FBTVShow PROF JAY INTERVIEW 720p HD (10Minutes)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
TheCitizen04 Sep
Prof Jay says he will be a candidate in TZ elections
Bongo Flava’s veteran rapper Professor Jay, real name Joseph Haule, has finally confirmed that he will be running for office this October during Tanzania’s General Elections. The rapper is contesting for a parliamentary seat in Mikumi Constituency on a Chadema Party ticket.
11 years ago
GPL
AUDIO: THE PLAYLIST NA PROF JAY
THE PLAYLIST Ndio Show kali ya weekend inayoongozwa na Presenter Mjanja Lil Ommy kupitia 100.5 Times fm kila jumapili Saa 10 - 11 jioni. Sikiliza Ngoma 5 kali alizocheza Professor Jay kwenye THE PLAYLIST na nini alichozungumza kuhusu muziki wake, wasanii wapya waliopo na kuhusu mipango yake ya kimuziki. Pia utasikia ni wimbo gani ambao aliupa heshima ya juu na kusema kuwa ni wimbo bora wa kushrikiana uliowai kutokea katika Muziki...
11 years ago
GPL
BI MWENDA AMZIMIKA PROF. JAY
Stori: Gabriel Ng’osha NAKUKUBALI! Mkongwe kwenye soko la filamu za Kibongo, Fatuma Makongoro ‘Bi Mwenda’ amefunguka kuwa anamzimika kinomanoma mkali wa Hip Hop Bongo, Joseph Haule ‘Prof Jay’ kutokana na tungo zake mahiri. Profesa Jay katika pozi. Bi Mwenda aliitoa kauli hiyo Jumatano iliyopita katika hafla ya Uzinduzi wa Global TV Online iliyofanyika katika Ofisi za Global Publishers,...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Prof Jay: Najivunia kiwango
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Professa Jay’, amesema ukilisoma soko la muziki hupati shida katika tasnia hiyo. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Professa Jay alisema...
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Prof Jay amepanga yapi Bunge linapofunguliwa?
Miongoni mwa wanasiasa watakaoelekea bungeni Dodoma, Tanzania siku ya ufunguzi ni msanii Prof Jay ambaye amekuwa akiwasuta viongozi waliotoa ahadi zisizoweza kutekelezeka.
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Prof Jay: Vijana ndiyo watakaoleta mabadiliko
Mbunge mteule wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule, maarufu Profesa Jay amesema vijana ndiyo watakaoleta mabadiliko nchini.
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Prof, Jay bado alia wizi kazi za wasanii
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, bado anaendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii huku akidai kwamba mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa...
11 years ago
Michuzi16 Sep
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania