PSPF KUWAKUTANISHA WACHEZAJI WA ZAMANI WA YANGA NA SIMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-FfpVuP71URk/VKJWGqzRHDI/AAAAAAAG6jc/RIppKO6K2_g/s72-c/PSPF1.png)
MFUKO wa Pensheni wa PSPF umedhamini mchezo wa kirafki utakaowakutanisha wachezaji waliowahi kuwika katika timu kongwe nchini Simba na Yanga.
Mchezo huo unatarajiwa kufanyika tarehe 1 Januari 2015 katika uwanja wa chuo cha Bandari, Tandika jijini Dar es Salaam, kiingilio kitakuwa bure ikiwa ni zawadi ya mwaka mpya kutoka PSPF.
Katika mchezo huo baadhi ya wachezaji wa Simba wanaotarajiwa kushuka uwanjani ni Thomas Kipese, George Lucas, Bita John, George Masatu, Mustafa Hoza,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 May
Simba kuwalipa wachezaji wake wa zamani?
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Tambo zatawala wachezaji wa Simba, Yanga
10 years ago
MichuziYANGA YAIZAMISHA SIMBA 4-3 KATIKA MCHEZO WA MWAKA MPYA ULIOANDALIWA NA PSPF
Hadi dakika tisini zinakamilika timu hizo zilitoka sare ya bao moja kwa moja, mabao hayo yaifungwa na Omari kapilima kwa upande wa Yanga na Barnabas Sekolo kwa upande wa Simba.
Bingwa wa mchezo huo alipatikana kwa njia ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHuhZLgizn30lvi8CArjT7jWAGdwyDMC4BsN*6sgCO1Aes*L5LPPYAOhsTJ9AnCjKZFboxIiDVliSpkeAtkksBFJ/ripoti.jpg?width=600)
RIPOTI MAALUM:WAGANGA WA KIENYEJI WANAVYOFANYA KAZI NA WACHEZAJI YANGA, SIMBA
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-UCAbEWcXY9M/VW2GxJ6XxMI/AAAAAAABKfc/iXCGKA63nWA/s72-c/nyerere13bc.jpg)
MIAKA 50 YA TFF YAWATUZA NYERERE, MKAPA MWINYI, SIMBA NA YANGA, STARS YA ZAMANI NDANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UCAbEWcXY9M/VW2GxJ6XxMI/AAAAAAABKfc/iXCGKA63nWA/s640/nyerere13bc.jpg)
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa tuzo kwa kuwatunuku wanamichezo mbalimbali wakiwemo Marais wote wa awamu nne za uongozi wa Tanzania akiwemo baba wa taifa, marehemu Julius K Nyerere.
Uamuzi wa TFF kuwatuza watu hao wakiwemo waandishi wa habari, wachezaji wa zamani wa timu ya taifa, waandishi wa habari na wengineo ni kutambua mchambo wao katika maendeleo ya soka nchini wakati Fifa inatimiza miaka 50.
VIONGOZI WA KITAIFA:
1. Rais Msataafu Mwl. Julius K Nyerere
2. Rais Mstaafu Ali Hassan...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Dj2cW2uJmMc/VKWAga7ybWI/AAAAAAAAOx0/0_yX3cmRf3U/s72-c/Myingu_Salvatory%2Bedward.jpg)
YANGA VETERANI YATWAA KOMBE LA PSPF BAADA YA KUINYUKA SIMBA VETERANI NA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Dj2cW2uJmMc/VKWAga7ybWI/AAAAAAAAOx0/0_yX3cmRf3U/s640/Myingu_Salvatory%2Bedward.jpg)