WAZIRI MKUU WA ISRAEL AWEKWA KARANTINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BQxhOn7sVG4/XoIJWuHfBAI/AAAAAAABm8o/0mx09gpLwKwCqswLDGfZB24V4dTs4GDvgCLcBGAsYHQ/s72-c/11-21-19-netanyahu-2.jpg)
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na wasaidizi wake wa karibu wamewekwa karantini baada ya mfanyakazi katika ofisi yake kupimwa na kukutwa na virusi vya ugonjwa wa corona.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ofisi ya waziri mkuu huyo mwenye umri wa miaka 70, imeeleza kuwa uamuzi wa kumuweka karantini ni kwa lengo la kuchukua tahadhari tu, kwasababu hata hivyo kiongozi huyo hajahusiana wala kugusana na mfanyakazi huyo mwenye maambukizi ya Covid-19
Taarifa zimeeleza kuwa kwa uchunguzi...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Raia wa India awekwa Karantini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6lKj2kH4OhY/XqFZncwl8iI/AAAAAAALn8U/rHz8jrJdTv8JcH7vUFy3b8Fzt6dmOBHGgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
MWANDISHI AWEKWA KARANTINI, ASHINDWA KUHUDHURIA KESI YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-6lKj2kH4OhY/XqFZncwl8iI/AAAAAAALn8U/rHz8jrJdTv8JcH7vUFy3b8Fzt6dmOBHGgCLcBGAsYHQ/s640/download.jpg)
Wakili wa serikali, Sylvia Mitanto amedai hayo leo Aprili 23,2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kusikilizwa lakini mshitakiwa Idrissa yupo karantini na Lissu hayupo mahakama.
Mbali...
10 years ago
BBCSwahili23 Aug
Waziri mkuu wa Israel alionya Hamas
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Waziri mkuu wa zamani wa Israel ahukumiwa kwenda jela
Ehud Olmert
Jerusalem, Israel
Mahakama Kuu ya Israel, imemhukumu aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo kuanzia mwaka 2006-2009, Ehud Olmert kifungo cha miezi 18 jela baada ya kukutwa na hatia kwenye makosa ya kula rushwa yaliyokuwa yanamkabili.
Awali, Mei, 2014, Olmert alihukumiwa kifungo cha miaka 6 jela kufuatia kukutwa na hatia katika makosa ya kupokea rushwa katika kipindi cha 1993 hadi 2003 alipokuwa Meya wa Jiji la Jerusalem. Baada ya hukumu ya awali, Olmert alikata rufaa na baada ya...
11 years ago
Mwananchi28 May
Papa Francis, Waziri Mkuu Israel walumbana kuhusu Yesu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1x_xczr4nrU/XmYMMD3zMFI/AAAAAAALiLU/h2_GqmgK-rwB99UCDuPSE2wW6F54LQw-QCLcBGAsYHQ/s72-c/4bk901ca36e9deexrp_800C450.jpg)
Zaidi ya wanajeshi elfu moja (1000) wa Israel wawekwa chini ya karantini kwa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-1x_xczr4nrU/XmYMMD3zMFI/AAAAAAALiLU/h2_GqmgK-rwB99UCDuPSE2wW6F54LQw-QCLcBGAsYHQ/s640/4bk901ca36e9deexrp_800C450.jpg)
Televisheni ya al Alam imenukuu taarifa iliyotolewa na Aviv Kochavi, mkuu wa majeshi ya Israel akisema kuwa, utawala huo umechukua hatua hiyo ili kupunguza idadi ya wanajeshi wake waliokumbwa na virusi hatari vya corona.
Siku ya Ijumaa pia utawala wa Kizayuni ulitangaza kuwa, mwanajeshi yeyote wa utwaala huo hana ruhusa ya kuondoka kwenye...
9 years ago
Habarileo26 Aug
‘Waziri’ Masha awekwa kizimbani Dar
ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha (45) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kutumia lugha ya matusi kwa maofisa wa Jeshi la Polisi.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
5 years ago
CCM BlogMKUU WA MKOA SIMIYU: HATUTAWAWEKA KARANTINI WASAFIRI WA NDANI YA NCHI