Polisi wachuguza mlipuko JKIA Kenya
Polisi wa kupambana na ugaidi nchini Kenya wameanzisha uchunguzi kubaini chanzo cha mlipuko mdogo uliotokea katika mkahawa mmoja katika uwanja wa kimataifa wa JKIA, Nairobi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJeshi la polisi nchini lathibitisha kuwa mlipuko uliowajeruhi askari polisi Songea ni bomu la kienyeji
JESHI la polisi chini limethibitisha kuwa kitu kilichokuwa kinadaiwa kuwa nio bomu lililorushwa mjini Songea mkoani Ruvum Septemba 16 mwaka huu majira ya saa 1.25 usiku katika eneo la Misufini na kuwajeruhi askari polisi watatu kati ya wanne waliokuwa doria kuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz61Pv1fPCe90nMLH1sTTraWkFqOujwM6FZf84B3wriHIeHSggSUQWi4Ga3JW8fe5Go4LJ9ej0E0B81gtEXNaXEQ-/BOMU.jpg)
MLIPUKO WAUA MAOFISA WA POLISI MISRI
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Polisi 6 wauawa katika mlipuko Misri
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Mlipuko watokea kambi ya Polisi Misri
9 years ago
StarTV15 Nov
Polisi mkoani Geita yakamata watuhumiwa watatu wa mlipuko wa mabomu
Polisi Mkoani Geita wamefanikiwa kuwakamata watu waliohusika na tukio la kulipua kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu katika nyumba ya Afisa Mafunzo wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita Lucy Joseph tukio lililotokea Oktoba 28 mwaka huu.
Jeshi hilo limewakamata watuhumiwa watatu na milipuko 27 inayotumiwa kufanya uhalifu katika Mkoa wa Geita, Kahama Mkoani Shinyanga na Babati Mkoani Manyara.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita Peter Kakamba akizungumza na Waandishi wa Habari amesema watuhumiwa hao...
5 years ago
BBCSwahili20 May
Sudan imetakiwa kuwalipa fidia walioathiriwa na mlipuko wa ugaidi katika balozi za Marekani Tanzania na Kenya
10 years ago
TheCitizen24 Feb
JKIA construction contract under investigation
10 years ago
Dewji Blog19 Jan
NYALANDU azima marufuku magari ya Tanzania JKIA
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu.
Na Mwandishi wetu
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema serikali ya Kenya imekubali kuyaruhusu magari ya abiria na watalii kutoka Tanzania, kuingia ndani ya Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi.
Awali, Serikali ya Kenya iliyazuia magari hayo kuingia uwanjani hapo huku ukiyatoza ushuru kwa yale yanayoingia, jambo ambalo lililalamikiwa na wafanyabiashara wa Tanzania.
Marufuku hiyo ya Kenya kwa magari ya Tanzania,...
10 years ago
Vijimambo08 Feb
GUINEAN MAN ARRESTED AT JKIA WITH COCAINE WORTH SH 11M
![Cocaine](http://nairobinews.co.ke/wp-content/uploads/2015/02/Cocaine-524x350.jpg)
By STELLA CHERONO @stellacherono
In Summary
Guinean national being held by the police awaiting an appearance in court for charges of being in possession of drugs.
Police are holding a Guinea national who was arrested with 2.8kg of cocaine at the Jomo Kenyatta International Airport.
According to the head of Anti-Narcotic Police Unit, Hamisi Masa, the suspect Abdoulaye Diallo, 45, was arrested as he was waiting to board a plane to Benin.
“The police discovered that he had hidden the drugs with a...