YANGA VETERANI YATWAA KOMBE LA PSPF BAADA YA KUINYUKA SIMBA VETERANI NA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Dj2cW2uJmMc/VKWAga7ybWI/AAAAAAAAOx0/0_yX3cmRf3U/s72-c/Myingu_Salvatory%2Bedward.jpg)
Nahodha wa timu ya maveterani wa Yanga, Salvatory Edward, akipokea kombe kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, baada ya kuinyuka Simba Veterani kwa penati 5-4 kufuatia sare ya mabao 1-1 katika pambano la bonanza lililodhaminiwa na mfuko huo na kupigwa kwenye uwanja wa Bandari Tandika, wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam leo jioni Alhamisi Januari 1, 2015. Kufuatia ushindi huo Yanga veterani pia walijinyakulia kitita cha shilingi milioni 1, wakati watani wao...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/213.jpg)
MOSHI VETERANI YAWACHAKAZA BOKO VETERANI
11 years ago
MichuziNSSF YAPELEKA VETERANI TANGA
Na Elizabeth Kilindi, TangaTimu ya Survey Veterani ya jijini Dar es salamu imeifunga timu ya Kombaini vijana Veterani ya Jiji la Tanga 2-1 katika...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EVVEihEnY0Q/VnZcpmCMspI/AAAAAAAINdY/prUMqvpPkcM/s72-c/1.jpg)
EFM VS BOKO BEACH VETERANI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Pp0HpEqxQ8g/VlLArOXMZxI/AAAAAAAIH4I/EsxhWaGqxbM/s72-c/1.jpg)
EFM 93.7 NA TABATA VETERANI WASHINDWA KUTAMBIANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pp0HpEqxQ8g/VlLArOXMZxI/AAAAAAAIH4I/EsxhWaGqxbM/s640/1.jpg)
10 years ago
GPLSIMBA SC YATWAA KOMBE LA MAPINDUZI ZANZIBAR
10 years ago
Bongo514 Jan
Simba yatwaa kombe la Mapinduzi 2015
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q_eyRymWyaI/VkAUKXLpr0I/AAAAAAAIE7A/dFu80_C4vtc/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
Kivule Veterani yaibuka kidedea mbele ya EFM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q_eyRymWyaI/VkAUKXLpr0I/AAAAAAAIE7A/dFu80_C4vtc/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zWwkU_5yaK8/VkAULBgsVOI/AAAAAAAIE7E/nCbbnutxo88/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
11 years ago
MichuziKITAMBI NOMA ILIPOONYESHANA KAZI NA USHIRIKA VETERANI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
MichuziMOSHI VETERANI WAMKUMBUKA MUASISI WAO MADESHO MOYE
hicho katika mashindano ya Pasaka ambayo huandaliwa kila mwaka na mamlaka ya bandali ya nchini Kenya.