Shilole alivyoifanya party isiyo na jina nyumbani kwake (video)
Msanii wa bongofleva December 28 2015 alifanya party nyumbani kwake lakini akasema party hiyo ambayo imefanyika kwenye huu mwezi ambao ni mwezi wake wa kuzaliwa haina jina, unaweza kutazama ilivyokua kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda […]
The post Shilole alivyoifanya party isiyo na jina nyumbani kwake (video) appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo14 May
BASATA YALAANI TABIA CHAFU NA ISIYO NA MAADILI ILIYOONESHWA NA MSANII SHILOLE
![](http://api.ning.com/files/D*jRkBJZGXULQ0k9nzqIarQH6At2Z-K2HI5nlyPB0AfIoYpxhoIj3YYsfycXNb5BXQR1W5u7-TxV0yu*i3tyxhZct0xnWTgs/basata1.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/D*jRkBJZGXVdywA7nGMB485eH4evdm350TVOKFXw0W-CYRtVmLTGbhAhCg9wHSNSbUyjOae0ZYEwOjByU87nnOS-4xWBP1vv/SHISHIBABY2.jpg)
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo ni msimamizi wa sekta ya Sanaa na burudani nchini limeona picha chafu na zisizo na maadili za Msanii Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole alipokuwa akifanya onesho lake nchini Ubeligiji hivi karibuni.
Katika picha hizo ambazo zimelaaniwa na watanzania wengi nchini kupitia njia mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii, Shilole...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXULQ0k9nzqIarQH6At2Z-K2HI5nlyPB0AfIoYpxhoIj3YYsfycXNb5BXQR1W5u7-TxV0yu*i3tyxhZct0xnWTgs/basata1.jpg?width=650)
BASATA YALAANI TABIA CHAFU NA ISIYO NA MAADILI ILIYOONESHWA NA MSANII SHILOLE KWENYE ONESHO LAKE NCHINI UBELIGIJI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-usXm2UWv20w/VVRoFKudGtI/AAAAAAAHXPA/jpnb53d7P5U/s72-c/d.jpg)
BASATA YALAANI TABIA CHAFU NA ISIYO NA MAADILI ILIYOONESHWA NA MSANII SHILOLE KWENYE ONESHO LAKE NCHINI UBELGIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-usXm2UWv20w/VVRoFKudGtI/AAAAAAAHXPA/jpnb53d7P5U/s400/d.jpg)
Katika picha hizo ambazo zimelaaniwa na watanzania wengi nchini kupitia njia mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii, Shilole anaonekana akiwa Jukwaani huku viungo vyake vya sehemu za siri vikiwa hadharani na zaidi akionesha tabia ambazo kwa kiasi kikubwa...
9 years ago
Bongo504 Jan
Sitochora tena tattoo ya jina la mpenzi wangu – Shilole
![shilole-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/shilole-2-300x194.jpg)
Shilole ameapa kutorudia tena kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake.
Hivi karibuni muimbaji huyo alilazimika kuifuta tattoo ya jina la aliyekuwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.
Shilole amesema kujichora tattoo ya jila Nuh kumemharibia issue kibao.
“Tattoo hapa ni empty,” aliambia 255 katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatatu hii.
“SiwezI tena kuchora tattoo kwaajili ya mapenzi. Nimeamua kama tutapendana tutapenda rohoni kwa sababu nishaona hakuna sababu ya kuchora tattoo. Unaweza...
10 years ago
Habarileo24 Oct
Mfanyabiashara auawa nyumbani kwake
MFANYABIASHARA wa nafaka wa Maili Mbili , Dodoma mjini, Kapteni Mwita maarufu kama Chacha amepigwa risasi tatu na kufa akiwa nyumbani kwake.
9 years ago
Bongo510 Oct
Picha: Shilole aonesha tattoo mpya ya jina la ‘Nuh’ aliyochora kifuani
11 years ago
CloudsFM10 Jun
NUHU MZIWANDA APONDWA MTANDAONI BAADA YA KUJICHORA TATOO YENYE JINA LA SHILOLE
STAA wa Bongo Fleva,Nuhu Mzuwanda amepondwa na mashabiki wake mtandaoni baada ya kujichora tattoo yenye jina la mpenzi wake ambaye pia ni msanii mwenziye Zuwena Mohamed’Shilole’ambapo wamemuhoji kama wakiachana atachoma tattoo hiyo kwa pasi?
Msanii amepost picha hiyo ya tattoo kwenye mtandao wa Instagram na kuandika…Coz nampenda mke wangu nimeamua kuchora jina lake! Ila imeuma kuliko tattoo iliyopita! Siju kwa nn??...
Baadhi ya mashabiki walisema kuwa…. Duuh namuonea huruma sana huyu...
9 years ago
Bongo504 Sep
Shilole naye achora Tattoo ya jina la mpenzi wake Nuh Mziwanda (Picha)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3ZSopUVDgY0uringvULvw5*z53yXRIZaJorOdw68V7Y7G*gxZdAyhdIgR2EmanXJP0jZzlqvphrSTycVr5rcFMPIHVfkqPA/nishagari.jpg)
NISHA AVAMIWA NYUMBANI KWAKE, APORWA MALI