Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi Mulamula akutana na Oprah Winfrey

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula katika picha ya pamoja na na aliyekuwa mtangazaji wa luninga ambaye sasa anamiliki kituo cha luninga chake mwenyewe  Oprah Winfrey ndani ya mgahawa uliopo hotel ya Fairmont Georgetown, Washington, DCBalozi Liberata Mulamula wakibadilishana mawili matatu na Prah Winfrey walipokutana leo siku ya Jumamosi Sept 20, 2014

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

OPRAH WINFREY ATIMIZA MIAKA 60

Oprah Gail Winfrey. MWIGIZAJI, mmiliki wa vyombo vya habari, mtangazaji, prodyuza kutoka nchini Marekani, Oprah Gail Winfrey leo ametimiza umri wa miaka 60. Oprah ambaye amejishindia tuzo mbalimbali kupitia kipindi chake cha 'The Oprah Winfrey Show' alizaliwa Januari 29, 1954 Mississipi nchini Marekani. Oprah ni bilionea namba moja ambaye ni Mmarekani mweusi wa karne ya 20. ...

 

10 years ago

Michuzi

Wadau wa Tanzania wakutana na Oprah winfrey nchini Marekani

Balozi wa Tanzania nchini Marekani,Mh. Liberata Mulamula na Afisa Mwandamizi wa Mambo ya Nje,Hassan Mwemeta pamoja na wadau wengine wakiwa katika picha ya pamoja na Mwanamama Oprah Winfrey kwenye hoteli ya Fairmount,nchini Marekani leo.

 

10 years ago

Vijimambo

NEWS:DONALD TRUMP WANTS OPRAH WINFREY TO BE HIS RUNNING MATE

I am sure we have all heard  Donald Trump announcement that he was running for US President. And now he says he wants talk show legend Oprah Winfrey as his running mate. In an interview on ABC News, the billionaire businessman was asked who he would like as a running mate and he replied, "I think Oprah would be great. I'd love to have Oprah. I think we'd win easily, actually."

Lets wait and hear what Will Oprah say.

 

5 years ago

CNBC

Oprah Winfrey: After interviewing 37,000 people I learned everyone shares this 1 thing

Oprah Winfrey: After interviewing 37,000 people I learned everyone shares this 1 thing  CNBC

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI MULAMULA AKUTANA NA BALOZI WA SUDAN NCHINI

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akisalimiana na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali alipokuja kumtembelea Wizarani na kufanya nae mazungumzo pamoja na kumpongeza kwa kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje.Katibu Mkuu, Balozi Mulamula akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Sudan, Dkt. Mohammed Ali. Kulia ni Afisa Mambo ya Nje, Bi. Talha Mohammed na kushoto ni Afisa kutoka Ubalozi wa Sudan ...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Oprah Winfrey avamiwa na njemba inayodai ni mwanae wa siri wakati akirekodi kipindi cha TV

Oprah Winfrey alijikuta akivamiwa na njema inayodai kuwa ni mwanae wa siri wakati staa huyo akimaliza kurekodi kipindi cha The Late Show with Stephen Colbert hivi karibuni. Oprah, 61 alipigwa picha akijaribu kumsikiliza jamaa huyo aitwaye,Calvin Mitchell kwenye studio za kipindi hicho jijini New York October 15. The National Enquirer ndio waliomsaidia Mitchell kuonana na […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Balozi Mulamula akutana na Wageni mbalimbali Wizarani

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula (kulia) na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi Mhe. Alain Aime Nyamitwe, walikutana jana na kufanya mazungumzo hapa Wizarani, Mazungumzo yao yalijikita katika kukuza na kuimarisha Ushirikiano kati ya Tanzania na Burundi katika sekta mbalimbali Balozi wa Tanzania nchini Burundi, Mhe. Rajab Gamah (wa kwanza kushoto), Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Samweli Shelukindo...

 

11 years ago

Michuzi

MH. MAKALLA AKUTANA NA BALOZI MULAMULA NCHINI MAREKANI

Naibu Waziri wa Maji,Mhe. Amos Makalla (kulia) akiwa na Balozi wa Tanzania Nchini Marekani,Mh. Balozi Liberata Mulamula wakati alipomtembelea Ubalozini hapo.

 

10 years ago

Vijimambo

Balozi Mulamula akutana kwa mazungumzo na Ujumbe wa EU hapa nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akimsikiliza Kiongozi wa Ujumbe wa Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) hapa nchini, Balozi Filberto Cerian Sebregondi alipofika Wizarani kwa mazungumzo kuhusu ushirikiano kati ya Jumuiya hiyo na Tanzania na pia kujitambulisha kwa Balozi Mulamula ambaye ameteuliwa hivi karibuni kuwa Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje. Maafisa Mambo ya Nje Waandamizi wakifuatilia mazungumzo kati ya Balozi Mulamula na Balozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani