Helikopta za Polisi zaibua mapya
>Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imesema kukosekana helikopta (Chopa) ya Jeshi la Polisi Zanzibar siyo kuidhalilisha Zanzibar katika mfumo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar bali ni utaratibu wa kiutendaji kwa vyombo hivyo vya ulinzi na usalama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Posho za Bunge zaibua mapya
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Tuhuma za washukiwa ugaidi zaibua mapya
11 years ago
Habarileo01 Jan
Polisi kufanya doria kwa helikopta Mwaka Mpya
POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam imetangaza leo kufanya doria kwa kutumia helikopta ili kuangalia hali ya usalama katika jiji hilo katika sikukuu ya Mwaka Mpya.
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Mazishi ya Mrakibu wa Polisi Capt.Kidai Senzala aliyefariki katika ajali ya Helikopta Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-gXcoiEzJLEQ/VH8C_XjtKxI/AAAAAAAAZAg/oABAYMYYA5E/s1600/IMG-20141203-WA0016.jpg)
Maafisa wa Polisi wakiwa wamebeba sanduku lililohifadhi mwili wa Marehemu Capt. Kidai Senzala Kalise aliyefariki Novemba 29 mwaka huu katika ajali ya Helkopta iliyotokea Kipunguni B-Moshi Bar Dar es Salaam wakielekea katika makaburi ya familia huko Gonja Maore Wilaya ya Same mkoa wa Kilimanjaro Desemba 1, 2014.
Marehemu Kidai alikuwa Mrakibu wa Polisi na alizikwa kwa heshima zote za Kipolisi ikiwa ni kupigiwa mizinga na saluti mbalimbali za kipolisi kabla na baada ya maziko yake.
Helkopta...
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Polisi kuuana Mwanza, mapya yaibuka
Na Mwandishi Wetu, UWAZI
MWANZA: Bado Jiji la Mwanza limegubikwa na sintofahamu ya Polisi PC Daudi Elisha mwenye namba H 852 kumuua kwa kumpiga risasi askari mwenzake, PC Petro Matiko mwenye namba H 5990 kisha naye kujiua, mapya yameibuka.
Tukio hilo lililoitingisha Mwanza lilijiri saa 8 mchana wa Desemba 23, mwaka huu nje ya Benki ya Posta Tawi la Pamba.
Akizungumza na gazeti hili, kijana mmoja ambaye anadai alikuwa na ukaribu na PC Elisha, huku akiomba hifadhi ya jina lake, alisema...
10 years ago
Habarileo16 Jul
Mauaji Stakishari yaibua mapya Polisi
JESHI la Polisi nchini jana liliwaaga kwa heshima zote za kijeshi askari wake wawili kati ya wanne waliouawa wakiwa katika kituo cha kazi cha Stakishari, Ukonga jijini Dar es Salaam, huku likiahidi kufanya mapinduzi kadhaa ya kiutendaji.
11 years ago
Mwananchi10 May
Uchaguzi 2015, Polisi kununua magari 700 mapya
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ybyW7jYjefg/ViaKEiFA1fI/AAAAAAAIBVc/lz_CR4tw_b8/s72-c/IMGL1332.jpg)
JK leo akabidhi jeshi la polisi magari 399 mapya kati ya 777 yaliyoagizwa
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete leo amekabidhi magari 399 mapya kwa ajili ya kufanyia kazi kwa Jeshi la Polisi Tanzania katika hafla fupi iliyofanyika kwenye viwanja vya Chuo Cha Mafunzo ya Polisi kilichopo barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam.
Makabidhiano hayo yalifanyika mbele ya Waziri wa Mambo ya ndani Mhe Mathias Chikawe Inspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Mangu na maofisa mbalimbali wa jeshi hilo.IGP Mangu Alisema magari hayo 20 ni ya kutema maji ya kuwasha na...
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Rais Kikwete alikabidhi Jeshi la Polisi magari mapya 399 kati ya 777 yaliyoagizwa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Mathias Chikawe, IGP Ernest Mangu wakati akikagua sehemu ya magari mapya 399 kati ya 777 aliyokabidhi kwa jeshi la polisi leo Jumanne Oktoba 20, 2015 huko katika Chuo cha Polisi Kurasini Dar es salaam. (PICHA NA IKULU).