Pinda akutana na mameya na wenyeviti wa halmashauri mjini Tanga
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadahi ya washiriki wa mkutanono kati yake na Mameya ya Majijiji Miji na manispaa pamoja na wenyeviti wa halmashauri za miji na wilaya mjini Tanga Juni 30, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 May
Pinda atangaza vita na mameya, wenyeviti wanaokuza migogoro
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Alat kuwatunukia tuzo mameya na wenyeviti
10 years ago
Habarileo16 Jan
ALAT kutoa tuzo kwa Wenyeviti, Mameya
JUMUIYA ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) imezindua mpango wa kuwapa tuzo Wenyeviti na Mameya kwa Uongozi na Utendaji uliotukuka, ambao utahusisha maoni kutoka kwa wananchi kupitia ujumbe mfupi wa simu za mkononi pamoja na tovuti ya jumuiya hiyo.
11 years ago
Dewji Blog14 May
Pinda afungua mkutano mkuu wa ALAT mjini Tanga
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua Kitabu cha Miaka 30 ya ALAT katika Mkutano Mkuu wa ALAT alioufungua May 14, 2014 mjini Tanga . Kulia ni Mwenyekiti wa ALAT, Dr. Didas Masaburi na kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mkoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wafanyakazi wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO) katika maonyesho ya mika 30 ya ALAT mjini Tanga May 14, 2014. Mheshimiwa Pinda...
11 years ago
Dewji Blog11 Jul
JK akutana na Mgombea Urais wa Msumbiji Ikulu ndogo mjini Tanga
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mgombea wa Urais nchini Msumbiji kwa tiketi ya chama cha Frelimo Filipe Nyusi Ikulu ndogo ya Tanga kwa mazungumzo.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa kwenye picha ya pamoja na a Mgombea wa Urais nchini Msumbiji kwa tiketi ya chama cha Frelimo Filipe Nyusi aliyeambatana na Katibu Mkuu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LKVmCCwbank/VBNgVFCDV5I/AAAAAAAGjWs/aASAkyx5_U4/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
MH. PINDA AKUTANA NA WADAU WA CDA MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-LKVmCCwbank/VBNgVFCDV5I/AAAAAAAGjWs/aASAkyx5_U4/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LHbAnDLpQNU/VBNgVDQIS7I/AAAAAAAGjW4/ypmMNfG-RAA/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T5WadL1qFHo/VBNgVVF1mmI/AAAAAAAGjWw/bV04fO2KbyY/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA TANGA CEMENT WAFANYA USAFI SOKO KUU LA MJINI TANGA LA NGAMIANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mJT3I5FP5JA/VRJMez6ennI/AAAAAAAHNBk/lesA9AI-RfY/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Wafanyakazi Wanawake wa Tanga Cement Walivyosherehekea Siku ya Wanawake Duniani mjini Tanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-mJT3I5FP5JA/VRJMez6ennI/AAAAAAAHNBk/lesA9AI-RfY/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RWpCpAJwU6Y/VRJMgOF2ALI/AAAAAAAHNB0/DLcJWobAVMY/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9MartZi3lqo/XoHPURtefsI/AAAAAAAAxV4/1Qj3CVOocBU7jW3S5iEe39XDsNINMpPAgCLcBGAsYHQ/s72-c/bbbbb.jpg)
HALMASHAURI YA JIJILA TANGA YASISITIZA TAHADHARI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9MartZi3lqo/XoHPURtefsI/AAAAAAAAxV4/1Qj3CVOocBU7jW3S5iEe39XDsNINMpPAgCLcBGAsYHQ/s640/bbbbb.jpg)
Halmashauri ya Jiji la Tanga imeendelea kutoa tahadhari kwa wakazi wa jiji hilo kutokana mlipuko wa Ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na kirusi cha Corona kwamba wananchi waweze kusimamia maagizo muhimu yanayotolewa na serikali ikiwemo mikusanyiko isiyo ya lazima.
Hayo aliyasema Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga Mustapha Selebosi wakati akizungumza katika baraza la madiwini lililofanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo ambapo alisema wapo watu bado wana...