PICHA: UKUMBI MPYA WA MIKUTANO WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AUb3SNGViEg/VVheXoKIPHI/AAAAAAAAlEc/r_RIsHbKsRk/s72-c/bja.jpg)
Huu ndo ukumbi mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ulioko mjini Dodoma. Ni ukumbi uliogharimu mamilioni ya fedha mpaka kukamilika na kua na mwonekano wa kisasa zaidi. Ukumbi huu utakua ukitumiwa na chama hicho katika mikutano yake ya kitaifa. Chini ni baadhi tu ya picha za ukuimbi huo katika pembe tofauti
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2hNp-EUbRWI/VVcAWGkPYRI/AAAAAAAHXi0/Mc7FZs7wjM8/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
PICHA: UKUMBI MPYA WA MIKUTANO WA CCM MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2hNp-EUbRWI/VVcAWGkPYRI/AAAAAAAHXi0/Mc7FZs7wjM8/s640/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PPoubQmBvSI/VVcAWEBh1yI/AAAAAAAHXi8/_6hzT83UDzc/s640/unnamed%2B(40).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-y4G5rn7r2Mg/XuDXRxdDKhI/AAAAAAALtXE/CTIjtAhjhH0m50ZE7NcNosFlj6FtVeBGgCLcBGAsYHQ/s72-c/5..AA_-768x512.jpg)
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM RAIS MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-y4G5rn7r2Mg/XuDXRxdDKhI/AAAAAAALtXE/CTIjtAhjhH0m50ZE7NcNosFlj6FtVeBGgCLcBGAsYHQ/s640/5..AA_-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/7-1AA-1024x803.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 10 Juni 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/9AAA-1024x861.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/10AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/12AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/13AA-1024x688.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/14AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/15AAA-1024x657.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2hNp-EUbRWI/VVcAWGkPYRI/AAAAAAAHXi0/Mc7FZs7wjM8/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Ukumbi mpya wa mikutano wa CCM mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-2hNp-EUbRWI/VVcAWGkPYRI/AAAAAAAHXi0/Mc7FZs7wjM8/s640/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PPoubQmBvSI/VVcAWEBh1yI/AAAAAAAHXi8/_6hzT83UDzc/s640/unnamed%2B(40).jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 May
JK akagua ukumbi mpya wa mikutano wa kimataifa unaojengwa na CCM mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-2hNp-EUbRWI/VVcAWGkPYRI/AAAAAAAHXi0/Mc7FZs7wjM8/s640/unnamed%2B(39).jpg)
Muonekano wa ndani wa ukumbi mpya wa mikutano uliojengwa na CCM mjini Dodoma ambao uko katika hatua za mwisho kukamilika kabla ya kuanza kutumika.Ukumbi huu upo karibu na jengo la Benki Kuu, njia ya kuelekea Chuo Kikuu cha Dodoma – UDOM.
![](http://2.bp.blogspot.com/-PPoubQmBvSI/VVcAWEBh1yI/AAAAAAAHXi8/_6hzT83UDzc/s640/unnamed%2B(40).jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Dodoma unaojengwa na CCM. Kulia ni makamu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_U0bEVomyAw/VZ5eZ24WlJI/AAAAAAAHn9k/ZRtnC1A5mV8/s72-c/MMGL1187.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA UKUMBI MPYA WA MIKUTANO WA CCM, MJINI DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-_U0bEVomyAw/VZ5eZ24WlJI/AAAAAAAHn9k/ZRtnC1A5mV8/s640/MMGL1187.jpg)
10 years ago
Michuzi27 Feb
10 years ago
Vijimambo31 Jul
CHAMA CHA MAPINDUZI CCM ZANZIBAR CHATOA TAMKO JUU YA KUJITOA KWENYE CHAMA WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASA.
![unnamed (4)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-44.jpg)
![unnamed (5)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-53.jpg)
![unnamed (6)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-62.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hq4kPePBrfM/VAVJC7LkN4I/AAAAAAAGaqE/ACmDFZHPKII/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
CHAMA CHA MAPINDUZI UINGEREZA CHAPATA MWENYEKITI MPYA
Aanza kwa kuunda timu itakayounda upya Jumuiya ya Watanzania UK na kuhusisha wadau wote;Azungumzia suala la uraia pacha na Rais Ajaye katika uchaguzi 2015;Kuunda Saccoss ya watanzania UK na Jumuiya ya Wanawake.Na Abraham Sangiwa Itikadi Siasa na Uenezi - CCM – UNITED KINGDOM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-hq4kPePBrfM/VAVJC7LkN4I/AAAAAAAGaqE/ACmDFZHPKII/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HshDBq4p8e8/VAVJKdzSphI/AAAAAAAGaqc/LkPWmwVxn5o/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wB149r0b5pk/U8e3E2J29AI/AAAAAAAClqE/WSMyZAVZrLI/s72-c/MMGM4299.jpg)
TAARIFA KUTOKA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wB149r0b5pk/U8e3E2J29AI/AAAAAAAClqE/WSMyZAVZrLI/s1600/MMGM4299.jpg)
Jana tarehe 16/07/2014 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ilifanya kikao cha kawaida cha siku moja mjini Dar es salaam. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.
Pamoja na mambo mengine kikao hicho kilipokea taarifa ya mazungumzo yanayoendelea kati ya CCM kwa upande mmoja na CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi kwa upande wa pili.
Mazungumzo hayo yanayosimamiwa na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi yana lengo la kuangalia kwa kina ni kwa nini...