai kuwa ni mwanae wa siri wakati staa huyo akimaliza kurekodi kipindi cha The Late Show with Stephen Colbert hivi karibuni. Oprah, 61 alipigwa picha akijaribu kumsikiliza jamaa huyo aitwaye,Calvin Mitchell kwenye studio za kipindi hicho jijini New York October 15. The National Enquirer ndio waliomsaidia Mitchell kuonana na […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

OPRAH WINFREY ATIMIZA MIAKA 60

Oprah Gail Winfrey. MWIGIZAJI, mmiliki wa vyombo vya habari, mtangazaji, prodyuza kutoka nchini Marekani, Oprah Gail Winfrey leo ametimiza umri wa miaka 60. Oprah ambaye amejishindia tuzo mbalimbali kupitia kipindi chake cha 'The Oprah Winfrey Show' alizaliwa Januari 29, 1954 Mississipi nchini Marekani. Oprah ni bilionea namba moja ambaye ni Mmarekani mweusi wa karne ya 20. ...

 

11 years ago

Vijimambo

Balozi Mulamula akutana na Oprah Winfrey

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula katika picha ya pamoja na na aliyekuwa mtangazaji wa luninga ambaye sasa anamiliki kituo cha luninga chake mwenyewe  Oprah Winfrey ndani ya mgahawa uliopo hotel ya Fairmont Georgetown, Washington, DCBalozi Liberata Mulamula wakibadilishana mawili matatu na Prah Winfrey walipokutana leo siku ya Jumamosi Sept 20, 2014

 

11 years ago

Michuzi

Wadau wa Tanzania wakutana na Oprah winfrey nchini Marekani

Balozi wa Tanzania nchini Marekani,Mh. Liberata Mulamula na Afisa Mwandamizi wa Mambo ya Nje,Hassan Mwemeta pamoja na wadau wengine wakiwa katika picha ya pamoja na Mwanamama Oprah Winfrey kwenye hoteli ya Fairmount,nchini Marekani leo.

 

10 years ago

Vijimambo

NEWS:DONALD TRUMP WANTS OPRAH WINFREY TO BE HIS RUNNING MATE

I am sure we have all heard  Donald Trump announcement that he was running for US President. And now he says he wants talk show legend Oprah Winfrey as his running mate. In an interview on ABC News, the billionaire businessman was asked who he would like as a running mate and he replied, "I think Oprah would be great. I'd love to have Oprah. I think we'd win easily, actually."

Lets wait and hear what Will Oprah say.

 

5 years ago

CNBC

Oprah Winfrey: After interviewing 37,000 people I learned everyone shares this 1 thing

Oprah Winfrey: After interviewing 37,000 people I learned everyone shares this 1 thing  CNBC

 

10 years ago

GPL

KANYE WEST AFANYA KWELI TAMASHA LA GLASTONBURY, AVAMIWA NA NJEMBA STEJINI

Kanye West akiwapagawisha mashabiki waliohudhuria Tamasha la Glastonbury nchini England jana usiku. Komediani wa Uingereza, Lee Nelson baada ya kupanda stejini kumpa sapoti Kanye West. RAPPA wa nchini Marekani, Kanye West amefanya kweli kwa kuangusha bonge la shoo katika Tamasha la Glastonbury nchini England jana usiku.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Jitihada elekezi siri ya ushindi wa vita dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi katika kipindi cha mlipuko wa ebola

apollo-hospitals

Tarehe 1 Desemba kila mwaka watu wote duniani huazimisha Siku ya Ukimwi Duniani, siku ambayo ilianzishwa mnamo mwaka 1987 na ambayo hubeba maudhui mbali mbali ikiwa kwa mwaka huu ikibeba maudhui ya  Focus, Partner, Achieve: An AIDS-free Generation yaani Elekeza, Jiunge na Pata: Kizazi kisicho na Ukimwi. Ujumbe unaokumbusha jamii kuwa ugonjwa wa Ukimwi kuwa bado ni tatizo linalohitaji jitihada endelevu na elekezi hata katika wakati wa milipuko ya magonjwa mengine katika jamii. Siku ambayo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Familia inayodai hofu ya ugonjwa wa corona kulisababisha kifo cha mtoto wao.

Familia inayodai hofu ya ugonjwa wa corona kulisababisha kifo cha mtoto wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani