Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Shilole alivyowapagawisha Wabelgiji

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini

Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha  wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.

Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...

 

9 years ago

MillardAyo

Shilole alivyowaalika mastaa nyumbani kwake… (+Picha)

Ilikua ni time ya watu wa nguvu kukutana na kuenjoy Dec 28, 2015 ambapo kumbukumbu yake imeandikwa na furaha zilizotokea kwenye House Party iliyofanyika kwa  Shilole  na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo baadhi ya mastaa. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg […]

The post Shilole alivyowaalika mastaa nyumbani kwake… (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Sakata la Zile Picha Chafu za Shilole Latinga Bungeni

Lile sakata la picha zisizo za maadili za Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva,Shilole  alizopigwa nchini Ubelgiji akiwa kwenye shoo yake zimejadiliwa bungeni mjini Dodoma.

Naibu waziri wa wizara ya Habari,Vijana na Utamaduni na Michezo,Juma Nkamia aliamua kuomba radhi jana kwa niaba ya serikali kufuatia kitendo cha msanii huyo kuvaa nguo zisizo za maadili jukwaani.

Hivi karibuni baadhi ya picha za msanii huyo zilizagaa mtandaoni zikimuonyesha akiwa jukwaani amevaa mavazi ambayo...

 

9 years ago

MillardAyo

Picha 20 Shilole, Linah, Baba Levo walivyoidondosha burudani Zanzibar

Jan 2 2016 mastaa wa Bongo Shilole, Linah, Baba Levo, Bonge la nyau, Bill Nas na wengine walijumuika Zanzibar na kutoa burudani ya kufungulia mwaka. Hapa nakukutanisha na matukio mbalimbali katika picha kwenye show hiyo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa […]

The post Picha 20 Shilole, Linah, Baba Levo walivyoidondosha burudani Zanzibar appeared first on...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole Aapa Kutopiga Picha Za Faragha Akiwa na Mpenzi Wake

Staa wa Bongo movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amesema kuwa  hatapiga tena picha akiwa faragha na mchumba wake Nuh Mziwanda kwani zimekuwa zikivuja bila yeye kujua na kusababisha adhaulike kwenye jamii.

Akizungumza na gazeti la Tanuru la Filamu, Shilole alisema alikuwa akifanya hivyo ili badaye  akiwa yuko mbali na mpenzi wake apate kuangalia jinsi walivyokuwa wakifurahishana lakini mambo hubadilika zikivuja na hivyo kuwa kwaza mashabiki wake ambao wanaheshimu sanaa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wabelgiji watakiwa waondoke Burundi

Chama tawala nchini Burundi kimewataka raia wote wa Ubelgiji waondoke nchini humo.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Shilole aonesha tattoo mpya ya jina la ‘Nuh’ aliyochora kifuani

Shilole amewathibitishia mashabiki na ‘haters’ wake kuwa mapenzi yake na Nuh Mziwanda ni ‘Unstoppable’. Staa huyo wa muziki na filamu ameonesha tattoo mpya aliyochora kifuani kwake yenye jina la mpenzi wake ‘Nuh’. Katika post yenye picha hiyo Shishi ameandika “Lv ya ukweli inaongea”. Mapenzi ya wawili hao yamekuwa yakikumbwa na dhoruba ya mara kwa mara […]

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Tazama Shilole alivyopokelewa huko Ubelgiji. Kutumbuiza jumamosi hii

Furaha ilishika nafasi pale mwanadada shilole alipowasili uwanja wa kimataifa wa ndege wa Zaventem jijini Brussel.Msanii Shilole akiwa na furaha baada ya kupokelewa na wenyeji wake uwanja wa ndege wa kimataifa wa Zaventem jijini Brussel.

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani