Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha za wanamitindo zaudhi wengi India

Picha za wanamitindo zilizopigwa kwenye basi zikionyesha mwanamke akionekana kama anayebakwa na wanaume, zimezua hisia kali India.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PICHA YA WEMA SEPETU AKIWA HOSPITALI YASHUA WENGI. WENGI WAULIZA KAMA NDO AMEANZA MATIBABU YA KUPATA MTOTO


The socialite, The Actress kutoka kiwanda cha filamu Tanzania Bongo Movie Wema Sepetu, baada ya kutangaza kuwa anatatizo la kutozaa kwa muda mrefu na angetamani siku moja kupata mtoto wamejitokeza madakatari wengi na kutaka kumtibu.Lakini kabla ya kuanza kumtibu amewapa angalizo kwamba wakati anaanza kutiwa akawa na mwenza wake kabisa ambae wwatukuwa wamekubaliana pale tatizo litakapokuwa limeisha tu basi mara moja waweze kupata mtoto..Hilo ndilo angalizo la Wema Sepetu ambae anatamani sana...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Monalisa Amewakumbusha Wengi kwa Picha Hii

2003…..Ubatizo wa mtoto wangu wa kwanza Sonia kanisani hapo KKKT USharika wa Yombo Dovya pembeni nipo na baba mtoto aliyekuwa mume wangu ambae sasa ni marehemu George Tyson.
Hii nimependeza jamani msicheke basi.


Monalisa on instagram
 

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Utatu Huu Umewapendeza Wengi

Naweza sema kwa siku ya leo picha hii ndio iliyopata “comments” na “Likes” nyingi zaidi kuliko picha zote zawaigizaji zilitupiwa leo  mtandaoni. Nipicha inayowajumuisha mastaa watatu ambao ni waigizaji wa filamu maarufu hapa Bongo, amabao ni Kajala,Tausi na Wolper.

Mashakibi wengi wameonekana kivutiwa zaidi na picha hii kwani ndani ya muda mfupi picha hizi zilipata Likes zaidi ya elfu tano na comment zaidi ya mia tatu.

Wote kwapamoja, Kajala na Wolper waliziweke picha hizi kwenye kurasa za...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Kutana na ‘Team No Stress’, Wafagiliwa na Wengi

Hii ni moja ya picha ambayo kwa siku mbili hizi ime ‘Trend’ sana kwenye mitandao ya kijamii kwa kupokea Komenti na Likes zakutosha. Hawa ni mastaa warembo kutoka Bongo Movies, Johari na Irene Uwoya wakiwa katika pozi bomba lenye kuvutia kwa watazamaji wa picha hii.

Johari aliibandika kwenye ukurasa wake na kuandika “Nice Sunday .. team no stress” wakati Uwoya aliandika “Mimi apa na johari wanguuuuu.....tunawapendaje yaniii ni shidaaahhh”

Kiukweli wametokelezea bomba sana, sio mbaya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha:Siku ya Leo Hizi za Kidoti Zimependwa na Wengi

Picha za mrembo anaefanya vitu vingi hapa mjini kuanzia mitindo, utangazaji,ujasiliamali  hadi uimbaji wa muziki,  Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ alizozitupia leo kwenye ukurasa wake wa mtandaoni zimepokea’ LIKES’ na COMMENTS kutoka kwa wadau na mashabiki wa kike na wakiume huu kila mmoja akisema lake juu ya picha hizo.

Yote kwa yote Kidoti hapo ametokelezea ile sana, kwa upande wetu hizi za Kidoti ndio picha bomba  zaidi kwa siku ya leo kati ya za mastaa wote wa  Bongo Movies.

Tupia mtazamo wako...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Joti Awakuna Wengi Kwa Mtoko Huu

Picha ya mwigizaji mkongwe wa vichekesho “KOMEDI” Lucas Mhuvile ‘Joti’  imewakuna watu wengi  na kufanya kuwa ni moja kati ya picha zinazo” TREND” mtandaoni toka jana. 

Japo kuwa Joti akiwa kama ‘Bi kiboga’ ametokelezea kiofisi zaidi, watu wengi wamejituka wakiangusha komenti nyingi wakielezea kuvunjika kwa mbavu zao kwa kicheko huku wengine wakisema mnuno wake ndio balaa na wengine wakisema skuna ndio sheedah ilimradi kila mmoja kafurahi kwa mtindo wake.

Kiukweli kabisa kijana huyu ni...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Studio binafsi ya Millard Ayo yashtua wengi

Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo na mshindi wa vipengele viwili kwenye Tuzo za Watu mwaka jana ni mtu wa mambo ya kimya kimya ndio maana picha ya studio aliyokuwa akiijenga nyumbaji kwake kwa mwaka mzima zimewashtua wengi. Mtangazaji huyo wa kipindi cha Amplifaya anakuwa mtangazaji wa kwanza Afrika Mashariki kama si Afrika nzima kuwa […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha za Wema na Ommy Dimpoz Zawavutia Wengi Mtandaoni!!!

Siku ya jana kwenye kurasa mbalimbali za watu maarufu kwenye mtandao wa INSTAGRAM walibandika picha hizi za mwanadada Wema Sepetu akiwa na Ommy Dimpoz wakiwa katika mapozi tofauti tofauti.

Kila zilipowekwa, wengi wa bonyeza kitufe cha kuzipenda na wengine waliandika maoni yao huku wengi wakiwasifia kwa jinsi walivyopendeza, na wengine walienda mbali zaidi kuwa wamependezana hivyo ingependeza hii iwe ni Le PROJECT mupyaaa.

Ila baadhi ya watu walibuka na kuponda bila sababu kibaya zaidi ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Wema na Wolper Washangaza Wengi Baada ya Kupombeka

Hii ilitokea hivi juzi kati kwenye ‘Bethidei Pati’ ya Petitman ambae ni mtu wa karibu wa mwanadada Wema Sepetu.

Inasemekana mara baada ya mastaa hao kuchapa ‘ulabu’ wakaanza kufanya yao (kama unavyoona kwenye picha hapo juu). Kitendo ambacho kiliwashangaza wengi waliohudhulia sherehe hiyo.

Je ni picha gani upeita kutoka kwenye pichi hizo?

Mzee wa Ubuyu

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani