Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi watibua maandamano Brazil

Polisi wamelazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi kuvunja maandamano Brazil.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Polisi wadhibiti maandamano

 Jeshi la Polisi mkoani Arusha, limezima maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jana baada ya askari wake wa miguu na magari ya maji ya kuwasha kutanda mitaani, huku chama hicho kikidai kufanikiwa kufikisha ujumbe uliokusudiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wavunja maandamano Mynmar

Polisi wa kupambana na ghasia wametumia vitoa machozi kuutawanya umati wa wanafunzi uliokuwa ukiandamana kupinga sheria mpya

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi auawa katika maandamano Bahrain

Wizara ya maswala ya ndani nchini Bahrain imesema kuwa polisi mmoja aliyejeruhiwa katika mlipuko siku ya ijumaa ameaga dunia.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Polisi wapiga marufuku maandamano ya Lowassa:

Polisi Dar yapiga marufuku ziaza za ‘mitaani’ za wagombea Urais: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limepiga marufuku wagombea Urais wa Tanzania 2015 kufanya mikusanyiko isiyokuwa rasmi kutembelea vituo vya daladala, bodaboda au […]

The post Polisi wapiga marufuku maandamano ya Lowassa: appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi 70 wajeruhiwa katika maandamano Ujerumani

Meya wa Leipzig nchini Ujerumani ameeleza kushtuka kufuatia kujeruhiwa kwa maafisa wa polisi 70 waliokabiliana na waandamanaji waliokuwa wakipinga wafasisti

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yapiga marufuku maandamano Chadema

JESHI la Polisi nchini limepiga marufuku maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyotarajiwa kuanza kufanyika leo katika maeneo mbalimbali nchini. Jeshi hilo limeonya kuwa maandamano hayo ni batili na ni kinyume cha sheria.

 

10 years ago

Michuzi

MAANDAMANO YA CHADEMA YADHIBITIWA NA POLISI DODOMA

Maandamano ya CHADEMA Mkoa wa Dodoma yamedhibitiwa kwa Mkoa mzima.Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi wa Polisi EMMANUEL G. LUKULA (ACP) (pichani) amesema katika hilo kuna gari lenye namba za usajili T.792 CAX aina ya Pick up Ford Ranger nyeupe mali ya CHADEMA iliyokuwa ikiendesha na CHRISTOPHER NYAMWINJA, Mweneye miaka 52, Mgogo, Mkristo Mratibu wa CHADEMA Kanda ya magharibi ambapo makazi yake ni TABORA mjini limekamatwa mtaa wa KUU karibu na kituo cha mafuta cha GAPCO...

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi wazuia maandamano ya wafuasi wa Chadema

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya  Dar es Salaam, limeyapiga marufuku maandamano ya Chadema yasiyo na kikomo ya kupinga  kinachodaiwa ‘uporaji wa demokrasia’.

 

9 years ago

Habarileo

Polisi yapiga ‘stop’ maandamano ya Ukawa

POLISI mkoani hapa imepiga marufuku maandamano ya wafuasi wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), yaliyolenga kushinikiza aliyekuwa mgombea urais, Edward Lowassa kutangazwa kuwa ndiye mshindi halali wa kiti hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani