Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi 2015, Polisi kununua magari 700 mapya

>Serikali inatarajia kununua magari mapya 700 kwa ajili ya Jeshi la Polisi ambayo yatatumika kwenye shughuli mbalimbali ukiwamo uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

JK leo akabidhi jeshi la polisi magari 399 mapya kati ya 777 yaliyoagizwa

Na Sultani Kipingo
RAIS  Jakaya Mrisho Kikwete leo amekabidhi magari 399 mapya kwa ajili ya kufanyia kazi kwa Jeshi la Polisi Tanzania katika hafla fupi iliyofanyika kwenye viwanja vya Chuo Cha Mafunzo ya Polisi kilichopo barabara ya Kilwa Jijini Dar es  Salaam. 
Makabidhiano hayo yalifanyika mbele ya  Waziri wa Mambo ya ndani  Mhe Mathias Chikawe Inspekta  Jenerali wa Polisi  IGP Ernest Mangu na maofisa mbalimbali wa jeshi hilo.IGP Mangu Alisema magari hayo 20 ni ya kutema maji ya kuwasha  na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete alikabidhi Jeshi la Polisi magari mapya 399 kati ya 777 yaliyoagizwa

p2

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Mathias Chikawe, IGP Ernest Mangu wakati akikagua sehemu ya magari mapya 399 kati ya 777 aliyokabidhi kwa jeshi la polisi leo Jumanne Oktoba 20, 2015 huko katika Chuo cha Polisi Kurasini Dar es salaam. (PICHA NA IKULU).

p3

p1

 

9 years ago

GPL

RAIS KIKWETE ALIKABIDHI JESHI LA POLISI MAGARI MAPYA 399 KATI YA 777 YALIYOAGIZWA‏

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Mathias Chikawe, IGP Ernest Mangu wakati akikagua sehemu ya magari mapya 399 kati ya 777 aliyokabidhi kwa jeshi la polisi jana Jumanne Oktoba 21, 2015 huko katika Chuo cha Polisi Kurasini Dar es salaam. PICHA NA…

 

10 years ago

Dewji Blog

Jeshi la polisi nchini lashiriki kuzindua magari mapya ya kampuni ya ulinzi ya Security Group Afrika Jijini Dar

1

Mwakilishi wa Mkuu wa Jeshi la polisi nchini Kamishina wa Polisi Mussa Ally Mussa akiwa na mkuu wa jeshi la polisi mstaafu Philimon Mgaya akikata utepe wa kuashiria kuzindua magari mapya zaidi ya ishirini ya kampuni ya ulinzi ya Security Group Africa ambayo yataanza kutumika katika kazi mbalimbali za kampuni hiyo hivi karibuni.Katikati yao ni mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo Eric Sambu.  

Mwakilishi wa Mkuu wa jeshi la polisi nchini Kamishina wa Polisi Mussa Ally Mussa  akipokea msaada wa...

 

10 years ago

Vijimambo

JESHI LA POLISI NCHINI LASHIRIKI UZINDUZI WA MAGARI MAPYA YA KAMPUNI YA ULINZI YA SECURITY GROUP AFRIKA JIJINI DAR

Mwakilishi wa Mkuu wa Jeshi la polisi nchini Inspekta wa Polisi Mussa Mussa akiwa na mkuu wa jeshi la polisi mstaafu Philimon Mgaya akikata utepe wa kuashiria kuzindua magari mapya Zaidi ya 20 ya kampuni ya ulinzi ya Security Group Africa ambayo yataanza kutumika katika kazi mbalimbali za kampuni hiyo hivi karibuni.Katikati yao ni mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo Eric Sambu.Mwakilishi wa Mkuu wa jeshi la polisi nchini Inspekta wa Polisi Mussa Mussa akipokea msaada wa pikipiki mbili aina ya...

 

10 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI NCHINI LASHIRIKI KUZINDUA MAGARI MAPYA YA KAMPUNI YA ULINZI YA SECURITY GROUP AFRIKA JIJINI DAR LEO

 Mwakilishi wa Mkuu wa Jeshi la polisi nchini Inspekta wa Polisi Mussa Mussa akiwa na mkuu wa jeshi la polisi mstaafu Philimon Mgaya akikata utepe wa kuashiria kuzindua magari mapya Zaidi ya ishirini ya kampuni ya ulinzi ya Security Group Africa ambayo yataanza kutumika katika kazi mbalimbali za kampuni hiyo hivi karibuni.Katikati yao ni mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo Eric Sambu. Mwakilishi wa Mkuu wa jeshi la polisi nchini Inspekta wa Polisi Mussa Mussa akipokea msaada wa pikipiki mbili...

 

10 years ago

GPL

JESHI LA POLISI NCHINI LASHIRIKI KUZINDUA MAGARI MAPYA YA KAMPUNI YA ULINZI YA SECURITY GROUP AFRIKA JIJINI DAR LEO‏

 Mwakilishi wa Mkuu wa Jeshi la polisi nchini Inspekta wa Polisi Mussa Mussa akiwa na mkuu wa jeshi la polisi mstaafu Philimon Mgaya akikata utepe wa kuashiria kuzindua magari mapya Zaidi ya ishirini ya kampuni ya ulinzi ya Security Group Africa ambayo yataanza kutumika katika kazi mbalimbali za kampuni hiyo hivi karibuni.Katikati yao ni mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo Eric Sambu. ...

 

11 years ago

Michuzi

Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari

Likirudi kwa mwaka wake wa saba, tamasha la magari Tanzania (autofest) litakua likionyesha magari mapya, matoleo mapya ya pikipiki, burudani za muziki kutoka kwa wasanii mbalimbali wa nchini na burudani nyingine za kusisimua kwa ajili ya familia nzima kuanzia Septemba 19-21, 2014. Tamasha la mwaka huu ambalo linaandaliwa na Vision Investment, litafanyika katika viwanja vya Biafra, Kinondoni. Anayetarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi ni Mhe. Dk Abdallah O. Kigoda, Waziri wa...

 

10 years ago

Michuzi

NEC KUTANGAZA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI MKUU 2015, JUNI 31

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii MAJIMBO mapya ya uchaguzi kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) mwishoni mwa Juni, ili kuweza majimbo hayo kupata wabunge watakaowakilisha wananchi hao.
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ,Kailima Ramadhani amesema ugawaji huo utakuwa umezingatia idadi ya watu,jiografia ya eneo husika pamoja mawasiliano na uchumi ili kuweza kuwalishwa na bunge katika maendeleo ya jimbo.
Ramadhan...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani