Polisi yafafanua idadi ya ajali, vifo kwa 2010 - 13
Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi wa takwimu za makundi ya magari au vyombo vilivyohusika katika ajali za barabarani, vifo na majeruhi kuanzia mwaka 2010 hadi 2013.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LAMSHIKILIA DEREVA WA LORI MALI YA TEXAS HARDWARE KWA KUSABABISHA AJALI ILIYOPELEKEA VIFO VYA WATU 8 NA MAJERUHI 5 WILAYA YA MAGU
TAREHE 10.06.2020 MAJIRA YA 19:45HRS KATIKA BARABARA YA MWANZA – MUSOMA, ENEO LA IHAYABUYAGA, KATA YA BUKANDWE, TARAFA YA SANJO, WILAYA YA MAGU – MWANZA, DEREVA AITWAE BONIPHACE CLIPHORD @TUJU MIAKA 37, MJITA, MKAZI WA MWANZA-NERA AKIENDESHA GARI NA T.322 DCB TRAILER T.1351 DCA AINA YA SCANIA LIKITOKEA WILAYA YA BUSEGA KWENDA MWANZA MALI YA KAMPUNI YA TEXAS HARDWARE, ILIGONGA TELA YA TRAKTA KWA NYUMA AMBAYO ILIKUWA HAINA TAA ZA NYUMA YENYE NAMBA ZA USAJILI T.952 DGW, BAADA YA KULIGONGA...
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Polisi, Bugando watofautiana vifo vya ajali
Vifo vilivyotokana na ajali ya basi la Luheye vimeongezeka huku idadi ikitofautiana kati ya Hospitali ya Rufani ya Bugando na Polisi mkoani Simiyu.
10 years ago
GPLVIFO INDIA: IDADI YA WALIOFARIKI KWA POMBE YENYE SUMU WAFIKIA 90
Waombolezaji wakiwa na picha ya mmoja wa watu waliofariki kwa kunywa pombe yenye sumu huko India. Mwili wa mmoja wa watu waliofariki katika tukio hilo. Vilio na…
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yaipiku Italia kwa idadi ya vifo duniani
Watu zaidi ya 20,000 wameshakufa Marekani huku maambukizi yakipita zaidi watu nusu milioni.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5rK5-C555OqUXexlzB9lPBD0ICdb2inulkvh7FiKdTTwV92zOslqREKAsAo*DtDLVkw0detKI7w4wape*XkIpZ/bukuku.jpg)
AJALI, VIFO KWA WAIMBA INJILI UCHAWI WATAJWA
Gladness Mallya na Chande Abdallah
KUTOKANA na ajali na vifo kwa muziki wa Injili vilivyotokea hivi karibuni, imedaiwa kuwa baadhi vimetokana na uchawi.Baada ya kuzagaa kwa habari hizo, mapaparazi wetu walimtafuta Rais wa Chama cha Muziki wa Injili, Addo Novemba ambapo alikiri kuwa kweli uchawi upo na unahusika. Rais wa Chama cha Muziki wa Injili, Addo Novemba. “Kwenye msafara wa mamba hata kenge wapo, hili la uchawi...
9 years ago
MichuziAJALI NA VIFO VITOKANAVYO NA AJALI MKOA WA DAR ES SALAAM VYAPUNGUA
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
UN:Idadi ya vifo Afghanistan imeongezeka
Ongezeko la idad ya vifo vya wanawake na watoto nchini Afghanistan inatisha kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na Umoja wa Mtaifa
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Idadi ya vifo vya watoto imepungua
Umoja wa Mataifa unasema mafanikio makubwa yamepatikana katika kupunguza vifo vya watoto wadogo
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vy corona: Idadi ya vifo yafikia 100,276 Marekani
Trump alikuwa amesema kwamba virusi hivyo ni homa ya kawaida na kwamba ingeisha ifikiapo mwezi Aprili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania