Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia wa India awekwa Karantini

India imemuweka karantini mwanaume mmoja ambaye alipatiwa matibabu baada ya kuathirika na ugonjwa wa Ebola nchini Liberia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU WA ISRAEL AWEKWA KARANTINI

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na wasaidizi wake wa karibu wamewekwa karantini baada ya mfanyakazi katika ofisi yake kupimwa na kukutwa na virusi vya ugonjwa wa corona.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ofisi ya waziri mkuu huyo mwenye umri wa miaka 70, imeeleza kuwa uamuzi wa kumuweka karantini ni kwa lengo la kuchukua tahadhari tu, kwasababu hata hivyo kiongozi huyo hajahusiana wala kugusana na mfanyakazi huyo mwenye maambukizi ya Covid-19

Taarifa zimeeleza kuwa kwa uchunguzi...

 

5 years ago

Michuzi

MWANDISHI AWEKWA KARANTINI, ASHINDWA KUHUDHURIA KESI YAKE

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa aliyekuwa Mhariri wa gazeti la Mawio, Jabir Idrissa anayekabiliwa na kesi ya uchochezi pamoja na wenzake watatu aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lisu yupo kwenye uangalizi huko Visiwani Zanzibar, (karantini).
Wakili wa serikali, Sylvia Mitanto amedai hayo leo Aprili 23,2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kusikilizwa lakini mshitakiwa Idrissa yupo karantini na Lissu hayupo mahakama.
Mbali...

 

10 years ago

Mwananchi

Raia wa india jela miaka mitatu

RAIA wa India, Santnam Singh (43) amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini ya Sh 380,000 baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na kisu katika Uwanja wa Kimataifa wa Julias Nyerere (JNIA).

 

9 years ago

BBCSwahili

Ubakaji:India inamchunguza raia wa Saudi A

Mfanyikazi wa ubalozi wa Saudi Arabia anadaiwa aliwabaka wafanyikazi wawili wa nyumbani raia wa Nepal

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wachoma magari ya hospitali ,India

Makundi ya raia wenye hasira kutoka vijiji vya Mashariki mwa wamevamia hospitali ya serikali na kuchoma moto magari.

 

9 years ago

BBCSwahili

Raia wa India atengeneza gari kubwa duniani

Mchoraji wa miundo ya magari nIndia Sudhakr Yadav amejaribu kuweka rekodi ya pili ya Guiness kwa kutengeneza gari kubwa zaidi duniani.

 

5 years ago

Michuzi

RAIA WAWILI WA INDIA WAHUKUMIWA, KULIPA FAINI YA SH. MILIONI 230


 Wafanyabiashara wawili raia wa India waliohukumiwa leo katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam wamehukumiwa  kutumikia kifungo cha nje kwa mwaka mmoja na kulipa faini ya sh. Milioni 230 baada ya kukiri shtaka moja lililokuwa linawakabili la kukutwa na mazao ya misitu (magogo) yenye thamani ya sh. Milioni 505.1 bila ya  kuwa na kibali cha wakala wa Misitu, (TFS).
Baadhi ya Magogo yaliyo kwenye makontena ambayo walikutwa nayo wafanyabiashara wa nchini India.

Na Karama...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Raia 246 wa Tanzania waliokwama India warejea nyumbani

Bi. Saada raia wa Tanzania aliyekuwa amekwama nchini India. Ameieleza BBC juu ya furaha ya kurejea nyumbani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kenya: Raia alichapwa viboko na raia wa China baada ya kusemekana alichelewa kazini

Kenya raia wanne wa Uchina wamekamatwa na polisi Kenya baada ya kusambaa kwa video mtandaoni ikionesha mkenya akichapwa viboko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani