PREZZO AZIDI KUONYESHA NIA YAKE YA KUINGIA KWENYE SIASA
CMB Prezzo. MAPEMA mwaka jana, rapa wa nchini Kenya, CMB Prezzo katika mahojiano yake redioni alisema atakuwa akiwania nafasi ya kisiasa katika uchaguzi mkuu ujao. Mbali na kuwa alisema siku moja atawania nafasi ya urais, baadhi ya vyanzo vya habari vimeeleza kuwa kwa sasa staa huyo anajiandaa kuzindua kampeni yake ya kuingia kwenye siasa. Prezzo mwenyewe amethibitisha taarifa hizo kwa kusema: "Ni kweli nina mpango wa kuingia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UUHZoZFGT4h07Fv9vUGBdX*u6l*vG5EkAKSwkf*kSDH6O60RrVtaHKXuOPoPCsGSuGIovqrEO2e6glIP49TnLlUE8-Ohnjbw/Kajala.gif?width=650)
KAJALA AFUNGUKIA KUINGIA KWENYE SIASA
10 years ago
Bongo517 Jan
Inspekta Haroun: Sina mpango wa kuingia kwenye siasa
10 years ago
Bongo Movies06 Jul
Changamoto za Walemavu Ndiyo Sababu Kubwa ya Wastara Kuingia Kwenye Siasa
Naitwa Wastara Juma kama watanzania wenzengu mnavyonifahamu mimi ni muigizaji wa filamu na kazi nyingine zinazohusiana na kiwanda cha filamu. leo niongee kitu ili watanzania wenzangu muelewe kwanini nimeamua kujiingiza kwenye siasa, kikubwa kilichonisukuma kuingia kwenye siasa ni jambo moja kubwa sana kwangu ambalo ni (WALEMAVU) .
Huwezi kusimulia uchungu wa mwana wakati haujawahi kuzaa huwezi kumzunguzia au kumtetea mlemavu hali ya kuwa hujui uchungu, matatizo na maumivu yake,, Mpaka sasa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/DfH9uRjW8vE/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Lowassa azidi kuhamasika juu ya kutangaza nia ya kugombea urais
![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s1600/1.jpg)
Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasalimia mamia ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa Dodoma, waendesha boda boda na wamachinga wa mkoa huo walioandamana hii leo hadi nyumbani kwake Area D mjini Dodoma kumuomba pindi wakati ukifika kwa mujibu wa taratibu za chama cha Mapinduzi (CCM) asisite kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais.
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Sentensi za Diva kuhusu Prezzo na Diamond Platnumz kwenye interview ya Mkasi Dec 21,2015
Mtu wangu kama hukuwa karibu na TV yako kuangalia show ya Mkasi on EATV December 21, 2015 usiku hizi ni sentensi za Mtangazaji wa Clouds FM, Diva aka The Bawse kuhusu uhusiano na rapper kutokea Kenya Prezzo pamoja na ugomvi uliotokea Agosti 24, 2015 kwenye kipindi cha XXL kati yake na Diamond Platnumz. ‘Kwanza Prezo tulikuwa […]
The post Sentensi za Diva kuhusu Prezzo na Diamond Platnumz kwenye interview ya Mkasi Dec 21,2015 appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s72-c/1.jpg)
LOWASSA AZIDI KUHAMASIKA JUU YA KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS, AWAHIMIZA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWA WINGI DAFTARI LA WAPIGA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s1600/1.jpg)
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya watu wa makundi mbalimbali ya jamii wanao muomba kugombea urais mwaka...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-t6O0cGWngdE/VJnvJ3clVJI/AAAAAAAArRM/vm65jAU67u8/s72-c/10294411_855826321105850_7453907103955828943_n.jpg)
DIAMOND AKIWA NDANI YA IKULU KUONYESHA MAFANIKIO YAKE KWA MH. RAIS DKT KIKWETE
![](http://2.bp.blogspot.com/-t6O0cGWngdE/VJnvJ3clVJI/AAAAAAAArRM/vm65jAU67u8/s1600/10294411_855826321105850_7453907103955828943_n.jpg)