Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Qatar claims are racist - Blatter

Fifa president Sepp Blatter says allegations of corruption surrounding Qatar's 2022 World Cup bid are motivated by racism.

BBC

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Blatter: Wanaopinga Qatar wabaguzi wa rangi

Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka (Fifa), Sepp Blatter amesema madai ya rushwa katika kuipa Qatar uenyeji wa fainali za Kombe la Dunia za 2022 yamechochewa na hisia za ubaguzi wa rangi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Blatter: Ni “kosa” Qatar kuandaa Kombe la Dunia 2022

Rais wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni – FIFA Sepp Blatter amesema ilikuwa kosa kuichagua Qatar kuandaa dimba la Kombe la Dunia mwaka wa 2022 kwa sababu ya hali ya joto kali nchini humo

Blatter amekiambia kituo kimoja cha televisheni nchini Uswisi kuwa, na namnukuu “unajua, kila mmoja hufanya makosa maishani”.

Kiwango cha wastani cha joto ni nyuzijoto 40 katika miezi ya Juni na Julai, kipindi ambacho tamasha la kombe la dunia hupangwa kufanyika.

Blatter amesema kuna uwezekano mkubwa kuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na kiongozi wa kampuni ya gesi ya Qatar na kutembelea eneo la ujenzi wa bandari mpya ya Qatar.

PG4A5517

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bw.  Otty Msuku  ambaye ni Mtanzania ,  Mtalaamu wa upimaji ardhi katika mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar  wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa bandari hiyo akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 22, 2014. Katikati ni Mkurugenzi mwendeshaji wa Mradi huo, Don Morrison. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A5521

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar, Bw. Yusuf...

 

10 years ago

BBCSwahili

Qatar 2022: Qatar yapinga madai ya Amnesty

Qatar imepinga madai ya Amnesty International kuwa inawadhulumu wafanyikazi wanaojenga viwanja

 

9 years ago

Dewji Blog

Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.

Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.

Licha ya kuwafungia miaka...

 

10 years ago

Vijimambo

UK and international donors suspend Tanzania aid after corruption claims Payments of $490m frozen following claims that high-ranking officials siphoned off funds from the country’s central bank.

Donors to Tanzania’s general budget support programme include the UK, Canada, Denmark, the European Commission, Finland, Germany, Ireland, Japan, Norway, Sweden and the World Bank. Photograph: Daniel Hayduk/AFPInternational donors have suspended nearly $500m (£311m) in budget support to Tanzania in response to claims that senior government officials siphoned off funds from the country’s central bank under the guise of energy contracts.
The chair of Tanzania’s public accounts committee, Zitto...

 

11 years ago

BBC

Is it always racist to black up your face?

Is it always racist to black up your face?

 

10 years ago

BBC

Gamula banned for racist comments

FC Rostov head coach Igor Gamula is suspended for five matches after being found guilty of making racist comments.

 

10 years ago

BBC

Tavecchio banned for racist comment

The Italian football federation president, Carlo Tavecchio, is banned for six months by Uefa for making racist remarks.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani