PSPF, TAFFA WAANZISHA USHIRIKIANO MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-6EnXHiAon6E/Vgrrc69Hm2I/AAAAAAAAaCg/9BGfFs4x0AA/s72-c/1.jpg)
KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Florence Turuka, akihutubia wanachama wa chama cha mawakala wa forodha Tanzania (TAFFA), mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa TAFA kwenye ukumbi wa Karimjee .
Meneja Masoko, Mawasiliano na Uenezi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Costantina Martin, akiwaeleza wanachama wa Chama cha mawakala wa forodha Tanzania TAFA, juu ya hufuma mbalimbali zitolewazo na Mfuko huo, wakati wa mkutano mkuu wa TAFFA jijini Dar es Salaam. PSPF...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog05 Dec
PSPF waanzisha kampeni mpya ya mtaa kwa mtaa kuhamasisha wanachama wake!
![](http://3.bp.blogspot.com/-zDzQydVn6iw/VlnL1taDRUI/AAAAAAABZXk/KALo3gV627Y/s640/vlcsnap-2015-11-28-17h41m47s240.png)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GYSW6seI2gs/VImp4-O5WSI/AAAAAAACwVY/QM9KJqEEjqs/s72-c/b7.jpg)
PSPF YAZINDUA HUDUMA MPYA ZA MIKOPO KWA WANACHAMA WAKE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYSW6seI2gs/VImp4-O5WSI/AAAAAAACwVY/QM9KJqEEjqs/s1600/b7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r2KZ9K6lTIw/VImp0oam9YI/AAAAAAACwUU/oPNublCiqU0/s1600/b1.jpg)
10 years ago
Daily News08 Aug
TAFFA threatens to go on strike over new licensing fee
Daily News
MEMBERS of the Tanzania Freight Forwarders Association (TAFFA) are threatening to go on strike following a new condition of depositing 100m/- before being awarded an operating licence. This has been proposed by Tanzania Revenue Authority (TRA).
9 years ago
MichuziTAFFA YAIBUA MAPYA YA UTOROSHAJI WA KONTENA
Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha (Taffa), Stephen Ngatunga (kulia), akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na njia zinazotumika kuiba mapato ya serikali bandarini na katika Idara ya Forodha, Jijini Dar es Salaam jana. kushoto ni maofisa waandamizi wa chama hicho. Picha na Mpigapicha Wetu
Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha (Taffa), Stephen Ngatunga (kushoto), akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na njia zinazotumika kuiba mapato ya...
10 years ago
Habarileo22 Oct
Kificho ataka ushirikiano kwa Mwanasheria Mkuu mpya
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho amewataka wajumbe wa baraza hilo kutoa kila aina ya ushirikiano kwa Mwanasheria Mkuu mpya Said Hassan Said ili kuweza kutekeleza majukumu yake vizuri.
10 years ago
MichuziYANGA YAIZAMISHA SIMBA 4-3 KATIKA MCHEZO WA MWAKA MPYA ULIOANDALIWA NA PSPF
Hadi dakika tisini zinakamilika timu hizo zilitoka sare ya bao moja kwa moja, mabao hayo yaifungwa na Omari kapilima kwa upande wa Yanga na Barnabas Sekolo kwa upande wa Simba.
Bingwa wa mchezo huo alipatikana kwa njia ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EIRBV66nV5g/XlQFKAPnHXI/AAAAAAALfLY/P__PYsrJGV4usMROzNtlCZr9rKP4v2QXQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-54-1024x683.jpg)
MKATABA MPYA WA USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA EU UIMARISHE SEKTA ZA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-EIRBV66nV5g/XlQFKAPnHXI/AAAAAAALfLY/P__PYsrJGV4usMROzNtlCZr9rKP4v2QXQCLcBGAsYHQ/s640/1-54-1024x683.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) akipeana mkono na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Mhe. Manfredo Fanti, baada ya kumaliza kwa mkutano kuhusu ushirikiano wa maendeleo ya kiuchumi, uliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-45-1024x683.jpg)
Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Mhe. Manfredo Fanti, akizungumza kuhusu uboreshaji wa miundombinu ili kuchochea biashara, wakati wa kikao na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb)...
9 years ago
MichuziTAFFA WAMFAGILIA MAGUFULI, WATAKA BANDARI KAVU ZIFUTWE
Mwandishi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-teM14CgHBH4/VZZ2swmyufI/AAAAAAAHmnM/fwPQReYJFaQ/s72-c/unnamed.png)