Polisi 130 wasitishiwa mafunzo
Jeshi la Polisi limesitisha mafunzo kwa askari 132 waliokuwa katika Chuo cha Polisi Zanzibar kwa kile kinachodaiwa ni sababu za kiafya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-SNqeSTe-q28/Xn9Dhgpws-I/AAAAAAAAxR8/9elLBNc5ZpkFKjPQyj38GSRZ0Ilay8ZIQCLcBGAsYHQ/s72-c/matukio%252Bpic.jpg)
POLISI TANZANIA WAKAMATA MAGARI YA WIZI 130 NA PIKIPIKI 193
![](https://1.bp.blogspot.com/-SNqeSTe-q28/Xn9Dhgpws-I/AAAAAAAAxR8/9elLBNc5ZpkFKjPQyj38GSRZ0Ilay8ZIQCLcBGAsYHQ/s640/matukio%252Bpic.jpg)
Akizungumza leo Jumamosi Machi 28, 2020 Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Tanzania (DCI) Robert Boaz amesema wanawahoji watuhumiwa 128 na pindi upelelezi utakapokamilika sheria itachukua mkondo wake.
“Wanunuzi wa magari yaliyotumika ni muhimu kabla ya kununua wajiridhishe muuzaji ni mmiliki halali kwa kutumia polisi kukagua gari hilo na...
10 years ago
MichuziNAIBU INSPEKTA JENERALI WA POLISI AFUNGA MAFUNZO YA WAKAGUZIWASAIDIZI WA JESHI LA POLISI CCP-MOSHI
9 years ago
StarTV15 Nov
Wanafunzi Shule ya Msingi Raranya Rorya wasitishiwa masomo kwa ukosefu wa choo.
Wanafunzi zaidi ya mia tano wa shule ya msingi Raranya wilayani Rorya mkoani Mara wamelazimika kusimama masomo kwa zaidi ya miezi mitano kutokana na shule hiyo kufungwa kwa kutokuwa na choo.
Uongozi wa shule umetoa maelezo hayo kwa mbunge wa jimbo la Rorya Lameck Airo kufanya ziara ya kushutukiza na kukuta shule hiyo haina wanafunzi zaidi ya wa darasa la nne wanaoendelea na masomo.
Akiongea na star tv katika shule ya msingi Raranya ,mwl Magdalena John amekiri kufungwa kwa shule hiyo, huku...
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
3,000 wahitimu mafunzo ya polisi
Na Rodrick Makundi, Moshi
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Haji Omar Kheir, atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za kufunga mafunzo ya awali ya askari polisi.
Mafunzo hayo yanayoendelea katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA) mjini hapa, yatafikia tamati keshokutwa ambapo wageni mbalimbali akiwemo Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Ernest Mangu, watahudhuria.
Akizungumza na waandishi jana, Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi, Matanga Mbushi,...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
DEP yatoa mafunzo kwa Polisi
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Programu ya Maendeleo (UNDP) kupitia Mradi wa Uwezeshaji Demokrasia (DEP) wenye thamani ya dola milioni 22 za Marekani, umezindua programu ya mafunzo ya kina...
10 years ago
Vijimambo03 May
POLISI ZANZIBAR WAPEWA MAFUNZO YA HAKI ZA BINADAMU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLadgSo80x3*lr1KsZn0*IIvJ1WUgyXGLEL85UAG9Ky3UHnZ9avQMz98LWOIJoWQXw3p6FM91od7fWdkiNU8P7vDX/001.MAPAMBANO.jpg?width=650)
JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA WAENDELEZA MAFUNZO SHULE ZA MSINGI JIJINI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Wsmt77hJ-bc/VVhfNSkybJI/AAAAAAABvH4/buVrA0uHwUQ/s72-c/5235.jpg)
KITUO CHA SHERIA PEMBA CHATOA MAFUNZO KWA JESHI LA POLISI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Wsmt77hJ-bc/VVhfNSkybJI/AAAAAAABvH4/buVrA0uHwUQ/s640/5235.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rYnQNdq5kys/VVhfQTR6O7I/AAAAAAABvIA/_0gXVH2M_LQ/s640/5234.jpg)