Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Police close Msata


Police close Msata- Bagamoyo road
Daily News
FOLLOWING the announcement of Tanzania Meteorological Agency (TMA) all over the country to take preventive measures in readiness for a stormy season, the Coast Region Police Force has advised citizens to avoid using motor vehicles on Msata to ...

Bagamoyo road

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Police to keep banks under close watch

Police will deploy detectives in major financial institutions to keep an eye on activities within and outside banks to curb rising cases of robberies in the city.

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Tanzania: Police to Keep Banks Under Close Watch


Tanzania: Police to Keep Banks Under Close Watch
AllAfrica.com
Dar es Salaam — Police will deploy detectives in major financial institutions to keep an eye on activities within and outside banks to curb rising cases of robberies in the city. The aim is to establish the source of such incidents and enable police ...

 

10 years ago

RPC Wambura

Police posts close at night, it's the law


IPPmedia
Police posts close at night, it's the law - RPC Wambura
IPPmedia
Police posts in Dar es Salaam operate only during the day and like regular businesses, they close at sun down leaving residents of the respective areas without the much needed police security and Kinondoni Regional Police Commander Wambura says it is ...

 

11 years ago

GPL

SASA HIVI UZEE MWISHO MSATA!

INAKUWA nini masela na maduu wa ukwehe? Ama nini? Kipande hii ni kama lasti wiki arifu. Chuma kingine kikali Bongo Muvi kaka mkubwa kabisa Tyson naye karesti ini pisi chaliiangu ndo maana dizaini kama mizuka ipo dauni kimtindo. Umepata lesoni gani mnyama wangu baada ya watu wetu wa nguvu kudedi fastafasta? Umkumbuke Saa Godi taimu yote katika kila mbishe unayopiga. Karibu kwenye hizi stori tamu za kitaani kwetu mazee. Tudei ngoja...

 

10 years ago

Michuzi

COAST MODERN TAARAB KUPAGAWISHA MSATA

Na Mwandishi Wetu, KibahaBENDI ya Muziki wa Taarabu ya Coast Modern Taarab ya Jijini Dar es Salaam inatarajia kutoa burudani Novemba 27 mwaka huu kwenye mji wa Msata wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.Akizungumza na waandishi wa habari mjini Kibaha mkurugenzi wa ukumbi itakapofanyika onyesho hilo, Msukuma Pub Msukuma Mwinzarubi alisema kuwa maandalizi yamekamilika.Mwinzarubi alisema kuwa burudani hiyo itaongozwa na gwiji wa taarabu Jokha Kassim ambaye anatamba na kibao chake cha Domo la...

 

10 years ago

GPL

BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI MSATA

ZAIDI ya abiria 60 wamenusurika kifo, baada ya basi la Dar Express lililokuwa linatoka Dar kwenda Nairobi kupasuka tairi la mbele kushoto kisha kupinduka katika eneo la Msata karibu na daraja la Wami mkoani Pwani leo.

 

11 years ago

Michuzi

taarifa ya kufungwa kwa Barabara ya Bagamoyo - Makofia - Msata kutokana na mafuriko

MTENDAJI MKUU WA WAKALA WA BARABARA TANZANIA (TANROADS) ANAPENDA KUTOA TAARIFA KWA  UMMA NA WATUMIA BARABARA YA BAGAMOYO – MAKOFIA - MSATA KWAMBA BARABARA HII IMEFUNGWA KWA AJILI YA USALAMA  WA ABIRIA NA VYOMBO VYA USAFIRI KUTOKANA NA MVUA KUBWA ZINAZONYESHA NCHINI NA KULETA MAFURIKO KWENYE BONDE LA DARAJA LA RUVU CHINI.
MADEREVA WANASHAURIWA KUTUMIA BARABARA YA DAR ES SALAAM – CHALINZE - MOROGORO NA BAGAMOYO – MLANDIZI – CHALINZE KWA KIPINDI HIKI AMBACHO BARABARA YA BAGAMOYO – MAKOFIA –...

 

11 years ago

Michuzi

CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM) KUANZA KUJENGA ENEO LA MSATA BAGAMOYO PWANI

Makamu mwenyekiti wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFM),Bw. Kasmiri Nyoni akizungumza kuhusu utanuzi wa chuo cha usimamizi wa fedha ambacho kinakaribia kuanza kujengwa katika eneo la Msata wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani,Chuo hicho kitakuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi wapatao elfu thelathini.kulia kwa makamu wachuo ni Mkuu wa chuo cha ifm Profesa Godwin Mjema nakushoto ni Mkurugenzi mtendaji wa Kituo kinacho toa elimu kwa njia ya mtandao nchini Tanzania Charles Senkondo. uongozi wa...

 

10 years ago

Michuzi

Dkt Magufuli akagua ujenzi wa Madaraja katika Barabara ya Bagamoyo-Msata mkoani Pwani

 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akikagua sehemu ya juu ya Daraja la Kariakoo katika eneo la Ruvu Chini katika barabara ya Bagamoyo-Msata Sehemu ya Daraja la Kariakoo katika eneo la Ruvu chini katika mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Bagamoyo-Msata ukiendelea kujengwa.


 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akikagua sehemu ya chini ya daraja la Kariakoo.

 Mkandarasi wa Barabara ya Bagamoyo-Msata kushoto  akitoa maelezo ya Mradi wa Madaraja katika eneo la Ruvu Chini Mkoani Pwani huku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani