RAIA WANAOENDELEA KUYAKIMBIA MAKAZI YAO MASHRIKI MWA DRC
Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, lina wasiwasi mkubwa na hali inayozidi kuwa mbaya katika eneo la Beni, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na raia kuendelea kuyakimbia makazi yao.Taarifa ya UNHCR imeeleza kuwa, raia katika maeneneo ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanazidi kuyakimbia makazi yao kutokana na kuzidi kuzorota hali ya ukosefu wa usalama katika maeneo hayo.Ripoti ya Shirika hilo la Kuhudumia...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
30 wauawa Mashariki mwa DRC
11 years ago
BBCSwahili26 Dec
Watu 40 wauawa Mashariki mwa DRC
10 years ago
Vijimambo14 Nov
JWTZ YAFAFANUA KILICHOTOKEA BENI, MASHARIKI MWA DRC
![](https://3.bp.blogspot.com/-puWaxTe_WrA/VGSyTPTj0pI/AAAAAAAANDc/0dfj2Vbh6gg/s320/masanja-JWTZ.jpg)
11 years ago
BBCSwahili03 May
Raia wa DRC wafurushwa
10 years ago
Vijimambo29 Sep
Manzese wakabidhiwa Sh100 milioni kuboresha makazi yao
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2468548/highRes/839567/-/maxw/600/-/97skiw/-/tibaijuka.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6b9laouqld8/XnC8KlXDBZI/AAAAAAALkGU/tFSww_qmYawjOHg1_OnbkA5o0f-fMePUQCLcBGAsYHQ/s72-c/1ae65a55-94fe-4493-a214-4bb2583c4051.jpg)
WALAZIMIKA KUHAMA MAKAZI YAO KUKWEPA ADHA YA MAFURIKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-6b9laouqld8/XnC8KlXDBZI/AAAAAAALkGU/tFSww_qmYawjOHg1_OnbkA5o0f-fMePUQCLcBGAsYHQ/s640/1ae65a55-94fe-4493-a214-4bb2583c4051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-XDM9UiQK3iM/XnC8KiD395I/AAAAAAALkGQ/x7T5zYm9odwKgy5OII6q3lRXQuh8mA9OwCLcBGAsYHQ/s640/2b2707c1-5f87-4e52-bcfc-bf2fa3c79313.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-YU5o-UI9JpI/XnC8KXX19_I/AAAAAAALkGM/XRKJ_yKCFbYbv77gWSFv10FVPHgE8dUUgCLcBGAsYHQ/s640/858ceee9-9309-472b-bfd6-d7b1a2ae6d0c.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-chAZ7HpX8uc/XnC8LsAaeXI/AAAAAAALkGY/q_dQByrL3Jo1PNwe-mXHQzkaFyLcz8RBACLcBGAsYHQ/s640/ed46afd9-f099-4ed2-a876-7d9c8f1ce2fc.jpg)
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Raia 130,000 wa DRC wafukuzwa Brazaville
5 years ago
CCM Blog06 Jun
UN: RAIA 1,300 WAMEUAWA DRC, JINAI ZA KIVITA ZIMETENDEKA
![UN: Raia 1,300 wameuawa DRC, jinai za kivita zimetendeka](https://media.parstoday.com/image/4bsncff31236851j8ij_800C450.jpg)
10 years ago
VijimamboMAELFU YA RAIA WAPYA WA TANZANIA WAPEWA VYETI VYAO KATIKA MAKAZI YA MISHAMO, MPANDA