Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANDISHI AWEKWA KARANTINI, ASHINDWA KUHUDHURIA KESI YAKE

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa aliyekuwa Mhariri wa gazeti la Mawio, Jabir Idrissa anayekabiliwa na kesi ya uchochezi pamoja na wenzake watatu aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lisu yupo kwenye uangalizi huko Visiwani Zanzibar, (karantini).
Wakili wa serikali, Sylvia Mitanto amedai hayo leo Aprili 23,2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kusikilizwa lakini mshitakiwa Idrissa yupo karantini na Lissu hayupo mahakama.
Mbali...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PAPAA MSOFE AUGUA, ASHINDWA KUFIKA MAHAKAMANI, KESI YAKE YAAHIRISHWA

Papaa Msofe akiingia chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. (Picha na Maktaba yetu) MFANYABIASHARA anayekabiliwa na kesi ya mauaji, Marijan Abubakar, maarufu kama Papaa Msofe leo ameshindwa kufika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kusikiliza…

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa India awekwa Karantini

India imemuweka karantini mwanaume mmoja ambaye alipatiwa matibabu baada ya kuathirika na ugonjwa wa Ebola nchini Liberia

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU WA ISRAEL AWEKWA KARANTINI

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na wasaidizi wake wa karibu wamewekwa karantini baada ya mfanyakazi katika ofisi yake kupimwa na kukutwa na virusi vya ugonjwa wa corona.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ofisi ya waziri mkuu huyo mwenye umri wa miaka 70, imeeleza kuwa uamuzi wa kumuweka karantini ni kwa lengo la kuchukua tahadhari tu, kwasababu hata hivyo kiongozi huyo hajahusiana wala kugusana na mfanyakazi huyo mwenye maambukizi ya Covid-19

Taarifa zimeeleza kuwa kwa uchunguzi...

 

10 years ago

CloudsFM

Kapt.John Komba awekwa kwenye nyumba yake ya milele

Makada wa chama cha Mapinduzi na baadhi ya wananchi wakiandaa makazi ya milele ya marehemu Kapt.John Komba kijijini kwao Lituhi,Nyasa,mkoani Ruvuma.

 

10 years ago

Dewji Blog

Hukumu kesi ya mwandishi wa Mwanachi desemba 10

DSC02917

Mwandishi wa habari wa gazeti la The Citizen na Mwananchi mkoani Singida,Awila Silla, alipokuwa wodini katika hospitali ya mkoa mjini Singida Septemba 9 mwaka 2013, baada ya kucharangwa mapanga na kisha kuporwa mali mbalimbali zikiwemo simu mbili za kiganjani.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

KESI ya unyang’anyi wa kutumia silaha dhidi ya mwandishi wa habari wa magazeti ya MWANANCHI na THE CITIZEN mkoani Singida, inayomkabil Adamu Abdallah mkazi wa Utemini mjini Singida,...

 

10 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAAGIZA Halima MDEE NA WENZAKE KUHUDHURIA KESI YAO INAPOPANGWA KUSIKILIZWA

Mbunge wa Jimbo la Kawe,  Mhe Halima Mdee
Habari na Mwene Said wa Globu ya Jamii  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeagiza Mbunge wa Jimbo la Kawe,  Mhe Halima Mdee (35) na wenzake wawili kufika mahakamani ili iweze kuanza kusikiliza kesi inayowakabili ya kupinga amri halali ya Jeshi la Polisi na kukusanyika isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu.  Amri hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi Janeth Kaluyenda baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa mshtakiwa wa kwanza Mdee,...

 

9 years ago

Bongo5

JB ashindwa kuiachia filamu yake mpya ‘Chungu Cha Tatu’, awaomba mashabiki wavute subira

Sio wasanii wa muziki pekee walioathirika kutokana na kampeni za siasa zinazosababisha wengi wao kushindwa kutoa kazi zao katika kipindi hiki cha uchaguzi, bali hata wasanii wa filamu. Muongozaji na muigizaji wa filamu za Bongo , Jacob ‘JB’ Stephen amewaomba mashabiki wake wavute subira kutokana na kushindwa kuiachia filamu yake mpya iitwayo ‘Chungu Cha Tatu’ […]

 

10 years ago

Vijimambo

Mahakama Yatoa Hukumu Kesi iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari Saed Kubenea

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo imetoa hukumu ya kesi ya namba 28 ya mwaka 2014 ambayo iliitaka mahakama hiyo kutoa tafsri sahihi ya mamlaka na mipaka ya Bunge maalum ya katiba iliyofunguliwa na mwandishi wa Habari Saed Kubenea.Akisoma hati ya amri ya mahakama Jaji Augustino Mwarija kwa niaba ya majaji watatu waliosikiliza shauri hilo,amesema kumekuwepo na Utata katika kifungu cha 25(2) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011 katika lugha mbili zilizotumika kuandika sheria...

 

10 years ago

Michuzi

KESI YA MIRATHI YA MALI ZA MWANDISHI WA HABARI MKONGWE NCHINI YAUNGURUMA JIJINI ARUSHA

KESI ya kugombea  mirathi ya mwandishi wa habari mkongwe nchini marehemu Betty Luzuka (pichani) imeibua mapya  mahakamani mara baada ya ushahidi wa njia ya video kumuonyesha mke wa aliyekuwa ofisa mwandamizi wa  jumuiya ya  Afrika Mashariki ,Phil Makini Kleruu aitwaye Hilda Kleruu akichukua fedha za marehemu kabla na baada ya marehemu kuaga dunia.
Hilda, ambaye amefunguliwa kesi na kaka wa marehemu, Ssarongo Luzuka akimtuhumu kujimilikisha mali za marehemu bila kufuata utaratibu wa kifamilia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani