RAIS JK APOKEA TUZO YA KUKUZA NA KUTHAMINI UTAFITI NCHINI
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, kulia akipokea zawadi kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Tasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Dk Mwele Malecela kutokana na mchango wake mkubwa katika kukuza na kuthamini utafiti nchini, wakati wa Kongamano la 29 la Kisayansi lililoandaliwa na taasisi hiyo ili kuwasilisha na kujadili matokeo ya tafiti za tiba katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Kongamano hilo linafanyika jijini Dar es Salam kwa siku tatu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Rais Kikwete apokea Tuzo ya Uongozi Bora nchini
Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali Bwana Ludovick Utouh akikmabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Tuzo maalum kwa kutambua mchango wange kwa taasisi simamizi katika kuimarisha Uwazi,Uadilifu na uwajibikaji wakati wa hafla maalum ya chakula cha jioni iliyofanyika katika ukumbi wa wa kimataifa wa mikutano Julius Nyerere(JNICC) jijini Dar es Salaam
Bwana Utouh alikabidhi Tuzo hiyo kwa niaba ya taasisi sita ambazo ni Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi,TAKUKURU, Mamlaka ya...
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Utafiti: Urani inaweza kuua au kukuza uchumi nchini
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Tuzo ya Utawala Bora
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE APOKEA TUZO YA KIONGOZI BORA AFRIKA MASHARIKI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwlI-oB2-tGcG1qsj1ySJUjn1h*hITlMKASHwTC9lhAf9amgh4wiotg3xINuxQOaUWN3V0noaV0KGOSV3BB0m13Q/Rais1.jpg?width=650)
RAIS JAKAYA KIKWETE APOKEA TUZO YA KIONGOZI BORA BARANI AFRIKA.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y8Cl_xSUhnE/VdcVgE4uKDI/AAAAAAAHy3I/0egzK55KoGM/s72-c/01.jpg)
RAIS KIKWETE APOKEA HATI YA UTAMBULISHO WA BALOZI WA DENMARK NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y8Cl_xSUhnE/VdcVgE4uKDI/AAAAAAAHy3I/0egzK55KoGM/s640/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VYIfhIv_Zvo/VdcVh34RfYI/AAAAAAAHy3g/wGYdDJ4CWNc/s640/07.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-scmxBL_2Sz0/VdcVhgq8vcI/AAAAAAAHy3c/FwcZa0_YTy0/s640/08.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OO7hkC_AhfY/VZebmP_5gDI/AAAAAAAHmvk/fn6ZBxq1zlQ/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
Rais Kikwete apokea hati ya utambulisho wa Balozi wa Argentina nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-OO7hkC_AhfY/VZebmP_5gDI/AAAAAAAHmvk/fn6ZBxq1zlQ/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rx3rUexwVv0/VZebof7xnmI/AAAAAAAHmvs/URrQn9c8pu8/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)