Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Terrence J, David Banner, Chaka Zulu waanza kutembelea hifadhi za Taifa

Wadau wa muziki kutoka Marekani Terrence J, David Banner na Chaka Zulu baada ya kumaliza kutoa semina kwa wasanii wa Tanzania, wameanza kutembelea hifadhi za taifa ili kujionea mambo mbalimbali kutoka kwenye hifadhi hizo. Tazama picha David Banner na Chaka Zulu wakiwa kwenye gari la safari Terrence J

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Terrence J, David Banner, Chaka Zulu na Ravi wamkosha TID ‘wamenifungua akili’

Hit maker wa Nyota Yako, Khaleed Mohamed aka TID amesema amefunguliwa akili na wadau wa muziki kutoka Marekani, Terrence J, David Banner, Chaka Zulu na Ravi katika mkutano maalumu wa maendeleo ya sanaa na wasanii katika biashara uliofanyika jana (july 14) katika ukumbi wa BOT. TID akizungumza katika mkutano huo Akizungumza na bongo5 leo, TID, […]

 

11 years ago

Bongo Movies

Jifunze yaliyojiri katika semina iliyoendeshwa na David Banner, Terrence J, Chaka Zulu na Ravi Shelton

July 14, 2014 wasanii na wadau mbalimbali wa sanaa ya muziki na filamu Tanzania waljumuika katika ukumbi wa Bank Kuu ya Taifa (BOT) kuhudhuria seminar kwa lengo la kupata elimu na kushare uzoefu wa biashara ya filamu na muziki kutoka Marekani.

Semina hiyo iliendeshwa na wamarekani David Banner (rapper, producer aliyefanya kazi na wasanii wakubwa Marekani na mshindi wa tuzo ya Grammy), Chaka Zulu( Meneja wa wasanii na mwanzilishi wa wa label ya DTP ), Terrence J (Muigizaji, mtangazaji wa TV...

 

11 years ago

Bongo5

Video:Terrance J, Chaka Zulu na David Banner watimiza ahadi ya Kikwete, watoa funzo kwa wasanii

Bongo5 leo imepata nafasi ya kufanya mahojiano na wadau wakubwa wa Muziki, filamu na maigizo kutoka Marekani ambao Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete aliwaahidi wasanii wa muziki na filamu siku ya uzinduzi wa kampeni ya kuhamasisha uzalendo kwa vijana jijini Dodoma wiki kadhaa zilizopita. Terrance J, Chaka Zulu, Ravi Shelton na David Banner Wadau hao ni […]

 

9 years ago

Michuzi

WATANZANIA 500,000 WANATARAJIWA KUTEMBELEA HIFADHI ZA TAIFA

Mahmoud Ahmad ArushaWATANZANIA 500,000 wanatarajiwa kutembelea mbuga zote 16 za hifadhi za taifa mwaka huu ikiwa ni hatua ya kuimarisha na kukuza utalii wa ndani ambapo watajionea vivutio mbalimbali vilivyomo ndani ya hifadhi hizo.
Hayo yameelezwa leo na Meneja uhusiano wa shirika la hifadhi za taifa, Tanapa, (Pichani)Pascol Shelutete, makao makuu ya TANAPA, jijini ,Arusha,  alipokuwa akizindua hatua ya mwisho ya  kampeni  maalumu ya miezi sita ya  kuhamasisha Watanzania kutembelea...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI NYALANDU AZINDUA KAMPENI YA UHAMASISHAJI WATANZANIA KUTEMBELEA HIFADHI ZA TAIFA‏

Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akisalimiana na Mkurugenzi wa Masoko na Utalii wa TANAPA Bw. Ibrahim Musa wakati alipowasili kwenye klabu ya Yacht, Jijini Mwanza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Uhamasishaji watanzania kutembelea Mbuga za Taifa iliyozinduliwa leo jijini humo ikiwashirikisha Bodi ya Utalii Tanzania TTB, kulia ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hifadhi za mbuga za Taifa TANAPA Dr. Allan Kijazi. Kampeni...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI NYALANDU AZINDUA KAMPENI MPYA YA KUWAHAMASISHA WATANZANIA KUTEMBELEA HIFADHI ZA TAIFA JIJINI MWANZA LEO

 Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akiwa amekata utepe kuashiria uzinduzi wa usafiri wa boti (Majini) katika suala zima la kurahisisha  kuhamasisha kampeni ya Uhamasishaji Watanzania Kutembelea Hifadhi za Taifa,hafla hiyo imefanyika mapema leo asubuhi ndani ya Yatch Club,jijini Mwanza,kulia ni  Mkurugenzi wa Hifadhi za Taifa ,Tanzania (TANAPA) Allan Kijazi   Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akiwa amekata utepe kuashiria uzinduzi wa usafiri wa magari (nchi kavu)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

YVONE CHAKA CHAKA: Mtoto wa kwanza mweusi runingani Afrika Kusini

YVONE  Chaka Chaka ni mwimbaji machachari mwenye sauti nyororo inayosindikizwa na haiba usoni mwake. Alizaliwa katika mji wa Dobsonville huko Soweto, nchini Afrika Kusini mwaka 1965, ambaye aliweka rekodi ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Chaka Chaka: Nyerere was real son of African continent

“For me, Mwalimu Nyerere is not the Father of the Nation for Tanzanians only; he is the father of the African Continent,” Ms Chaka-chaka told the media in Arusha yesterday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani