Pinda akutana na Balozi Marekani nchini
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na balozi wa Marekani Nchini, Mhe. Mark Childress kablaya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam Julai 18, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBalozi Seif Ali Iddi akutana na Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake
Kampuni ya Ms Shimoja yenye Makao Makuu yake katika Jimbo la Michigan Nchini Marekani iko mbioni kutaka kuanzisha kituo cha Matangazo ya Televisheni Mjini Dar es salaam Nchini Tanzania kitakachotoa huduma ndani ya Ukanda wa Afrika Mashariki.
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...
10 years ago
MichuziMwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya nchini za Nje akutana na Balozi wa Marekani nchini
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya nchini za Nje na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (kulia) akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania,Mh. Mark Childress walipokutana kwenye hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam leo Januari 15,2015.Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya nchini za Nje na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisisitiza jambo wakati akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania,Mh. Mark Childress...
11 years ago
MichuziMH. PINDA AKUTANA NA BALOZI WA ISRAEL NCHINI LEO
Waziri Mkuu , Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa Israel nchini, Mhe. Gil Haskel kabla ya mazungumzo yao, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Februari 10, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa Israel nchini, Mhe. Gil Haskel, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Februari 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
11 years ago
MichuziMH. MAKALLA AKUTANA NA BALOZI MULAMULA NCHINI MAREKANI
Naibu Waziri wa Maji,Mhe. Amos Makalla (kulia) akiwa na Balozi wa Tanzania Nchini Marekani,Mh. Balozi Liberata Mulamula wakati alipomtembelea Ubalozini hapo.
9 years ago
VijimamboPINDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAWI
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Victoria Mwakasege, ofisini kwake jijini Dar es salaam Septemba 23, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Victoria Mwakasege kabla ya mazunguzo yao ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 23, 2015
10 years ago
MichuziWaziri wa Nishati na Madini akutana na Balozi wa Marekani nchini
Na Teresia Mhagama
Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress na Ujumbe wake, wamekutana na Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachewene, katika makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini jijini Dar es Salaam.
Viongozi hao walikutana ili kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo miradi ya umeme inayofadhiliwa na Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC), mradi mkubwa wa umeme unaofadhiliwa na nchi ya Marekani ujulikanao kama Umeme Afrika (Power Africa) pamoja na suala la kuwajengea...
Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress na Ujumbe wake, wamekutana na Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachewene, katika makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini jijini Dar es Salaam.
Viongozi hao walikutana ili kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo miradi ya umeme inayofadhiliwa na Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC), mradi mkubwa wa umeme unaofadhiliwa na nchi ya Marekani ujulikanao kama Umeme Afrika (Power Africa) pamoja na suala la kuwajengea...
10 years ago
Michuzi11 Sep
WAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI NCHINI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe akisalimiana na Balozi wa Marekani nchini, Mhe. Mark Childress alipofika Wizarani kwa ajili ya mazungumzo kuhusu masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani na kukumbuka Wahanga wa tukio la kigaidi lililotokea Marekani miaka 13 iliyopita (September 11). Mazungumzo yao yalifanyika tarehe 11 Septemba 2014.Mhe. Membe akimweleza jambo Balozi Childress wakati wa mazungumzo yao.
9 years ago
MichuziMhe PINDA AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAWI MAMA VICTORIA MWAKASEGE
Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akimkaribisha na Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Mhe Victoria Mwakasege, ofisini kwake jijini Dar es salaam. Balozi huyo ambaye ameteuliwa hivi karibuni, anaenda kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Patrick Tsere aliyemaliza muda wake kwa mujibu wa sheria. Waziri Mkuu, Mhe Mizengo Pinda akiongea na Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Victoria Mwakasege kabla ya mazunguzo yao ofisini kwake jijini Dar es salaam Waziri Mkuu, Mhe Mizengo Pinda akiwa katika...
10 years ago
VijimamboWaziri Mkuu, Mizengo Pinda Akutana na Balozi wa Msumbiji Nchini,Dkt. Vicente Mebunia
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa msumbiji nchini,Dkt. Vicente Mebunia ambaye alikwenda ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Agosti 3, 2015 kuaga.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10