Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


China Uighur: Wazuiliwa kwa kuwa na ndevu, kufunika uso na kutumia mtandao wa intaneti

Stakabadhi mpya zinaonesha "tena ushahidi mkubwa" kuhusu jinsi China inavyowakamata watu kwa misingi ya kidini katika eneo la Xinjiang.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL USO KWA USO NA MBAYA WAKE CHINA

Stori: Richard Bukos
MSANII wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel amesema hivi karibuni aligongana uso kwa uso na Ivon Bigilwa ambaye anadaiwa kumchana kwa chupa mkononi na kesi hiyo inaendelea katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam. Msanii wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel akliwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar.
Aunty alisema hayo juzi Jumatatu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam mbele ya...

 

9 years ago

Michuzi

SHULE YA MSINGI MLIMANI YAUNGANISHWA NA MTANDAO WA INTANETI


Baadhi ya wanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mlimani iliyopo Wilayani jijini Dar es Salaam wakijifunza somo la kompyuta baada ya kuunganishwa na mtandano wa Intaneti bure kwa msaada wa Vodacom Foundation wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo uliofanyika shuleni hapo leo na kuzinduliwa na Ofisa Mkuu wa Mtandao wa kampuni hiyo,Alec Mulonga(hayupo pichani).Vodacom imeanzisha mkakati wa kuleta mabadiliko kwa jamii ya Tanzania katika kupitia Teknolojia.
Ofisa Mkuu wa Mtandao wa Vodacom...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI SITTA USO KWA USO WA WADADA WAWILI WALIOKAMATWA UWANJA WA NDEGE KWA MADAWA YA KULEVYA

 Wasichana waliokamatwa Rehema Ndunguru (32) mkazi wa Sinza akiwa na mtuhumiwa mwenzake Moyo Ramadhani Waziri Sitta, akiondoka Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere. Waziri Sitta, akizungumza na waandishi wa habari wakati alipowasili Tazara.
Waziri Sitta, akisalimiana na baadhi ya viongozi wakati alipowasili Tazara.-- Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Samuel Sitta jana alifanya ziara Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Shirika la Usafirishaji la Reli (TAZARA) pamoja na Shirika la...

 

9 years ago

Habarileo

Mchungaji aasa jamii kutumia mtandao kwa maendeleo

MCHUNGAJI Hamza Kavenuke wa Kanisa la (EAGT) Kidete, Mufindi mkoani Iringa ametaka matumizi ya wastani ya mtandao ili kuleta maendeleo.

 

10 years ago

Michuzi

WIZI WA FEDHA KWA KUTUMIA MTANDAO TISHIO DUNIANI

Jitihada za serikali katika kupambana na uhalifu wa mitandao imeungwa mkono kutokana na baadhi ya vyuo kuanzisha mitaala yenye somo la ulinzi wa  mitandao. Moja ya jitihada za serikali katika kukabiliana na changamoto hiyo ni kupeleka muswada wa kutunga sheria ya uhalifu wa mtandao ya mwaka 2015  katika mkutano wa 19 wa bunge la jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambao ulipitishwa na bunge hilo. Taarifa ya waziri wa Mawasiliano , Sayansi na Teknologia , Profesa Makame Mbarawa kuhusu sheria...

 

9 years ago

Dewji Blog

TaGLA yatoa wito kwa Watanzania kushiriki kutumia mafunzo ya mtandao

DSC03626

Mkurugenzi Mtendaji,Wakala wa Mafunzo kwa Njia ya Mtandao(TaGLaA) Bw.Charles Senkondo (katikati mstari wa mbele )akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu mafanikio ya taasisi hiyo pamoja na kuanzishwa kwa maktaba ya kisasa za maendeleo ikishirikiana na wadau mbali mbali ndani na nje ya nchi.(Picha na Magreth Kinabo- Maelezo).

DSC03622

Baadhi ya waandishi wa habari leo wakiwa katika mafunzo kuhusu Wakala wa Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLaA) inavyofanya kazi na mafanikio...

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yakashifu kufurushwa kwa Uighur Thailand

Umoja wa Mataifa, imekashifu kufurushwa kwa zaidi ya watu 100 wa jamii ya Uighur kutoka Thailand ikisema huenda wakateswa Uchina

 

9 years ago

CHADEMA Blog

CHADEMA YATOA ONYO KUHUSU MPANGO WA KUKATA MAWASILIANO YA SIMU NA MTANDAO WA INTANETI

Chama cha Democrasia na maendeleo CHADEMA pamoja na umoja wa katiba ya wananchi UKAWA wamesema kuwa upo mpango unaoandaliwa na chama cha mapinduzi kwa kushirikiana na serikali kuhakikisha kuwa wanakata mawasiliano hasa ya mtandao kwa siku ya upigaji kura Tanzania,mpango ambao wamesema kuwa unasukwa kwa ajili ya kuhakikisha kuwa watanzania wanakuwa hawana mawasiliano ya haraka kupenana habari za

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani