Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jifunze yaliyojiri katika semina iliyoendeshwa na David Banner, Terrence J, Chaka Zulu na Ravi Shelton

July 14, 2014 wasanii na wadau mbalimbali wa sanaa ya muziki na filamu Tanzania waljumuika katika ukumbi wa Bank Kuu ya Taifa (BOT) kuhudhuria seminar kwa lengo la kupata elimu na kushare uzoefu wa biashara ya filamu na muziki kutoka Marekani.

Semina hiyo iliendeshwa na wamarekani David Banner (rapper, producer aliyefanya kazi na wasanii wakubwa Marekani na mshindi wa tuzo ya Grammy), Chaka Zulu( Meneja wa wasanii na mwanzilishi wa wa label ya DTP ), Terrence J (Muigizaji, mtangazaji wa TV...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Terrence J, David Banner, Chaka Zulu na Ravi wamkosha TID ‘wamenifungua akili’

Hit maker wa Nyota Yako, Khaleed Mohamed aka TID amesema amefunguliwa akili na wadau wa muziki kutoka Marekani, Terrence J, David Banner, Chaka Zulu na Ravi katika mkutano maalumu wa maendeleo ya sanaa na wasanii katika biashara uliofanyika jana (july 14) katika ukumbi wa BOT. TID akizungumza katika mkutano huo Akizungumza na bongo5 leo, TID, […]

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Terrence J, David Banner, Chaka Zulu waanza kutembelea hifadhi za Taifa

Wadau wa muziki kutoka Marekani Terrence J, David Banner na Chaka Zulu baada ya kumaliza kutoa semina kwa wasanii wa Tanzania, wameanza kutembelea hifadhi za taifa ili kujionea mambo mbalimbali kutoka kwenye hifadhi hizo. Tazama picha David Banner na Chaka Zulu wakiwa kwenye gari la safari Terrence J

 

11 years ago

Bongo5

Video:Terrance J, Chaka Zulu na David Banner watimiza ahadi ya Kikwete, watoa funzo kwa wasanii

Bongo5 leo imepata nafasi ya kufanya mahojiano na wadau wakubwa wa Muziki, filamu na maigizo kutoka Marekani ambao Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete aliwaahidi wasanii wa muziki na filamu siku ya uzinduzi wa kampeni ya kuhamasisha uzalendo kwa vijana jijini Dodoma wiki kadhaa zilizopita. Terrance J, Chaka Zulu, Ravi Shelton na David Banner Wadau hao ni […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Wengi wanufaika na semina ya kilimo na ufugaji wa kisasa iliyoendeshwa na mjasiriamali Bi. Mary David jijini Dar

 Mjasiriamali na Muandaaji wa wa Semina ya Kilimo na Ufugaji wa Kisasa Bi. Mary David Kinong’o akitoa Maelezo juu ya Kilimo na Ufugaji wa kisasa ambapo aliwasisitiza Vijana na watu wote kujiunga na ujasiliamali na kuunda vikundi mbalimbali ili kujiendeleza kiuchumi. IMG_0018 Mmoja wa wajasiriamali ambaye pia ni Mkulima na Mfugaji akichangia uzoefu wake wa jinsi alivyo nufaika na mafunzo kama haya na mpaka sasa anajitegemea na Kupata kipatochake na kuwasaidia wengine. Wa kwanza Kulia ni Stella...

 

11 years ago

Tanzania Daima

YVONE CHAKA CHAKA: Mtoto wa kwanza mweusi runingani Afrika Kusini

YVONE  Chaka Chaka ni mwimbaji machachari mwenye sauti nyororo inayosindikizwa na haiba usoni mwake. Alizaliwa katika mji wa Dobsonville huko Soweto, nchini Afrika Kusini mwaka 1965, ambaye aliweka rekodi ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Chaka Chaka: Nyerere was real son of African continent

“For me, Mwalimu Nyerere is not the Father of the Nation for Tanzanians only; he is the father of the African Continent,” Ms Chaka-chaka told the media in Arusha yesterday.

 

10 years ago

Bongo5

Yvonne Chaka Chaka kutumbuiza Kenya mwezi huu

Mashabiki wa Kenya mwezi huu watapata nafasi ya kupata burudani kutoka kwa wasanii wawili wakubwa wa Afrika katika show mbili tofauti. Mwanamuziki mkongwe wa Afrika Kusini, Yvonne Chaka Chaka atatumbuiza jijini Nairobi, Kenya katikati ya mwezi huu. Hit maker huyo wa ‘Umqombothi’ atatumbuiza na wasanii wengine wa Kenya akiwemo Nameless kwenye tamasha la ‘Koroga festival’. […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Wimbo ramsi wa tuzo za Afrimma ulioshirikisha wasanii 10 akiwemo Diamond, Yvonne Chaka chaka, Vanessa Mdee…

Wasanii kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanaowania tuzo za Afrimma wameungana kufanya wimbo rasmi wa tuzo hizo (Afrimma Theme Song). Walioshiriki katika wimbo huo ni pamoja na mkongwe kutoka Afrika Kusini Yvonne Chaka Chaka, Awilo Logomba (Congo), Diamond Platnumz (Tanzania), Eddy Kenzo (Uganda), Harrysong (Nigeria), Kcee (Nigeria), Stanley Enow (Cameroon), Dynamq (South Sudan) Teddy-A (Nigeria), […]

 

10 years ago

TheCitizen

Yvonne Chaka Chaka on song at 50

This weekend singer Yvonne Chaka Chaka, the self proclaimed Princess of Africa, celebrates her 50th birthday, 30 years in the industry, 10 years as a United Nations Children’s Fund goodwill ambassador and a new show.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani