Posta Afrika kuwa na intaneti ya uhakika
UMOJA wa Mashirika ya Posta Afrika (PAPU) umeanza mchakato wa kuunganisha mawasiliano ya intaneti na umeme wa uhakika katika ofisi zake 30,000 katika nchi za Afrika.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2BcXmTtHXUk/VVEfdRslckI/AAAAAAAAbkI/SvYEgp9qGJI/s72-c/1.jpg)
NAPE AITAKA TUME YA UCHAGUZI KUWA NA RATIBA YA UHAKIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2BcXmTtHXUk/VVEfdRslckI/AAAAAAAAbkI/SvYEgp9qGJI/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nh3HgRWDnwY/VVEfcEsUASI/AAAAAAAAbkA/p8gqrPocSJg/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KWL7AXOUQRs/VVEfdWl72rI/AAAAAAAAbkM/43t62yXCHNs/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-75oRLz9Pogc/VVEfeG7AsjI/AAAAAAAAbkQ/9j14lxWiK00/s640/4.jpg)
10 years ago
Habarileo18 Nov
Dar kuwa na umeme wa uhakika miaka miwili ijayo
WIZARA ya Nishati na Madini, imewahakikishia wakazi wa Dar es Salaam kuwa na umeme wa uhakika ndani ya miaka miwili, huku ikianza kuachana na mpango wa kuwa na nguzo za miti badala yake kutumia za zege.
5 years ago
BBCSwahili13 Jun
Virusi vya corona: Changamoto za gharama ya intaneti barani Afrika
11 years ago
Michuzi15 Mar
uhaba wa maji ya uhakika dar es salaam kuwa historia karibuni
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
China Uighur: Wazuiliwa kwa kuwa na ndevu, kufunika uso na kutumia mtandao wa intaneti
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9t2W8xLZxLI/ViDMB-FwhEI/AAAAAAAIASk/HiFcEShGnuw/s72-c/download.jpg)
VODACOM NI KAMPUNI BORA YENYE MTANDAO WA UHAKIKA NCHINI AFRIKA YA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9t2W8xLZxLI/ViDMB-FwhEI/AAAAAAAIASk/HiFcEShGnuw/s1600/download.jpg)
Vodacom imetangazwa kutokana na utafiti huo uliofanywa na magazeti hayo katika hafla ya kutangaza makampuni bora ilifanyika jana katika hoteli ya Sandton mjini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j0NeGlPqYw8/Xu9pDkFCShI/AAAAAAALu1I/_H2i42iPymcskjisyzt2P500m9oPMe5mgCLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG-Na.-1AAA-768x512.jpg)
DKT. CHAULA AKAGUA UJENZI WA JENGO LA UMOJA WA POSTA WA AFRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-j0NeGlPqYw8/Xu9pDkFCShI/AAAAAAALu1I/_H2i42iPymcskjisyzt2P500m9oPMe5mgCLcBGAsYHQ/s640/JPEG-Na.-1AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JPEG-Na.-2AAAA-1024x682.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula (wa pili kulia) akisisitiza jambo...
10 years ago
Dewji Blog18 Jan
Siku ya Posta Barani Afrika kuadhimishwa leo Januari 18, 2015
*Wafanyakazi watoa misaada kwa wazee wa Nunge, Kigamboni
*Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kawawa watembelea Ofisi za Posta Kuu (Mpya), Dar es Salaam
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kawawa, Luhanga Mabibo, wakipatiwa maelezo kuhusu uchambuzi wa barua na vifurushi na Ester Zakayo wa Kitengo cha Box, wakati walipotembelea Posta Kuu, Dar es Salaam jana, ikiwa ni katika maadhimisho ya Siku ya Posta Afrika, inayoadhimishwa nchini leo. (Picha zote na Kassim Mbarouk- www.bayana.blogspot.com).
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GCcmDCu8TEg/Xu0MlevPUyI/AAAAAAALur4/A3sKjVQL2lIxCRavJxO0Ovw6TBsyPC61gCLcBGAsYHQ/s72-c/Picture%2B2%2B%25281%2529.png)
MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA UMOJA POSTA AFRIKA JIJINI ARUSHA.
Na:Vero Ignatus-Arusha.
Zaidi ya shilingi bilioni 38 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la kisasa lenye jumla ya ghorofa 17 ambalo linajengwa kwa ubia Kati ya Umoja wa Post Afrika (PAPU) na serikali ya Tanzania kupitia Mamlaka ya mawasiliano Nchini (TCRA).
Ni miezi sita sasa tangu kuzinduliwa shughuki za ujenzi kwa kuwekewa jiwe la msingi na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na mawasiliano mnamo januari 18 mwaka 2020 zoezi lililo ongozwa Mhandisi Isack Kamwelwe alie ambatana na viongozi...