PROFESA MCHOME AZINDUA OFISI ZA NACTE MIKOANI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Profesa Sifuni Mchome (kulia) akimkabidhi Edward Mneda nyaraka za utendaji kazi kufuatia kuteuliwa kuwa Mkuu wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Kanda ya Kati. Kushoto ni Mkuu wa Kanda Msaidizi wa Kanda ya Ziwa Beatrice Mpanda. Baraza hilo limefungua ofisi katika kanda tano Dodoma, Arusha, Zanzibar, Mbeya na Mwanza kurahisisha utekelezaji wa majukumu yake. Katibu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Wizara yafungua vituo vya NACTE mikoani
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kupitia Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) imefungua ofisi tano za kanda ikiwa ni sehemu ya mkakati wa wizara kuongeza ufanisi...
11 years ago
Habarileo23 Jun
NACTE yafungua ofisi tano za kanda
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kupitia Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi ( NACTE), imefungua ofisi tano za kanda, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa wizara ya kuwekeza katika eneo la usimamizi wa sekta ya elimu nchini kuongeza ufanisi na kufikia Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-N8wRFTPcsMI/VoUqqjRkNRI/AAAAAAAIPls/UGSTxmR-nxY/s72-c/001.WAZIRI.jpg)
WAZIRI WA ELIMU,SAYANSI,TEKNOLOGIA NA UFUNDI PROFESA. JOYCE NDALICHAKO ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA NACTE
![](http://2.bp.blogspot.com/-N8wRFTPcsMI/VoUqqjRkNRI/AAAAAAAIPls/UGSTxmR-nxY/s640/001.WAZIRI.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9dkmyE-C1vw/VoUqqwOKSoI/AAAAAAAIPlw/5R3KX7QQwAE/s640/002.WAZIRI.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Baraza Ewura kufungua ofisi mikoani
BARAZA la Watumiaji wa Huduma za Maji na Nishati (Ewura CCC) limesema mwaka huu wa fedha linatarajia kufungua ofisi katika ngazi ya mikoa ili huduma zake ziwafikie watumiaji wa huduma...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-auILKFCV9aM/VOl-mDEsJ3I/AAAAAAAHFGA/oZ2JHFSb1L8/s72-c/004.jpg)
Dkt. Kawambwa azindua jengo jipya la Mitihani la Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE)
![](http://1.bp.blogspot.com/-auILKFCV9aM/VOl-mDEsJ3I/AAAAAAAHFGA/oZ2JHFSb1L8/s1600/004.jpg)
10 years ago
Mtanzania27 Jan
Profesa Muhongo akacha makabidhiano ya ofisi
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, wamekacha makabidhiano ya ofisi hatua iliyofanya mawaziri wapya kukabidhiwa ofisi na watendaji.
Mialiko iliyokuwa imetolewa, ilisema mawaziri hao wangekabidhi ofisi kwa wateule wapya, William Lukuvi, aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na George Simbachawene wa Nishati na Madini.
Kutokana na kutotokea kwa Profesa Muhongo, ilimlazimu Simbachawene akabidhiwe ofisi na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PCdcQRGzMH4/XrmCoY6R0sI/AAAAAAALp0A/ZcpmEtyenGsxIo5PwJ6i6h8Q4Ahde4mwgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
Migogoro ya ardhi kaa la Moto,Kufunguliwa ofisi za ardhi mikoani kuleta ahueni
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/znkHXxFmtYU/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-o1o8ItzeL9E/Ve5vtLknJMI/AAAAAAAB8V4/SMzDO3qvVLM/s72-c/20150907_172719.jpg)
Profesa Mbarawa Azindua Kampeni ya Kuwania Ubunge Jimbo la Mkoani Pemba.
![](http://2.bp.blogspot.com/-o1o8ItzeL9E/Ve5vtLknJMI/AAAAAAAB8V4/SMzDO3qvVLM/s640/20150907_172719.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-z1GJzzDuQqk/Ve6YNIKIGWI/AAAAAAAB8Wk/Zw6frFKgODQ/s640/pba%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pc51qeKSPJc/Ve6YPpCw3FI/AAAAAAAB8Ws/7HrPh4UplVc/s640/pba%2B2.jpg)