Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shilole alivyowaalika mastaa nyumbani kwake… (+Picha)

Ilikua ni time ya watu wa nguvu kukutana na kuenjoy Dec 28, 2015 ambapo kumbukumbu yake imeandikwa na furaha zilizotokea kwenye House Party iliyofanyika kwa  Shilole  na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo baadhi ya mastaa. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg […]

The post Shilole alivyowaalika mastaa nyumbani kwake… (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini

Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha  wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.

Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...

 

11 years ago

GPL

SHILOLE AWACHANA MASTAA WABEBA UNGA

Stori: Shani Ramadhani
STAA wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amewachana wasanii wanaojihusisha na madawa ya kulevya kuwa ni wavivu. Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akizungumza na paparazi wetu pasipo kuwataja majina, Shilole alisema wasanii wengi ni wavivu na kinachowaponza zaidi ni tamaa za kuwa na maisha mazuri, wanafikiri mafanikio yanakuja kirahisi pasipo kuhangaika. “Wanafikiri...

 

9 years ago

MillardAyo

Shilole alivyoifanya party isiyo na jina nyumbani kwake (video)

Msanii wa bongofleva December 28 2015 alifanya party nyumbani kwake lakini akasema party hiyo ambayo imefanyika kwenye huu mwezi ambao ni mwezi wake wa kuzaliwa haina jina, unaweza kutazama ilivyokua kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda […]

The post Shilole alivyoifanya party isiyo na jina nyumbani kwake (video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

CloudsFM

10 years ago

Bongo Movies

Sakata la Zile Picha Chafu za Shilole Latinga Bungeni

Lile sakata la picha zisizo za maadili za Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva,Shilole  alizopigwa nchini Ubelgiji akiwa kwenye shoo yake zimejadiliwa bungeni mjini Dodoma.

Naibu waziri wa wizara ya Habari,Vijana na Utamaduni na Michezo,Juma Nkamia aliamua kuomba radhi jana kwa niaba ya serikali kufuatia kitendo cha msanii huyo kuvaa nguo zisizo za maadili jukwaani.

Hivi karibuni baadhi ya picha za msanii huyo zilizagaa mtandaoni zikimuonyesha akiwa jukwaani amevaa mavazi ambayo...

 

9 years ago

Bongo5

AFRIMA 2015: Picha za mastaa mbalimbali wa Afrika waliohudhuria

Afrima pic-15

Tuzo za AFRIMA 2015 zilizofanyika Jumapili ya Novemba 15 jijini Lagos, Nigeria zilihudhuriwa na mastaa mbalimbali wa Afrika wakiwemo wasanii waliokuwa wakiwania vipengele mbalimbali.

Afrima pic-15

Kutoka Afrika Kusini ma-rapper wenye ushindani mkubwa Cassper Nyovest na AKA walikuwepo, Kutoka Afrika Mashariki Victoria Kimani, Sauti Sol, Diamond, Vanessa Mdee na Linah pia ni miongoni mwa waliohudhuria.

Hizi ni baadhi ya picha za mastaa waliohudhuria.

Afrima pic-2

Afrima pic-3

Afrima pic-4

Afrima pic-5

Afrima pic-6

Afrima pic-7

Afrima pic-8

Afrima pic-9

Afrima pic-10

Afrima pic-11

Afrima pic-12

Afrima pic-14

Afrima pic-16

Afrima pic-17

Afrima pic-18

Afrima pic-19

Afrima pic-20

Photo Credit: Instagram & Twitter –...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole Aapa Kutopiga Picha Za Faragha Akiwa na Mpenzi Wake

Staa wa Bongo movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amesema kuwa  hatapiga tena picha akiwa faragha na mchumba wake Nuh Mziwanda kwani zimekuwa zikivuja bila yeye kujua na kusababisha adhaulike kwenye jamii.

Akizungumza na gazeti la Tanuru la Filamu, Shilole alisema alikuwa akifanya hivyo ili badaye  akiwa yuko mbali na mpenzi wake apate kuangalia jinsi walivyokuwa wakifurahishana lakini mambo hubadilika zikivuja na hivyo kuwa kwaza mashabiki wake ambao wanaheshimu sanaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani