‘Waziri’ Masha awekwa kizimbani Dar
ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha (45) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kutumia lugha ya matusi kwa maofisa wa Jeshi la Polisi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Oct
Masha apanda kizimbani, apata dhamana
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Masha kizimbani kwa mkutano usio halali
Veronica Romwald na Jonas Mushi, Dar es Salaam
WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa zamani, Lawrence Masha leo anatarajiwa kufikishwa mahakamani mjini Mpanda mkoani Katavi kwa mashitaka mawili likiwamo la kufanya mkutano na kuingia kwenye kambi ya wakimbizi bila kibali.
Masha ambaye ni wakili wa kujitegemea na ambaye hivi karibuni alijiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akitokea Chama Cha Mapinduzi (CCM) anashikiliwa na wenzake sita mkoani Katavi.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BQxhOn7sVG4/XoIJWuHfBAI/AAAAAAABm8o/0mx09gpLwKwCqswLDGfZB24V4dTs4GDvgCLcBGAsYHQ/s72-c/11-21-19-netanyahu-2.jpg)
WAZIRI MKUU WA ISRAEL AWEKWA KARANTINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BQxhOn7sVG4/XoIJWuHfBAI/AAAAAAABm8o/0mx09gpLwKwCqswLDGfZB24V4dTs4GDvgCLcBGAsYHQ/s640/11-21-19-netanyahu-2.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ofisi ya waziri mkuu huyo mwenye umri wa miaka 70, imeeleza kuwa uamuzi wa kumuweka karantini ni kwa lengo la kuchukua tahadhari tu, kwasababu hata hivyo kiongozi huyo hajahusiana wala kugusana na mfanyakazi huyo mwenye maambukizi ya Covid-19
Taarifa zimeeleza kuwa kwa uchunguzi...
10 years ago
Habarileo04 Mar
Ngeleja awekwa kikaangoni Dar
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja, amekiri mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kwamba, aliomba na kupokea Sh milioni 40.4, kutoka kwa James Rugemalira kwa kujitetea, alifanya hivyo kama ilivyo kawaida pia kwa wabunge wengine.
9 years ago
VijimamboALIYEKUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI LAURENCE MASHA AKOSA DHAMANA AENDA MAHABUSU YA GEREZA LA SEGEREA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_HmmvaBXKUA/Vd3PGd5TkUI/AAAAAAADXPY/Rqjx3WJlQok/s72-c/IMG-20150826-WA0014.jpg)
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Lawrence Masha alipoachiwa baada ya kukamilisha masharti ya dhamana.
![](http://4.bp.blogspot.com/-_HmmvaBXKUA/Vd3PGd5TkUI/AAAAAAADXPY/Rqjx3WJlQok/s640/IMG-20150826-WA0014.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G30ZG8WdwaA/Vd3QIR9KQXI/AAAAAAADXPk/LdC5jkziSIU/s1600/mashaaa_.jpg)
Masha alifikishwa mahakamani hapo jana...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LAWRENCE MASHA AFIKISHWA MAHAKAMANI JIJINI DAR
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Wafuasi wa Chadema kizimbani Dar
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Vigogo wa TPA kizimbani Dar