Polisi wapiga waandishi wa habari Dar
MUENDELEZO wa Jeshi la Polisi nchini kuwanyanyasa, kuwatisha waandishi wa habari na kuwafanya wasitekeleze wajibu wao ipasavyo, ilijidhihirisha wazi jana makao makuu ya jeshi hilo, baada ya waandishi kupigwa, kukimbizwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAANDISHI WA HABARI WAPIGA KAMBI NDANI YA CCM MAKAO MAKUU, DODOMA
11 years ago
Habarileo10 Apr
Polisi Temeke wawadhibiti waandishi wa habari
MTU mmoja amejeruhiwa na wengine kadhaa kukamatwa wakati jeshi la polisi lilipolazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya watu wakati wa operesheni ya kubomoa vibanda Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam.
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI SHINYANGA LAAHIDI KUSHIRIKIANA NA WAANDISHI WA HABARI KUTOKOMEZA VITENDO VYA UHALIFU
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba akizungumza leo Ijumaa Aprili 10,2020 katika kikao kazi chake na waandishi wa habari kilicholenga kujadili masuala mbalimbali ya ulinzi na usalama kilichofanyika katika Hoteli ya Travellers mjini Shinyanga. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mCCvvoLTExU/Ve8ROIVvKuI/AAAAAAABU5Q/GNzmUdM7s_U/s72-c/6....Gwajima-akionesha-hisia-zake..jpg)
GWAJIMA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-mCCvvoLTExU/Ve8ROIVvKuI/AAAAAAABU5Q/GNzmUdM7s_U/s640/6....Gwajima-akionesha-hisia-zake..jpg)
Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akizungumza na waandishi wa Habari leo.
Na Emmanuel Mtengwa
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amejitokeza leo na kujibu tuhuma zilizotolewa dhidi yake na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa wiki moja iliyopita.Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Askofu Gwajima amekanusha tuhuma za kuwa alimwambia Dk Slaa kuwa wapo maaskofu ambao walihongwa na...
10 years ago
GPLTBS YAELEZA MAJUKUMU YAKE KWA WAANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM
Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mary Meela (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu majukumu ya shirika hilo jinsi yanavyotekelezwa na kurugenzi ya udhibiti ubora. Kulia ni Ofisa Habari wa Idara Habari Maelezo, Frank Mvungi na Ofisa Uhusiano wa TBS, Roida Andusamile. Wanahabari wakichukua… ...
10 years ago
GPLJUKWAA LA WAHARIRI LALAANI POLISI KUWAPIGA WAANDISHI DAR
Mwenyekiti wa TEF, Absalom Kibanda (kulia) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Kushoto ni Katibu wake, Neville Meena. Wanahabari wa vyombo mbalimbali waliofika kwenye mkutano huo.…
10 years ago
MichuziTBS YAELEZA MAJUKUMU YAKE KWA WAANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XmhGPchUt8M/VdcygPTCoZI/AAAAAAAHy5I/Ff5kuebfbkY/s72-c/1.jpg)
WIZARA YA AFYA YAWANOA WAANDISHI WA HABARI JINSI YA KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-XmhGPchUt8M/VdcygPTCoZI/AAAAAAAHy5I/Ff5kuebfbkY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ebr585LDav8/VdcygLcJ_EI/AAAAAAAHy5M/Fv1CBSRENDY/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BAtO2rtcXwE/VdcyhDymGRI/AAAAAAAHy5U/gdOqluTIlv4/s640/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0mRYsTNfsTY/VbjFrQRCHDI/AAAAAAAC9Dc/Qvr15tviQZk/s72-c/2.jpg)
KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU
![](http://1.bp.blogspot.com/-0mRYsTNfsTY/VbjFrQRCHDI/AAAAAAAC9Dc/Qvr15tviQZk/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fa5_n9_MOso/VbjFqqe6J3I/AAAAAAAC9DU/P_FbShviPM0/s640/3.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania