Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PICHA YA LEO

Passengers scramble for tickets at Ubungo Bus Terminal in Dar es Salaam, due to shortage of transport created by an intensified crackdown by police on upcountry buses which featured an inspection of driver’s licences and other documents in a bid to curb road accidents. (Photo by Mohamed Mambo).

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Dewji Blog

Matukio ya picha kutoka Bungeni leo

PG4A0194

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma Februari, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A0221

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Musoma Mjini, Vincent Nyerere kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma.

PG4A0226

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaimaa John Kwegyir, kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma.

PG4A0231

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na wananchi kutoka wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe walitembelea Bunge mjini Dodoma...

 

5 years ago

CCM Blog

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI LEO DODOMA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mpwapwa, George Lubeleje, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 16, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kuteuliwa  Shamsi Vuai Nahodha, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 16, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na...

 

9 years ago

MillardAyo

Picha 10 nilivyoikuta bomoabomoa Kinondoni leo December 17

Taarifa ikufikie kwamba awamu nyingine ya bomoabomoa tayari imeendelea Dar es Salaam na kuna maeneo tayari imepita kukamilisha zoezi hilo. Kuna watu wamejenga maeneo ya wazi, wako waliojenga kwenye maeneo hatarishi au maeneo yasiyoruhusiwa, agizo likatoka Serikalini kwamba wahame mapema kabla ya Serikali haijaingilia kati. Wapo waliohama na wapo waliobaki kwenye maeneo hayo, bomoabomoa imepita na […]

The post Picha 10 nilivyoikuta bomoabomoa Kinondoni leo December 17 appeared first on...

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Utengenezaji wa video mpya ya Asia ‘Leo’

Msanii wa muziki, Asia aliyetamba na wimbo ‘Mtoto wa Mjini’ anatarajia kuachia video ya wimbo wake mpya ‘Leo’ iliyoongozwa na kutayarishwa na kampuni ya Kwetu Studio. Tamaza picha za utengenezaji wa video hiyo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha:Siku ya Leo Hizi za Kidoti Zimependwa na Wengi

Picha za mrembo anaefanya vitu vingi hapa mjini kuanzia mitindo, utangazaji,ujasiliamali  hadi uimbaji wa muziki,  Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ alizozitupia leo kwenye ukurasa wake wa mtandaoni zimepokea’ LIKES’ na COMMENTS kutoka kwa wadau na mashabiki wa kike na wakiume huu kila mmoja akisema lake juu ya picha hizo.

Yote kwa yote Kidoti hapo ametokelezea ile sana, kwa upande wetu hizi za Kidoti ndio picha bomba  zaidi kwa siku ya leo kati ya za mastaa wote wa  Bongo Movies.

Tupia mtazamo wako...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: AY kushoot video ya pili leo nchini Marekani

Baada ya kushoot video ya kwanza nchini Marekani ya wimbo aliomshirikisha Sean Kingston, leo rapper AY anashoot video ya pili. AY amesema video anayoshoot leo ni ya wimbo wake ‘It’s Goig Down’ aliowashirikisha Ms Triniti na Lamyia Good. “Na-shoot ‘It’s Goin Down’ leo kila kitu kinaenda sawa na director ni Tim Burton and Chris Mckehnie,” […]

 

10 years ago

Michuzi

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba. Mhe. Samuel Sitta akiongoza bunge hilo leo 22 Septemba, 2014 mjini Dodoma. Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Amon Mpanju akisoma Azimio la kupitisha marekebisho ya Kanuni za Bunge Maalum leo 22 Septemba, 2014 mjini Dodoma. Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Ezekiel Olouch akichangia mada wakati wa usomaji wa Azimio la kupitisha marekebisho ya Kanuni za Bunge Maalum leo 22 Septemba, 2014 mjini Dodoma. Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani