Kivule Veterani yaibuka kidedea mbele ya EFM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q_eyRymWyaI/VkAUKXLpr0I/AAAAAAAIE7A/dFu80_C4vtc/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
Mechi ya Mpira wa miguu kati ya E-fm Vs Kivule Veterani iliyochezwa wikiendi hii huko Ukonga, Dar es salam, ilimalizika huku E-fm ikiruhusu washambuliaji wa Kivule Veterani kuziona nyavu mara mbili wakati Efm wakiliona lango lao mara moja kupelekea matokeo kuwa 2 – 1, na ushindi kwenda Kivule Veterani ambao waliutumia vyema uwanja wao wa nyumbani Watangazaji wa vipindi vya Sports Headquarters na E Sports, Soud Mkumba na Oscar Oscar wakizungumza na mashabiki kabla ya kushuka dimbani.
Picha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EVVEihEnY0Q/VnZcpmCMspI/AAAAAAAINdY/prUMqvpPkcM/s72-c/1.jpg)
EFM VS BOKO BEACH VETERANI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Pp0HpEqxQ8g/VlLArOXMZxI/AAAAAAAIH4I/EsxhWaGqxbM/s72-c/1.jpg)
EFM 93.7 NA TABATA VETERANI WASHINDWA KUTAMBIANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pp0HpEqxQ8g/VlLArOXMZxI/AAAAAAAIH4I/EsxhWaGqxbM/s640/1.jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Chelsea yaibuka kidedea
9 years ago
Mwananchi23 Nov
CCM yaibuka kidedea Ulanga
11 years ago
Mwananchi03 Feb
CCM yaibuka kidedea Kiembesamaki
9 years ago
VijimamboCCM YAIBUKA KIDEDEA JIJINI MWANZA
Na George Binagi-GB PazzoMgombea wa Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Nyamagana Mkoani Mwanza ameibuka mshindi wa kiti cha Ubunge katika jimbo hilo kwa kupata kura 81,017 na hivyo kumbwaga aliekuwa mbunge wa jimbo hilo Ezekiel Wenje kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema aliepata kura 79,280.Matokeo hayo yalitangazwa na Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Jimboni humo ambae pia ni Kaimu...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RU-BxEuC-r5L49t1VgougKPalqMvqcRhN9mocdYJa4EkUFsm57mrH1Z8sarzMH5jz8AJmtylo3kEuxVFeUY-pN-1jCQToN6c/IMG20151101WA0008.jpg?width=650)
KAMPUNI YA MBONGO YAIBUKA KIDEDEA MAREKANI
11 years ago
MichuziTPDC yaibuka kidedea kwenye maonesho ya Sabasaba
Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) limeibuka kidedea na kukabidhiwa kikombe cha ushindi katika kundi la mashirika ya petroli na mafuta nchini baada ya kuyabwaga chini mashirika megine mengi yaliyokuwa yanawania kikombe hicho katika maonesho ya kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo jijini Dar es Salaam.
Kikombe hicho kilikabidhiwa na mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa maonesho hayo Makamu wa Pili wa Rais wa...