Picha: Samantha (Hotshots) abariki kava la single ya msanii wa Tanzania
Aliyekuwa mwakilishi wa Afrika Kusini kwenye shindano la Big Brother Africa 2014, Samantha anaendelea kufurahia maisha nchini alikokuja kumpa kampani Idris Sultan. Pamoja na kutoweka wazi, wawili hao wanahisiwa kuwa ni wapenzi. Mrembo huyo ameamua kulibariki kava la wimbo mpya wa Milian, Until Forever Ends utakaotoka hivi karibuni. “Until forever ends album cover @milliandollarboy. Download […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo520 Jul
Young Killer afunga ndoa ….. kwenye kava la single mpya ‘Umebadilika’
11 years ago
Bongo521 Jul
Good Timing? Ali Kiba aonjesha kava la single yake mpya
10 years ago
Bongo519 Sep
Picha: Mfahamu zaidi Idris Sultan, mwakilishi wa Tanzania kwenye BBA Hotshots
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bLqpADszFyY/VDgG00IQ9LI/AAAAAAAGo_0/n459mRjSYeo/s72-c/single_mtambalike.jpg)
MSANII WA FILAMU NCHINI,SINGLE MTAMBALIKE AFIWA NA BABA YAKE MZAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-bLqpADszFyY/VDgG00IQ9LI/AAAAAAAGo_0/n459mRjSYeo/s1600/single_mtambalike.jpg)
MSANII wa maigizo na filamu nchini,Single Mtambalike maarufu kwa jina la Richie, amefiwa na baba yake mzazi Mzee Mtambalike usiku wa kuamkia leo, Msiba upo nyumbani kwao Tabata,jijini Dar es salaam.
9 years ago
Bongo507 Oct
Umeziona picha mpya za single ijayo ya Vanessa Mdee? Zinavutia
10 years ago
Michuzi05 Oct
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4Xz2BgefpX5LoQcSEylyJB*zX19AHmyeR5C7QdOogCqf1chhyAckbS9q3sbugbPKY1ZoKvVEt3i-LGbmnHX3*vD/msanii.gif?width=650)
PICHA ZA MSANII BONGO AKIJIFUNGUA ZAANIKWA!
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Tanzania yang’ara uzinduzi wa Big Brother HOTSHOTS!
Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye hafla ya uzinduzi wa shindano la Big Brother HOTSHOTS msimu wa tisa iliyoandaliwa maalum kwa wadau wa DStv na waandishi wa habari usiku wa kuamkia leo kwenye hoteli ya Dar es Salaam Serena.
Bi. Kambogi alitoa rai kwa Watanzania kuwa wazalendo kwa kuwapigia kura nyingi washiriki wetu wawili wanaoiwakilisha nchi kwenye shindano hilo na kutoa angalizo kwa wazazi na walezi kuhusiana na shindano...