MH. MAKALLA AKUTANA NA BALOZI MULAMULA NCHINI MAREKANI
Naibu Waziri wa Maji,Mhe. Amos Makalla (kulia) akiwa na Balozi wa Tanzania Nchini Marekani,Mh. Balozi Liberata Mulamula wakati alipomtembelea Ubalozini hapo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBALOZI MULAMULA AKUTANA NA BALOZI WA SUDAN NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zcfen7qB52M/VHahf8MGGKI/AAAAAAAGzr8/WtF599PtJ_4/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
BALOZI LIBERATA MULAMULA AMKARIBISHA BALOZI MPYA WA ZIMBABWE NCHINI MAREKANI UBALOZINI TANZANIA HOUSE
Mhe. Liberata Mulamula, Balozi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania nchini Marekani amemkaribisha Mhe. Ammon Mutembwa, Balozi mpya wa Jamhuri ya Zimbabwe Ubalozini Tanzania House, Washington DC, Marekani, Jumatano Novemba 26, 2014. Katika mazungumzo yake na Balozi Mutembwa, Mhe. Balozi Mulamula alimweleza Balozi huyo kwamba ajisikie kwamba yuko nyumbani. Mhe. Mulamula aliendelea kwa kusema kwamba Tanzania na Zimbabwe zina mahusiano ya kihistoria na kwa msingi huo ni vyema kutafsiri kwa vitendo...
10 years ago
VijimamboMHE. BALOZI LIBERATA MULAMULA AMKARIBISHA BALOZI MPYA WA ZIMBABWE NCHINI MAREKANI UBALOZINI TANZANIA HOUSE
Mhe. Liberata Mulamula, Balozi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania nchini Marekani amemkaribisha Mhe. Ammon Mutembwa, Balozi mpya wa Jamhuri ya Zimbabwe Ubalozini Tanzania House, Washington DC, Marekani, Jumatano Novemba 26, 2014. Katika mazungumzo yake na Balozi Mutembwa, Mhe. Balozi Mulamula alimweleza Balozi huyo kwamba ajisikie kwamba yuko nyumbani. Mhe. Mulamula aliendelea kwa kusema kwamba Tanzania na Zimbabwe zina mahusiano ya kihistoria na kwa msingi huo ni vyema kutafsiri kwa vitendo...
10 years ago
VijimamboBalozi Mulamula akutana kwa mazungumzo na Ujumbe wa EU hapa nchini
10 years ago
VijimamboUBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI WAMUAGA BALOZI LIBERATA MULAMULA
10 years ago
VijimamboBALOZI LIBERATA MULAMULA AHUDHURIA MKUTANO MKUU WA WASABATO WAISHIO NCHINI MAREKANI
Mchungaji Wilbert Nfubhusa akihubiri kwenye mkutano mkubwa wa neno la Mungu wa Wasababto waishio nchini Marekani uliofanyika siku ya Jumamosi April 18, 2015 Silver Spring, Maryland. Kulia ni Michael Mwasumbi akitafsiri mahubiri kwa lugha ya Kiingereza.Mkutano huu umehudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali wakiwemo wengine kutoka Tanzania.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YXcPYJlqNp8/VNNVFWsqMjI/AAAAAAAHB7M/2xGFE32hcLU/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akutana na Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake
Kampuni ya Ms Shimoja yenye Makao Makuu yake katika Jimbo la Michigan Nchini Marekani iko mbioni kutaka kuanzisha kituo cha Matangazo ya Televisheni Mjini Dar es salaam Nchini Tanzania kitakachotoa huduma ndani ya Ukanda wa Afrika Mashariki.
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W83EISCwZbE/VLe3CPD8E1I/AAAAAAAG9hE/wApgVk8kTGQ/s72-c/elelGel0007el.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya nchini za Nje akutana na Balozi wa Marekani nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-W83EISCwZbE/VLe3CPD8E1I/AAAAAAAG9hE/wApgVk8kTGQ/s1600/elelGel0007el.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rbK-3ZCU1L8/VLe3CRS_SaI/AAAAAAAG9g0/YlCzOpl4ntw/s1600/elelGel0040el.jpg)
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Pinda akutana na Balozi Marekani nchini
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na balozi wa Marekani Nchini, Mhe. Mark Childress kablaya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam Julai 18, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania