UN:Idadi ya vifo Afghanistan imeongezeka
Ongezeko la idad ya vifo vya wanawake na watoto nchini Afghanistan inatisha kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na Umoja wa Mtaifa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
UNHRC:Idadi ya wahamiaji imeongezeka maradufu
Mashirika mawili yanayosimamia maswala ya wahamiaji yanasema kuwa idadi ya wahamiaji haramu wanaoingia Ulaya imepita laki moja mwaka huu
5 years ago
BBCSwahili14 May
Shambulio Afghanistan: Vifo katika chumba cha kujifungua kina mama vyafikia 24
Idadi ya waliouawa katika shambulio lililotekelezwa na wanamgambo dhidi ya chumba cha kujifungua kina mama nchini Afghanistan imeongezeka na kufikia 24.
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Idadi ya vifo vya watoto imepungua
Umoja wa Mataifa unasema mafanikio makubwa yamepatikana katika kupunguza vifo vya watoto wadogo
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Polisi yafafanua idadi ya ajali, vifo kwa 2010 - 13
Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi wa takwimu za makundi ya magari au vyombo vilivyohusika katika ajali za barabarani, vifo na majeruhi kuanzia mwaka 2010 hadi 2013.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EV6BTyzD0nw/Vkm8NNkJTvI/AAAAAAAAUps/dRYrmSsES48/s72-c/VIFO%2BWATOTO.jpg)
IDADI YA VIFO VYA WATOTO WACHANGA YAENDELEA KUPUNGUA MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-EV6BTyzD0nw/Vkm8NNkJTvI/AAAAAAAAUps/dRYrmSsES48/s640/VIFO%2BWATOTO.jpg)
IDADI ya vifo vya watoto wachanga imeendelea kupungua Mkoani mbeya kutoka vifo 602 kwa mwaka 2012 hadi kufikia 568 kwa mwaka 2014 ambapo ni sawa na asilimia 5.7.
Hali hiyo inatokana timu ya uendeshaji wa huduma za afya mkoa kukaa pamoja na kutafuta ufumbuzi wa pamoja na kuweka maazimio ambayo wamekuwa wakiyatekeleza kwa pamoja.
Akizungumza jijini Mbeya mratibu wa huduma za afya ya uzazi na mtoto mkoani humo Ndugu Prisca Butuyuyu amesema kutokana na usimamizi huo...
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vy corona: Idadi ya vifo yafikia 100,276 Marekani
Trump alikuwa amesema kwamba virusi hivyo ni homa ya kawaida na kwamba ingeisha ifikiapo mwezi Aprili.
10 years ago
GPLVIFO INDIA: IDADI YA WALIOFARIKI KWA POMBE YENYE SUMU WAFIKIA 90
Waombolezaji wakiwa na picha ya mmoja wa watu waliofariki kwa kunywa pombe yenye sumu huko India. Mwili wa mmoja wa watu waliofariki katika tukio hilo. Vilio na…
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yaipiku Italia kwa idadi ya vifo duniani
Watu zaidi ya 20,000 wameshakufa Marekani huku maambukizi yakipita zaidi watu nusu milioni.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Chan kumlipa mgunduzi wa kinga ya corona wakati Idadi ya vifo ikifikia 1000
Wakati China ikiendelea kupambana ili kutokomeza ugonjwa wa corona mwigizaji maarufu duniani anaahidi kutoa fedha kwa watakao fanikisha kupatikana kwa kinga ya ugojwa huo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania