Polisi wakanusha madai ya askari wao
POLISI wa wilaya ya Bunda, wamelazimishwa kuchangia fedha kwa ajili ya mafuta ya kusafirisha mwili wa mwenzao aliyefariki dunia katika Hospitali ya rufaa Bugando kwenda nyumbani kwao katika wilaya ya Mahenge mkoani Morogoro.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Sep
Nuh Mziwanda adai BASATA wamemalizana na Shilole, wao wakanusha
10 years ago
Habarileo23 Jun
Polisi wakanusha kumuonea Lema
KAMANDA wa Polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas, amesema kuwa tuhuma alizotoa Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema si za kweli.
11 years ago
MichuziKIINGLISHI KILIVYOWAGOMBANISHA ASKARI POLISI NA ASKARI WA MANISPAA YA MOSHI
9 years ago
Vijimambo02 Oct
Polisi wakanusha karatasi za kura kukamatwa Masasi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/H-01Oct2015.png)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limekanusha taarifa zinazodaiwa kuandikwa katika mtandao mmoja wa kijamii, zikidai kukamatwa kwa baadhi ya watu katika kituo cha polisi wilaya ya Masasi mkoani hapa wakiwa na masanduku na fomu za kupigia kura zipatazo 2000 zikiwa tayari zimetumika.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Henry Mwaibambe, alisema taarifa hizo zilidai kuwa, fomu hizo zilimpa alama ya...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Wakenya wakanusha kupambana na polisi kwa saa sita
9 years ago
Habarileo22 Dec
IGP akanusha kufuta askari kwa madai ya vyeti feki
MKUU wa Polisi nchini Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu amekanusha kufutwa kazi kwa askari kadhaa wanaodaiwa kuwa na vyeti feki kama iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii juzi na akasema Jeshi lake linamtafuta mtu ambaye amesambaza taarifa hizo alizoita za uzushi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-heJQ1h52KMUMf6BIV1M2iSkkPtG5UaJbRkrlhS-e3zChmwhmVWNo7eQVISGfZJgCekG1U5-Rt3yn-eNcLVuYkT3/11129626_1193267037354379_7095297692473874874_n.jpg)
POLISI WAKANUSHA TISHIO LA MAGAIDI KUSHAMBULIA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA