KAJALA AFUNGUKIA KUINGIA KWENYE SIASA
![](http://api.ning.com:80/files/UUHZoZFGT4h07Fv9vUGBdX*u6l*vG5EkAKSwkf*kSDH6O60RrVtaHKXuOPoPCsGSuGIovqrEO2e6glIP49TnLlUE8-Ohnjbw/Kajala.gif?width=650)
Imelda Mtema Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ amefungukia kuingia kwenye siasa kuwa ni bora abaki kwenye upenzi na chama fulani kwani hawezi kugombea. Akizungumza na Amani juzikati, Kajala alisema kuwa, japokuwa wasanii wengi wakiwemo wa tasnia ya filamu Bongo, wamekuwa wakichukua fomu za kutaka kugombea nafasi mbalimbali za udiwani na ubunge lakini kwake hafikirii kitu kama hicho. ...Soma...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Jan
Inspekta Haroun: Sina mpango wa kuingia kwenye siasa
10 years ago
GPLPREZZO AZIDI KUONYESHA NIA YAKE YA KUINGIA KWENYE SIASA
10 years ago
Bongo Movies06 Jul
Changamoto za Walemavu Ndiyo Sababu Kubwa ya Wastara Kuingia Kwenye Siasa
Naitwa Wastara Juma kama watanzania wenzengu mnavyonifahamu mimi ni muigizaji wa filamu na kazi nyingine zinazohusiana na kiwanda cha filamu. leo niongee kitu ili watanzania wenzangu muelewe kwanini nimeamua kujiingiza kwenye siasa, kikubwa kilichonisukuma kuingia kwenye siasa ni jambo moja kubwa sana kwangu ambalo ni (WALEMAVU) .
Huwezi kusimulia uchungu wa mwana wakati haujawahi kuzaa huwezi kumzunguzia au kumtetea mlemavu hali ya kuwa hujui uchungu, matatizo na maumivu yake,, Mpaka sasa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/DfH9uRjW8vE/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3wYIztEaFzEKWwhm0VktQRYC2o3hQYHHVsNpX76UlDDco6KeJoKsng5vKjR67ZmKtWBmDu8BquFr-mw1s61Ofg3/kajala.jpg)
KAJALA AFUNGUKIA ‘PROJECT’ NA IZZO BUSINESS
9 years ago
Bongo Movies10 Sep
Lulu Afungukia Siasa na Kura Yake
Okay....nimeulizwa na Wengi na pengine yanasemwa mengi kuhusu ni Chama kipi cha Siasa nina support Kama ilivyoonekana Kwa Wasanii Wenzangu wengine..! Kwa kifupi nitajaribu kufafanua machache Kwa huu uwezo mdogo wa kufikiri nilijaaliwa na Mwenyezi Mungu..!
Kwanza,kila binadamu/mwananchi ana uhuru wa kuchagua na ku support anachokipenda...kwahyo sitangaa wala kuchukia Flani ku support upande flani
Pili,Mimi Kama mm(binafsi)hii ni Mara yangu ya kwanza kupiga kura kwahyo nimeamua kuitumia Kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/P5NKfaKdwW0/default.jpg)
9 years ago
Bongo519 Nov
Avril afikiria kuingia kwenye utangazaji wa TV
![11934732_674761035993224_863885011_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11934732_674761035993224_863885011_n-300x194.jpg)
Muimbaji wa Kenya, Avril huenda siku za usoni akaonekana kwenye screen yako akiendesha kipindi cha TV.
Avril ameiambia Word Is ya gazeti la The Star la Kenya kuwa amekuwa akifuatwa na watu wengi wanaompa ofa ya kufanya talk show lakini bado hajazitilia maanani.
Yeye mwenyewe pia amesema kwa muda mrefu amekuwa akivutiwa kuendesha kipindi cha TV na kuna uwezekano wa kufanya hivyo siku za usoni.
“Ingawa muziki ni kitu ninachokipenda zaidi, nimewahi kupenda televisheni pia. Labda siku za usoni...
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Wakatazwa kuingia kwenye ndege, kisa HIV