PUKU YAJA NYUMBANI RASMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-SR3LEa1gMiI/U5sDJUFan0I/AAAAAAACjYI/kMNmEP_4N6c/s72-c/IMG_9558.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya PUKU,Bwa.Meck Mbwana akizungumza kuhusiana na bidhaa hiyo,mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani),mapema leo jijini Dar.
Pichani wa pili kulia ni Mwanamitindo Millen Magese ambaye ni balozi wa bidhaa ya PUKU akiwa na waanzilishi wa bidhaa hiyo ya PUKU mara baada kuzungumza na Wanahabari jijini Dar leo
===============
WATUMIAJI wa simu za kisasa za Smart Phone wametakiwa kutumia chaji za Puku kuchajia simu zao ili kujihakikishia usalama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Airtel yaja na ‘Wifi ya nyumbani’
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imezindua huduma ya kwanza ya kibunifu nchini ijulikanayo kama ‘Home Wifi With Bundle Share’ (Wifi ya nyumbani na kifurushi cha pamoja). Huduma...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CFUv0c0dDEQ/Vb4eRpje1SI/AAAAAAAAW-w/0heScTWLDzU/s72-c/a2.jpg)
JK AREJEA NYUMBANI BAADA YA ZIARA RASMI YA KISERIKALI NCHINI AUSTRALIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-CFUv0c0dDEQ/Vb4eRpje1SI/AAAAAAAAW-w/0heScTWLDzU/s640/a2.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Saidi Meck Sadik baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku wa Jumamosi Agosti 1, 2015 akitokea Australia alikozuru kwa mwaliko rasmi wa Kiserikali kutoka kwa Gavana Mkuu wa nchi hiyo Mheshimiwa Peter Cosgrove.
![](http://3.bp.blogspot.com/-T_XyzaLoVH8/Vb4c9gDw7nI/AAAAAAAAW-k/q_B_N8s-TaU/s640/a1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Raymond Mushi katika uwanja wa ndege wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nceFuSRPA6o/VVHKuVxpt0I/AAAAAAAHWzc/1SgiIxPj3Ok/s72-c/ag1.jpg)
RAIS KIKWETE AHITIMISHA ZIARA RASMI YA ALGERIA, AREJEA NYUMBANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-nceFuSRPA6o/VVHKuVxpt0I/AAAAAAAHWzc/1SgiIxPj3Ok/s640/ag1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YeIv5RgObQo/VVHKuu1MnBI/AAAAAAAHWzk/Dv61DLlYrII/s640/ag2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uIz6VmbRyEo/VVHKufv8LBI/AAAAAAAHWzg/4FMYFgWDhbg/s640/ag3.jpg)
11 years ago
Bongo502 Aug
Meck Khalfan: Mtanzania aliyebuni charger za Puku zinazonunuliwa kama njugu duniani kote!!
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Rais Kikwete arejea nyumbani baada ya ziara rasmi ya kiserikali nchini Australia
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Raymond Mushi katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku wa Jumamosi Agosti 1, 2015 mara baada ya kurejea kutoka Australia kwa mwaliko rasmi wa Kiserikali kutoka kwa Gavana Mkuu wa nchi hiyo Mheshimiwa Peter Cosgrove.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Saidi Meck Sadik baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/-NLfmyt8SHg/default.jpg)
10 years ago
Michuzi28 Aug
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mjadala; Watanzania Diaspora, Tunawataka wajenge vihenge nyumbani, lakini hatutaki wawe na haki kama tulio nyumbani, kwanini?
Ndugu zangu,
Leo alfajiri niliongoza mjadala kwenye redio za Kwanza Jamii na Nuru FM kuhusiana na kongamano linaloendelea Dar la Watanzania wa Diaspora wanaokutana nyumbani, Tanzania.
Ni kwa nini tuna hofu na Watanzania wenzetu walio ughaibuni? Hofu hii ni ya kihistoria.
Kwanini kongamano hili la kwanza kufanyika lisiwe la mwisho kufanyika katika sura yake hii, kwamba maudhui ya kongamano yenyewe kuwa ni ; connect, engage, inform and ivest nako kunakosekana dhana integration kwa maana ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NzDUNNjpKqY/VbeGAw9myPI/AAAAAAAHsPs/9QD2Sc7U3w8/s72-c/MMGL0364.jpg)
LOWASSA AJIUNGA RASMI NA UKAWA,AKABIDHIWA KADI RASMI YA UANACHAMA CHADEMA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-NzDUNNjpKqY/VbeGAw9myPI/AAAAAAAHsPs/9QD2Sc7U3w8/s640/MMGL0364.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HGeeL3rFur8/VbeGAAXFM8I/AAAAAAAHsPo/64cudQzmg4Q/s640/MMGL0367.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bt3gbl_fezs/VbeGCDcfo-I/AAAAAAAHsQA/fXpkbv2ToMo/s640/MMGL0450.jpg)