Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda akutana na mameya na wenyeviti wa halmashauri mjini Tanga

PG4A4469

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na baadahi ya washiriki wa mkutanono kati yake na Mameya ya Majijiji Miji na manispaa pamoja na wenyeviti wa halmashauri za miji na wilaya mjini Tanga Juni 30, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Pinda atangaza vita na mameya, wenyeviti wanaokuza migogoro

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema ataanza kuwavua madaraka mameya na wenyeviti watakaobainika kukuza migogoro ndani ya halmashauri zao kwa kuwa inachangia kwa kiasi kikubwa kurudisha nyuma maendeleo ya wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Alat kuwatunukia tuzo mameya na wenyeviti

Mameya na wenyeviti wa halmashauri za jiji, manispaa na wilaya zilizofanya vyema katika maendeleo ya wananchi, watatunukiwa tuzo maalumu ili kuibua ari ya kuwatumikia wananchi na Serikali kwa jumla.

 

10 years ago

Habarileo

ALAT kutoa tuzo kwa Wenyeviti, Mameya

JUMUIYA ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) imezindua mpango wa kuwapa tuzo Wenyeviti na Mameya kwa Uongozi na Utendaji uliotukuka, ambao utahusisha maoni kutoka kwa wananchi kupitia ujumbe mfupi wa simu za mkononi pamoja na tovuti ya jumuiya hiyo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua mkutano mkuu wa ALAT mjini Tanga

PG4A9002

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua Kitabu cha Miaka 30 ya ALAT katika Mkutano Mkuu wa ALAT alioufungua May 14, 2014 mjini Tanga . Kulia ni Mwenyekiti wa ALAT, Dr. Didas Masaburi na kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mkoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9120

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na  wafanyakazi wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO) katika maonyesho ya mika 30 ya  ALAT mjini Tanga May 14, 2014. Mheshimiwa Pinda...

 

11 years ago

Dewji Blog

JK akutana na Mgombea Urais wa Msumbiji Ikulu ndogo mjini Tanga

uh1

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mgombea wa Urais nchini Msumbiji kwa tiketi ya chama cha Frelimo Filipe Nyusi Ikulu ndogo ya Tanga kwa mazungumzo.

uh3

uh4

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa kwenye picha ya pamoja na a Mgombea wa Urais nchini Msumbiji kwa tiketi ya chama cha Frelimo Filipe Nyusi aliyeambatana na Katibu Mkuu wa...

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA AKUTANA NA WADAU WA CDA MJINI DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wadau wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) mjini Dodoma Sep12,2014. Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa wadau wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) wakimsikiliza Waziri Mkuu, MIzengo Pinda wakati alipozungumza nao mjini Dodoma Sep12,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA TANGA CEMENT WAFANYA USAFI SOKO KUU LA MJINI TANGA LA NGAMIANI

 Meneja Rasilimali Watu wa Kampuni ya Saruji Tanga, Diana Malambugi (kulia) akiwa na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo wakifanya usafi katika Soko Kuu la Mji wa Tanga la Ngamiani mjini humo leo, kuadhimisha Siku ya Uhuru iliyodhimishwa kwa watanzania wote kujishughulisha na shuhuli za usafi wa mazingira.  Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Saruji Tanga, wakifanya usafi katika Soko Kuu la Mji wa Tanga la Ngamiani mjini humo jana kuadhimisha Siku ya Uhuru ambayo watanzania nchini kote...

 

10 years ago

Michuzi

Wafanyakazi Wanawake wa Tanga Cement Walivyosherehekea Siku ya Wanawake Duniani mjini Tanga

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni Tanga Cement Plc, Reinhardt Swart (kushoto) akimpa zawadi mhandisi mwanamke kijana katika kampuni hiyo, Irene Lema  katika hafla iliyoandaliwa na wafanyakazi wanawake wa Tanga Cement  kusheherekea siku ya wanawake duniani mjini Tanga. Kaimu Ofisa Fedha Mkuu wa Kampuni ya Saruji Tanga, Unguu Sulay (kulia) akimpa zawadi mfanyakazi mwanamke hodari na mwenye mfano wa kuigwa wa kampuni hiyo, Rosemary Kashaga  Juma katika hafla iliyoandaliwa na wafanyakazi wanawake...

 

5 years ago

CCM Blog

HALMASHAURI YA JIJILA TANGA YASISITIZA TAHADHARI YA CORONA

  Na Rebeca Duwe, Tanga

Halmashauri ya Jiji la Tanga imeendelea kutoa tahadhari kwa wakazi wa jiji hilo kutokana mlipuko wa Ugonjwa wa homa kali  ya mapafu inayosababishwa na kirusi cha Corona kwamba wananchi waweze kusimamia maagizo muhimu yanayotolewa na serikali ikiwemo mikusanyiko isiyo ya lazima.

Hayo aliyasema  Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga Mustapha Selebosi wakati akizungumza katika baraza la madiwini lililofanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo ambapo alisema wapo watu bado wana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani