Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wachuguza mlipuko JKIA Kenya

Polisi wa kupambana na ugaidi nchini Kenya wameanzisha uchunguzi kubaini chanzo cha mlipuko mdogo uliotokea katika mkahawa mmoja katika uwanja wa kimataifa wa JKIA, Nairobi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Jeshi la polisi nchini lathibitisha kuwa mlipuko uliowajeruhi askari polisi Songea ni bomu la kienyeji

Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai kamishina wa polisi Isaya Mngulu akizungumza na waandishi wa habari leo mjini mjini Songea mkoani Ruvuma---------------------Na Nathan Mtega wa demasho.com,Songea
JESHI la polisi chini limethibitisha kuwa kitu kilichokuwa kinadaiwa kuwa nio bomu lililorushwa mjini Songea mkoani Ruvum Septemba 16 mwaka huu majira ya saa 1.25 usiku katika eneo la Misufini na kuwajeruhi askari polisi watatu kati ya wanne waliokuwa doria kuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono...

 

10 years ago

GPL

MLIPUKO WAUA MAOFISA WA POLISI MISRI

Maofisa wa polisi wakiwa eneo ulipotokea mlipuko huo. MAOFISA wawili wa polisi wameuawa katika mlipuko wa bomu uliotokea leo kwenye wilaya ya Bulaq Abu-al-Ila jirani na Wizara ya Mambo ya Nje jijini Cairo nchini Misri. Mlipuko huo umetokea katika mtaa uliojaa watu wengi jirani na Mto Nile na bomu hilo linadaiwa kutegwa chini ya mti uliokuwa katika eneo hilo. Mpaka sasa hakuna kundi lolote lililodai kuhusika na shambulio hilo....

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi 6 wauawa katika mlipuko Misri

Polisi 6 wameuawa katika mlipuko uliotokea barabarani katika rasi ya Sinai Misri

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko watokea kambi ya Polisi Misri

Mtu mmoja ameuawa na wengine 24 wamejeruhiwa baada ya Mtu mmoja kujitoa muhanga akilenga Kambi ya Polisi, Maafisa wameeleza.

 

9 years ago

StarTV

Polisi mkoani Geita yakamata watuhumiwa watatu wa mlipuko wa mabomu

Polisi Mkoani Geita wamefanikiwa kuwakamata watu waliohusika na tukio la kulipua kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu katika nyumba ya Afisa Mafunzo wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita Lucy Joseph tukio lililotokea Oktoba 28 mwaka huu.

Jeshi hilo limewakamata watuhumiwa watatu na milipuko 27 inayotumiwa kufanya uhalifu katika Mkoa wa Geita, Kahama Mkoani Shinyanga na Babati Mkoani Manyara.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita Peter Kakamba akizungumza na Waandishi wa Habari amesema watuhumiwa hao...

 

5 years ago

BBCSwahili

Sudan imetakiwa kuwalipa fidia walioathiriwa na mlipuko wa ugaidi katika balozi za Marekani Tanzania na Kenya

Mahakama ya juu imetoa uamuzi wa kuwafidia waathiriwa wa mlipuko wa bomu la 1998 nchini Kenya na Tanzania

 

10 years ago

TheCitizen

JKIA construction contract under investigation

New evidence has emerged of how the contract for the construction of a modern passenger terminal at Jomo Kenyatta International Airport was varied by more than Sh9 billion.

 

10 years ago

Dewji Blog

NYALANDU azima marufuku magari ya Tanzania JKIA

10

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu.

Na Mwandishi wetu

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema serikali ya Kenya imekubali kuyaruhusu magari ya abiria na watalii kutoka Tanzania, kuingia ndani ya Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi.

Awali, Serikali ya Kenya iliyazuia magari hayo kuingia uwanjani hapo huku ukiyatoza ushuru kwa yale yanayoingia, jambo ambalo lililalamikiwa na wafanyabiashara wa Tanzania.

Marufuku hiyo ya Kenya kwa magari ya Tanzania,...

 

10 years ago

Vijimambo

GUINEAN MAN ARRESTED AT JKIA WITH COCAINE WORTH SH 11M

Cocaine
By STELLA CHERONO @stellacherono

In Summary
Guinean national being held by the police awaiting an appearance in court for charges of being in possession of drugs.

Police are holding a Guinea national who was arrested with 2.8kg of cocaine at the Jomo Kenyatta International Airport.

According to the head of Anti-Narcotic Police Unit, Hamisi Masa, the suspect Abdoulaye Diallo, 45, was arrested as he was waiting to board a plane to Benin.

“The police discovered that he had hidden the drugs with a...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani