EFM VS BOKO BEACH VETERANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-EVVEihEnY0Q/VnZcpmCMspI/AAAAAAAINdY/prUMqvpPkcM/s72-c/1.jpg)
Timu kabambe ya soka ya E-FM imeufunga mwaka kimichezo kwa kipute cha dakika 90 za mpira wa miguu dhidi ya maveterani wa Boko Beach katika uwanja wa Boko Beach jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. E-fm ilifanikiwa kutawala mchezo katika kipindi cha kwanza na kuweza kuzitandika nyavu za Boko Beach Veterani mara mbili. Kasi ya mchezo ilibadilika katika kipindi cha pili baada ya E-FM kuandika bao lake la tatu kupitia nyota wake John Makundi. Bao hilo liliamsha kikosi cha Boko Beach Veterani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/213.jpg)
MOSHI VETERANI YAWACHAKAZA BOKO VETERANI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Pp0HpEqxQ8g/VlLArOXMZxI/AAAAAAAIH4I/EsxhWaGqxbM/s72-c/1.jpg)
EFM 93.7 NA TABATA VETERANI WASHINDWA KUTAMBIANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pp0HpEqxQ8g/VlLArOXMZxI/AAAAAAAIH4I/EsxhWaGqxbM/s640/1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q_eyRymWyaI/VkAUKXLpr0I/AAAAAAAIE7A/dFu80_C4vtc/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
Kivule Veterani yaibuka kidedea mbele ya EFM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q_eyRymWyaI/VkAUKXLpr0I/AAAAAAAIE7A/dFu80_C4vtc/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zWwkU_5yaK8/VkAULBgsVOI/AAAAAAAIE7E/nCbbnutxo88/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Dj2cW2uJmMc/VKWAga7ybWI/AAAAAAAAOx0/0_yX3cmRf3U/s72-c/Myingu_Salvatory%2Bedward.jpg)
YANGA VETERANI YATWAA KOMBE LA PSPF BAADA YA KUINYUKA SIMBA VETERANI NA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Dj2cW2uJmMc/VKWAga7ybWI/AAAAAAAAOx0/0_yX3cmRf3U/s640/Myingu_Salvatory%2Bedward.jpg)
10 years ago
MichuziBoko Beach Veterans wamkabidhi zawadi Mchezaji bora wa Mwezi
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HZItvX_BGe4/Vj3SWLYeJkI/AAAAAAAIEyE/yy4G5OyuPlQ/s72-c/ApEqc3bfiHuw9aIVyQpow0yy0rDp_sSuE87ZRes2Xrb2.jpg)
Boko Beach Veterans wamkabidhi zawadi Mchezaji bora wa Mwezi Oktoba 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-HZItvX_BGe4/Vj3SWLYeJkI/AAAAAAAIEyE/yy4G5OyuPlQ/s640/ApEqc3bfiHuw9aIVyQpow0yy0rDp_sSuE87ZRes2Xrb2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eUQdNvKGXKE/Vj3SWJoeLZI/AAAAAAAIEyI/hReKxAZNyV4/s640/AsAFY4U7XZWFMgdn4DjB-V91mdxZA3eVCWOjfdANRz9d.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CUA-A5T1Fz0/U8mFwzT0_sI/AAAAAAAF3kI/dGURx-gOthY/s72-c/unnamed+(22).jpg)
ZANZIBAR BEACH SOCCER KUCHEZWA KENDWA ROCK'S HOTEL BEACH
Kwa mujibu wa taarifa yao hiyo kwa vyombo vya habari, iliyotolewa na Mwandaaji wa michezo hiyo, Muslim Nassor ‘Jazzphaa’ ilieleza kuwa, kamati ya...
9 years ago
Dewji Blog22 Aug
Beach Volleyball Tournament Dar 23rd August. 2015 Mbalamwezi Beach Club
Among of players of Volleyball team in group photo after exercise and registration at Mbalamwezi Beach Club today August 22.2015. (All Photo By Andrew Chale, modewjiblog)
Some group of the Players ..
Registration: 8:00 – 8:30 – since you registered in advance, your name will be on the list at the entrance to the club. The entrance for you is free. If you have any friends or relatives coming to support you or watch the matches, they will have to pay the entrance fee. The fee is 5000 TZS on...
9 years ago
Michuzi02 Dec