Polisi 20 wazingira nyumba ya Gwajima
Dar es Salaam. Askari zaidi ya 20 jana waliizingira nyumba ya Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima kwa zaidi ya saa sita wakitaka kumtia nguvuni lakini hawakufanikiwa na baada ya kuondoka, muhubiri huyo alitoka na kwenda mwenyewe Mahakama ya Kisutu alikofunguliwa mashtaka
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa4VG1Iutjy7McV*URek1qbQlJsJGBihsb00U-YVDlDX63GG2fnIBUR6Qqe2P77E4DdpXz2mMJ*ozXCrbkBYUqAK/vurugu2.jpg?width=650)
NEWS ALERT: WAENDESHA BODABODA NACHINGWEA WAZINGIRA KITUO CHA POLISI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s72-c/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Gwajima Wajibu Mapigo Waiandikia Barua Polisi Kuhusu Uhalali wa Kumtaka Gwajima Awasilishe Nyaraka 10 za Mali Zake
![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s1600/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi hilo kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka 10, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.
Gwajima...
10 years ago
Mtanzania08 Apr
Askofu Gwajima aligomea Shirika la Nyumba
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
MCHUNGAJI Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Gwandu Mwangasa, amesema kamwe hawawezi kuhamisha kanisa lao lililopo katika Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam.
Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya gazeti moja la kila siku (si MTANZANIA) kumnukuu Meneja Uhusiano wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Yahaya Charahani akisema wametoa notisi ya mwezi mmoja kwa kanisa hilo linaloongozwa na Mchungaji Josephat Gwajima kuhama katika viwanja...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Gwajima: Kikwete wakemee polisi
10 years ago
Mtanzania28 Mar
Gwajima azimia akihojiwa polisi
Asifiwe George na Humphrey Shao
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima jana alizimia na kisha kukimbizwa hospitali wakati akihojiwa Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.
Gwajima ambaye alijisalimisha kituoni hapo saa 8:22 jana mchana akiitikia wito wa polisi uliomtaka kufika kutokana na tuhuma za kutoa lugha chafu dhidi ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Waandishi wa Mtanzania Jumamosi waliokuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJImsD-5z-hyq3A95jSU2pGiaIK-LLVEFEZMIDwp6zIeLSGzUGgjjbu72NWzEtO6YbxUUvOpS*w6dqWpT4BbFDKr/gwajima.jpg?width=650)
MCHUNGAJI GWAJIMA AJISALIMISHA POLISI
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Mar
Pengo amfikisha Gwajima polisi
Ni kwa tuhuma za kumkashifu, kumtukanaKova amtaka kujisalimisha haraka kituoni
NA MWANDISHI WETU
KIONGOZI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, ameingia matatani na sasa ametakiwa kujisalimisha polisi kwa ajili ya kuhojiwa.
Habari za kuaminika zinasema hatua ya Gwajima kutakiwa kujisalimisha polisi inatokana na tuhuma za kutoa matamshi ya kashfa dhidi ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Taarifa ya Polisi wa Kanda Maalumu ya...
10 years ago
Habarileo27 Mar
Polisi wamsaka Askofu Gwajima
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam wamefungua jalada la uchunguzi dhidi ya tuhuma za Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima za tuhuma za kumkashifu Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam la Kanisa Katoliki, Mwadhamana Polycarp Kardinali Pengo.
10 years ago
Mwananchi10 Apr
Polisi wamshika pabaya Gwajima