Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Prof Jay amepanga yapi Bunge linapofunguliwa?

Miongoni mwa wanasiasa watakaoelekea bungeni Dodoma, Tanzania siku ya ufunguzi ni msanii Prof Jay ambaye amekuwa akiwasuta viongozi waliotoa ahadi zisizoweza kutekelezeka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BI MWENDA AMZIMIKA PROF. JAY

Stori: Gabriel Ng’osha NAKUKUBALI! Mkongwe kwenye soko la filamu za Kibongo, Fatuma Makongoro ‘Bi Mwenda’ amefunguka kuwa anamzimika kinomanoma mkali wa Hip Hop Bongo, Joseph Haule ‘Prof Jay’ kutokana na tungo zake mahiri. Profesa Jay katika pozi. Bi Mwenda aliitoa kauli hiyo Jumatano iliyopita katika hafla ya Uzinduzi wa Global TV Online iliyofanyika katika Ofisi za Global Publishers,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof Jay: Najivunia kiwango

MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Professa Jay’, amesema ukilisoma soko la muziki hupati shida katika tasnia hiyo. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Professa Jay alisema...

 

11 years ago

GPL

AUDIO: THE PLAYLIST NA PROF JAY

THE PLAYLIST Ndio Show kali ya weekend inayoongozwa na Presenter Mjanja Lil Ommy kupitia 100.5 Times fm kila jumapili Saa 10 - 11 jioni. Sikiliza Ngoma 5 kali alizocheza Professor Jay kwenye THE PLAYLIST na nini alichozungumza kuhusu muziki wake, wasanii wapya waliopo na kuhusu mipango yake ya kimuziki. Pia utasikia ni wimbo gani ambao aliupa heshima ya juu na kusema kuwa ni wimbo bora wa kushrikiana uliowai kutokea katika Muziki...

 

9 years ago

TheCitizen

Prof Jay says he will be a candidate in TZ elections

Bongo Flava’s veteran rapper Professor Jay, real name Joseph Haule, has finally confirmed that he will be running for office this October during Tanzania’s General Elections. The rapper is contesting for a parliamentary seat in Mikumi Constituency on a Chadema Party ticket.

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Mwananchi

Prof Jay: Vijana ndiyo watakaoleta mabadiliko

Mbunge mteule wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule, maarufu Profesa Jay amesema vijana ndiyo watakaoleta mabadiliko nchini.

 

5 years ago

Bongo Movies

VideoMpya: Prof Jay ametuletea ‘PAGAMISA’ amemshirikisha Mr T Touch

Mbunge anaeongoza binadamu na wanyama Joseph Haule ambae ni Mbunge wa Mikumi wengi tunamfahamu kama Prof. Jay katuletea video ya wimbo wake wa ‘Pagamisa’ akiwa kamshirikisha Producer Mr T Touch.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani