Polisi yawanasa 15 kiganja cha albino
NA WILLY SUMIA, SUMBAWANGAPOLISI mkoani Rukwa wanawashikilia watu 15, wakiwemo waganga wa kienyeji saba kwa tuhuma za kuhusika kwenye tukio la kukatwa kiganja cha mtoto Baraka Cosmas.Baraka (6), ambaye ni mlemavu wa ngozi, alikatawa kiganja cha mkono mwishoni mwa wiki iliyopita wakati akiwa amelala na mama yake usiku.Watuhumiwa hao walitiwa mbaroni kufuatia msako mkali unaoendelea katika maeneo mbalimbali mkoani hapa, ikiwa ni muda mfupi baada ya tukio hilo.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa,...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Kiganja cha mtoto albino wa Rukwa chapatikana Mbozi
10 years ago
Habarileo09 Mar
Albino mwingine akatwa kiganja
LICHA ya Serikali, jamii na jumuiya ya kimataifa kukemea ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), bado kuna wanaoendelea kung’ang’ania mila potofu za kuamini kwamba bila ya ushirikina unaohusishwa na matumizi ya viungo vya albino, hawawezi kufanikiwa kimaisha, iwe katika kisiasa au kibiashara.
10 years ago
Uhuru Newspaper10 Mar
Albino mwingine akatwa kiganja
Na Willy Sumia, Sumbawanga WAKATI Watanzania wakipaza sauti kukemea mauaji na ukataji viungo vya albino, mtoto mwingine Baraka Cosmas (6), amevamiwa na kukatwa kiganja cha mkono. Tukio hilo ambalo limezidisha hofu miongoni mwa albino nchini, limetokea usiku wa kuamkia jana katika kijiji cha Kipeta wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Habari za kuaminika zinasema kuwa, kundi la watu wasiojulikana walivamia kwenye nyumba aliyokuwa amelala Baraka na mama yake, Prisca Shaban na kuanza...
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Mtoto albino akatwa kiganja, jamii ifanye nini?
10 years ago
VijimamboWAKUU WA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAMTEMBELEA MTOTO ALBINO ALIYEKATWA KIGANJA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Op3WBasdvf8/VXMk4XjV7KI/AAAAAAAHci8/u3p7qBym1u4/s72-c/_MG_6459.jpg)
SENENE KIGANJA KIMOJA CHA MKONO 'JERO' MJINI BUKOBA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Op3WBasdvf8/VXMk4XjV7KI/AAAAAAAHci8/u3p7qBym1u4/s640/_MG_6459.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qwlB4JvsI5A/VXMk0PpWjNI/AAAAAAAHciM/z4fiSA0CAWU/s640/_MG_6445.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6mkYE8KYZxE/VXMk2yDEO6I/AAAAAAAHcio/cwVIOjfM1uM/s640/_MG_6453.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XoP06k6Mdyw/VXMk3kXhgZI/AAAAAAAHciw/RMC8uMYNAVI/s640/_MG_6457.jpg)
10 years ago
Vijimambo16 Mar
FAHAMU: Namna ya kujibashiria rizki yako kwa kutumia kiganja cha mkono wako
![](http://www.jukwaahuru.com/wp-content/uploads/2013/04/life_line-1200x545_c.png)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n7Vr5lDn5dE/default.jpg)
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Urusi yawanasa raiya 25 wa Ukraine