Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PSI yafanya mkutano na wasambazaji wa kanda ya kaskazini

Shirika lisilo la kiserikali linalo fanya kazi chini ya wizara ya afya PSI/Tanzania kanda ya kaskazini ambalo ni wasambazaji wa salama kondom na bidhaa nyingine za afya zikiwezo zile za uzazi wa mpango za familia pamoja watergurad, mwishoni mwa wiki limefanya mkutano na mawakala wateule wa kanda ya kaskazini inayohusisha mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha an Manyara uliofanyika katika hoteli ya Silver Palm iliyoko hapa jijini Arusha ukiwa na lengo la kujadili mafanikio, changamoto na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

VETA KANDA YA DAR ES SALAAM YAFANYA MKUTANO NA WAMILIKI PAMOJA NA WAKUU WA VYUO VYA UFUNDI STADI

 Mratibu wa Veta kanda ya Dar es Salaam Bi. Frorence Kapinga akiwakaribisha wakuu wa vyuo vya ufundi vyenye usajili wa awali wa VETA kanda ya Dar es Salaam kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Msimbazi jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa VETA Kanda ya Dar es Salaam. Bw.Habibu Bukko akizungumza jambo wakati wa mkutano la wakuu wa vyuo vya ufundi pamoja na kumkaribisha mgeni rasmi kwa ajili ya ufunguzi wa kutano huo.  Mgeni rasmi Mwalimu Charles Philemon akizungumza na wakuu wa vyuo na...

 

9 years ago

Vijimambo

VETA KANDA YA DAR ES SALAAM YAFANYA MKUTANO NA WAMILIKI PAMOJA NA WAKUU WA VYUO VYA UFUNDI STADI

 Mratibu wa Veta kanda ya Dar es Salaam Bi. Frorence Kapinga akiwakaribisha wakuu wa vyuo vya ufundi vyenye usajili wa awali wa VETA kanda ya Dar es Salaam kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Msimbazi jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa VETA Kanda ya Dar es Salaam. Bw.Habibu Bukko akizungumza jambo wakati wa mkutano la wakuu wa vyuo vya ufundi pamoja na kumkaribisha mgeni rasmi kwa ajili ya ufunguzi wa kutano huo. 
 Mgeni rasmi Mwalimu Charles Philemon akizungumza na wakuu wa vyuo na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Korea kaskazini yafanya maadhimisho

Waride kubwa la kijeshi linafanyika nchini korea kaskazini kuadhimisa miaka 70 ya chama tawala cha Wokers Party

 

9 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yafanya jaribio la bomu

Hii ndio mara ya kwanza Korea Kaskazini imefanya majaribio ya bomu la nguvu ya maji {hydrogen}, majaribio ya awali hayakufanikiwa

 

11 years ago

Habarileo

Viwavijeshi kushambulia Kanda za Mashariki, Kaskazini

WAKULIMA wametakiwa kuchukua hadhari mapema, kutokana na kutabiriwa kuwepo kwa milipuko ya viwavijeshi vinavyoathiri mazao. Taarifa za utabiri za mwenendo wa milipuko ya viwavijeshi katika msimu wa kilimo 2013/2014, zinaashiria kuwepo kwa milipuko mikubwa hasa katika Kanda ya Mashariki na Kaskazini.

 

11 years ago

Michuzi

Tamasha la wanahabari kanda ya kaskazini kufanyika june 28

Bonanza  la waandishi wa habari na watangazaji Kanda ya Kaskazini linatarajiwa kufanyika june 28 katika viwanja vya General tyre  jijini Arusha na kushirikisha zaidi na wanahabari 150 na wadau wa habari.
Akizungumza na waandishi wa habari jana  , Katibu wa chama cha waandishi wa habari za michezo na burudani mkoa wa Arusha,(TASWA- Arusha) Mussa Juma, alisema maandalizi muhimu ya Bonanza yameanza.
Juma alisema bonanza hilo,ambalo huandaliwa na TASWA Arusha na kampuni ya MS UniquePromotion...

 

11 years ago

GPL

CHADEMA YATANGAZA WAGOMBEA WA UDIWANI KANDA YA KASKAZINI

TAARIFA KWA UMMA WAGOMBEA WA UDIWANI – KANDA YA KASKAZINI Tarehe 15 Januari 2014, wagombea wafuatao wa CHADEMA walipitishwa na TUME YA UCHAGUZI kuwania nafasi za uwakilishi (UDIWANI) katika maeneo ya kata mbalimbali za kanda ya Kaskazini. Wagombea hawa walipita katika mchujo wa uteuzi wa chama. Chama kina matarajio makubwa sana kuwa wananchi wa maeneo haya ya kata hizi watapata fursa nzuri ya kuwachagua wagombea wa CHADEMA...

 

11 years ago

Dewji Blog

Raisa ndie Redds Miss kanda ya Kaskazini

Hawa ndio washindi wa Redd’s Miss kanda ya Kaskazini kwa mwaka 2014.

Hawa ni wadhimini wa shindano hilo kutoka Minjingu.

LEMUTUZ nae alikuwemo ndani ya Redd’s Miss Kanda ya Kaskazini  bila kumsahau mwenyekiti wa Taswa Juma Pinto.

Mkuu wa mkoa wa Arusha pamoja na mkuu wa mkoa wa Manyara waliuthuria katika usiku huo wa kumsaka mrembo wa kanda ya kaskazini ambapo katika shindano hilo warembo wanne wa mwanzo wataingia katika kambi ya Redd’s miss Tanzania.

  Hashim Lundenga...

 

10 years ago

Michuzi

Makalla atembelea miradi ya maji Kanda ya kaskazini

Naibu waziri maji Mhe. Amos makalla akipata maelezo ya ujenzi wa tanki la maji mradi wa Boro-Masoka kutoka kwa mhandisi maji Moshi injinia Brown Lyimo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji kanda ya Kaskazini. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Hai Mhe. Novatus MakungaNaibu  Waziri wa maji  Mhe. Amos Makalla akiangalia ramani ya mradi wa maji Boro - MasokaNaibu Waziri wa  maji   Mhe. Amos makala akikagua chanzo cha maji cha Mananga cha mto Ghona, HimoNaibu Waziri wa maji Me. Amos Makalla...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani