Polisi- Waliompiga Mtikila hawajafahamika
POLISI Mkoa wa Temeke imesema watu wanaodaiwa kumpiga Mchungaji Christopher Mtikila katika tukio la mgogoro wa eneo la Tom Estate lilipo Kurasini, hawajafahamika. Imeelezwa upelelezi unaendelea kubaini waliofanya kitendo hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Polisi yachunguza wanne waliompiga mgombea urais
Jeshi la Polisi limesema lipo katika hatua za mwisho za kukamilisha upelelezi wa tukio la askari wa CCM kumshambulia mtangazania ya urais kupitia chama hicho, Dk Muzzammil Kalokola.
9 years ago
Vijimambo06 Oct
Polisi yaeleza sababu kifo cha Mtikila
![Mchungaji Christopher Mtikila](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2899050/highRes/1137706/-/maxw/600/-/ipk62u/-/Mtikilaa.jpg)
Mchungaji Mtikila alifariki dunia juzi alfajiri baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Njombe kwenda Dar es Salaam, likiwa katika mwendo mkali, kuacha njia na kupinduka. Alirushwa nje kupitia kioo cha mbele kutokana na kutofunga mkanda.
Katika ajali...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Christopher-Mtikila.jpg)
TAARIFA YA POLISI KUHUSU KIFO CHA MCHUNGAJI MTIKILA
Marehemu Christopher Mtikila enzi za uhai wake. Mnamo tarehe 04/10/2015 majira ya saa 05:45hrs huko Msolwa Kata ya Bwilingu barabara kuu ya Dar es Salaam – Morogoro, Wilaya ya Ki-Polisi Chalinze, Mkoa wa Pwani. Gari No. T.189 AGM aina ya Toyota Corolla likiendeshwa na George Steven Ponera miaka 31, mkazi wa Mbezi Mwisho Dar es Salaam liliacha barabara kisha kupinduka na kusababisha kifo cha Christopher Mtikila miaka 62,...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Kingunge kakurupuka, Polisi nao wamekurupuka kifo cha Mtikila
HATIMAYE tumebakiwa na takriban wiki mbili tu kabla ya Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika hapo Ok
Evarist Chahali
11 years ago
Uhuru Newspaper23 Jul
Mtikila ajipeleka mahakamani
Na Fadhili Abdallah, KigomaMWENYEKITI wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, ameomba kuunganishwa katika kesi ya madai inayomkabili Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila.Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL), imefungua kesi ya madai dhidi ya Kafulila katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, ikiomba aamriwe kuilipa fidia ya sh. bilioni 310 kutokana na kutangaza taarifa za kashfa dhidi yao.Katika kesi yao ya msingi, wadai hao wanaiomba...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Buriani Mchungaji Mtikila
HARAKATI za haki za binadamu nchini zimekumbwa na pigo kubwa baada ya mmoja wa wapambanaji wa hak
Mwandishi Wetu
9 years ago
TheCitizen09 Oct
Mtikila laid to rest
Democratic Party (DP) chairman Christopher Mtikila was laid to rest yesterday at his home village in Ludewa District.
11 years ago
Daily News21 Mar
Mtikila alleges intimidation
Daily News
A CONSTITUENT Assembly (CA) member, Reverend Christopher Mtikila, has called for respect for all assembly members during sessions, because they represent views from different groups. Speaking on Thursday, Rev Mtikila who is also the chairman of ...
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Mtikila azikwa Ludewa
Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa DP, Mchungaji Christopher Mtikila umezikwa jana katika Kijiji na Kata ya Milo, Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania