Posho za Bunge zaibua mapya
Siku chache baada ya Bunge la Maalumu la Katiba kumaliza muda wake, matumizi ya fedha zilizobaki kwenye Bunge hilo yameibua mvutano baada ya kuwapo taarifa kuwa fedha hizo ziliisha, huku Wizara ya Fedha ikieleza kuwa bado zipo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Oct
Helikopta za Polisi zaibua mapya
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Tuhuma za washukiwa ugaidi zaibua mapya
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Kanuni zaibua tena mdahalo Bunge la #Katiba, Ukawa wahoji kwa nini zibadilishwe [VIDEO]
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gb_hmItxCFM/U_yjdqFoofI/AAAAAAAGCiU/p2LUak-hf6c/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Ofisi ya Bunge yatoa ufafanuzi kuhusu malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba
Ufafanuzi huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Habari na Itifaki Bw. Jossey Mwakasiyuka wakati alopokutana na waandishi wa habari kwa lengo la kutolea ufafanuzi kuhusiana na taarifa hizo zilizoikera ofisi hiyo ya Bunge Maalum.
Mwakasyuka amevieleza vyombo vya habari kuwa, ofisi ya Bunge Maalum imekerwa na...
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Posho yalivuruga Bunge la Eala
10 years ago
Mtanzania27 Aug
Posho za Bunge kaa la moto
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
NA MWANDISHI WETU, DODOMA
OFISI ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, imetoa ufafanuzi juu ya taarifa zilizotolewa kwenye vyombo vya habari kuhusu kuchelewa kwa malipo ya posho za wajumbe wa Bunge hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Mkurugenzi wa Habari na Itifaki wa Bunge Maalumu, Jossey Mwakasiyuka, alisema ofisi ya Bunge hilo imekerwa na baadhi ya vyombo vya habari kuchapisha taarifa hizo.
Alisema taarifa hizo ni za upotoshaji na zina lengo la kuwadhalilisha...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Posho za Bunge la Katiba kufuru
SIKU chache tu baada ya Rais Jakaya Kikwete kutangaza majina ya wajumbe walioteuliwa kuingia kwenye Bunge Maalumu la Katiba, posho za wabunge hao kwa siku ni kufuru. Habari ambazo gazeti...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Bunge la Katiba wagomea posho
JINAMIZI la kutaka posho nono kwa watu wanapopewa majukumu ya kufanya kazi za umma limezidi kushika kasi baada ya jana wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka waongezewe posho zaidi....