Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pistorius:Sehemu ya ushahidi kubanwa

Jaji anayesikiliza kesi ya mauaji dhidi ya Pistorius amepiga marufuku kupeperushwa moja kwa moja kwa kikao kuhusu ushahidi wa picha za mauaji ya Reeva

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mawakili wa Pistorius kutoa ushahidi

Oscar Pistorius anatarajiwa kuwa wa kwanza kutoa ushahidi wake katika kesi inayomkabili ya mauaji ya mpenzi wake Reeva Steenkamp

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius:Mashahidi walikataa kutoa ushahidi

Baadhi ya mashahidi katika kesi inayomkabili Oscar Pistorius, walikataa kutoa ushahidi kwa hofu ya kuonekana hadharani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius aendelea kutoa Ushahidi wake

Mahakama ya Pretoria imeanza kumsikiza Oscar Pistorius akijitetea katika kesi inayomkabili ya kumpiga risasi Reeva Steenkamp

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius:Ushahidi wa mtaalamu wazua hoja

Mtaalamu wa uchunguzi wa mauaji anahojiwa vikali na kiongozi wa mashitaka katika kesi ya mauaji dhidi ya mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius.

 

11 years ago

Habarileo

Kampuni za simu kubanwa

Rais Jakaya Kikwete akizindua rasmi mtambo wa usimamizi wa ufuatiliaji mawasiliano ya simu nchini (TTMS) katika sherehe iliyofanyika Dar es Salaam jana. Kutoka kulia ni Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Mecki Sadiki. (Picha na Mohamed Mambo).KAMPUNI za simu nchini zitaanza kufuatiliwa na mtambo maalumu ili kubaini kila senti zinazoingiza na kuwezesha Serikali kupata kodi yake kikamilifu.

 

9 years ago

Habarileo

Wazazi wasiowajibika kubanwa

SERIKALI imesema itaboresha sheria kwa ajili ya kubana wazazi wasiowajibika katika malezi.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wakataa kubanwa

BAADHI ya wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, wamependekeza kuondoa kwenye rasimu ya Katiba mpya, kipengele kinachotaka wananchi wapewe uwezo kisheria, kuwaondoa wabunge wao wasioweza kutatua kero za wapigakura wao, badala ya kusubiri mpaka baada ya Uchaguzi Mkuu.

 

10 years ago

Habarileo

Maofisa takwimu kubanwa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia.WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia amesema Serikali haitakuwa na huruma kwa maofisa elimu, takwimu na vifaa (SLO) katika halmashauri nchini watakaochelewesha na kuwasilisha takwimu za elimu zisizo sahihi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachakachuaji pembejeo kubanwa

>Serikali imeanza mchakato wa marekebisho ya Sheria ya Mbegu, Mbolea na Dawa itakayosaidia kuwabana ama kuwafilisi mawakala wa pembejeo za kilimo watakaobainika kufanya biashara kwa kuzichakachua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani